Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

Labda wanagawana posho za kikao utasema rushwa,, kwahiyo saizi watu wanaopeana hela barabarani wanagawana rushwa? Ila naamini hao jamaa wana akili wasingeweza kupeana rushwa hadharani kama pale.
Nisome vizuri hapo juu. Nimejiridhisha kwanza kabla ya kupost video hii. Hakuna posho yoyote ile iliyotolewa siku hiyo ya uchaguzi.
Ndio uone jinsi CCM ilivyokosa aibu hadi watu wanagawana rushwa hadharani bila kuogopa kitu chochote
 
itakuwa na wewe umeonekana kwenye hiyo video unapewa rushwa bila shaka. hao waliopo videoni wanatambulika kirahisi sana na wanajulikana
Kama mnawafahamu saidieni uchunguzi ufanyike nao wachukuliwe hatua
 
Nisome vizuri hapo juu. Nimejiridhisha kwanza kabla ya kupost video hii. Hakuna posho yoyote ile iliyotolewa siku hiyo ya uchaguzi.
Ndio uone jinsi CCM ilivyokosa aibu hadi watu wanagawana rushwa hadharani bila kuogopa kitu chochote
Hapo ndio napata ukakasi mimi inawezekana kweli ni rushwa, lakini kwa ushahidi gani ndio ninaoutaka hapa Mkuu,, maneno matupu mm sio rahis kuamini lakini ukinipa ushahidi wa rushwa hiyo nitaamini maana video haina hata maneno.
 
Sasa kama wanatumbulika na wanajulikana unasemaje itakua,, Ongea kwa kujiamini na utoe maelezo tu tatizo unataka kubishana na sio kujadili.
Rushwa ni adui wa haki, acha kutetea wala rushwa wewe. Na wewe ni miongoni mwa wala rushwa tu ndio maana mnateteana
 
Hapo ndio napata ukakasi mimi inawezekana kweli ni rushwa, lakini kwa ushahidi gani ndio ninaoutaka hapa Mkuu,, maneno matupu mm sio rahis kuamini lakini ukinipa ushahidi wa rushwa hiyo nitaamini maana video haina hata maneno.
Video haina maneno au kitecno chako ndio hakitoi sauti?
 
Hapo ndio napata ukakasi mimi inawezekana kweli ni rushwa, lakini kwa ushahidi gani ndio ninaoutaka hapa Mkuu,, maneno matupu mm sio rahis kuamini lakini ukinipa ushahidi wa rushwa hiyo nitaamini maana video haina hata maneno.
Ndugu yangu Mczigga tusibishane kwa jambo lililo wazi sio busara. Chama kifanye uchunguzi kijiridhishe tutakutana tena hapa
 
Rushwa ni adui wa haki, acha kutetea wala rushwa wewe. Na wewe ni miongoni mwa wala rushwa tu ndio maana mnateteana
Wapi nimetetea,, we leta ushahidi wa rushwa hiyo mi naweza kuamini ila sio maneno tupu niamini maana video imepewa maelezo na alierekodi lakini mlengwa hajatoa neno lolote,,

ukijua siasa unaweza kujua hiyo video inawezekana imevalishwa uhusika chongwa yaani sawa na mimi nipite sehemu nikute watu wamevaa rangi ya chama flani wanagawana hela mimi niwarekodi alaf video niipe maneno mm mwnyw ndio kilichotokea hapo ila hapo muhimu ushahidi tu wa rushwa hiyo basi hakuna mbambambaaaa!
 
Video haina maneno au kitecno chako ndio hakitoi sauti?
Sawa wewe hiyo na iPhone yako umesikia wakisema tunagawana rushwa au umesikia maneno ya aliyerekodi video ambae alikua na mamlaka ya kuongea chochote anachotaka kudhihirisha alichotaka,, mimi mtumiaji wa Tecno nimesikia maneno ya aliyerekodi pekee ndio maana nimehoji uhalali wa rushwa hiyo lakini wewe wa iPhone lakini standard 4 failure thibitisha maana hujui fasihi zipoje wewe.
 
Ndugu yangu Mczigga tusibishane kwa jambo lililo wazi sio busara. Chama kifanye uchunguzi kijiridhishe tutakutana tena hapa
Hapo umeongea la maana chama kifanye uchunguzi tutakutana hapa,, upo sahihi maana nilichokataa mm ni kuipa video uhalali wakati alierekodi ndiye alietoa maelezo yote na ukimsikiliza vizuri jinsi uwasilishaji wake ulivyo una mashaka, na ninaweza kusema ni CCM mwenzao huyo.

Kwahiyo chama kama kitatoa maelezo ya kiuchunguzi basi jibu litapatikana kuliko kutumia hisia kuhitimisha jambo fulani inakua sio vizuri.
 
Hapo umeongea la maana chama kifanye uchunguzi tutakutana hapa,, upo sahihi maana nilichokataa mm ni kuipa video uhalali wakati alierekodi ndiye alietoa maelezo yote na ukimsikiliza vizuri jinsi uwasilishaji wake ulivyo una mashaka, na ninaweza kusema ni CCM mwenzao huyo.

Kwahiyo chama kama kitatoa maelezo ya kiuchunguzi basi jibu litapatikana kuliko kutumia hisia kuhitimisha jambo fulani inakua sio vizuri.
Asante. Kwa pamoja tunaungana kukiomba Chama Cha Mapinduzi kifanye uchunguzi wa tukio hilo na ikithibitika ni kweli basi wahusika yaani watoaji na waliopewa wote wawajibishwe.
 
Asante. Kwa pamoja tunaungana kukiomba Chama Cha Mapinduzi kifanye uchunguzi wa tukio hilo na ikithibitika ni kweli basi wahusika yaani watoaji na waliopewa wote wawajibishwe.
Asante pia kwa hitimisho zuri.
 
Yaani CCM yetu jamani jamani mpaka aibu
Mwenzako Mczigga, pamoja na kuiona video anataka ushahidi eti usio na shaka kwamba kinachotolewa hapo ni rushwa. Sijui kama anataka amsikie mtoa/mpokea fedha akitamka kwamba anatoa/anapokea rushwa! Hizo ndizo akili za wana CCM wenzako! Eti labda hao wanalipana tu posho...kwenye uchaguzi?

Kwa kweli nachoka. Unaweza kuta kuwa huyo Mczigga ni kiongozi wa chama au msimamizi wa uchaguzi! Kama rushwa ingekuwa inanuka kama choo, bado angedai alambishwe asikie kama ni choo kweli ndipo aamini! Watu wa aina hii ndio wamesaidia sana katika kutufikisha hapa tulipo kama taifa! Shame, shame, shame!
 
Mwenzako Mczigga, pamoja na kuiona video anataka ushahidi eti usio na shaka kwamba kinachotolewa hapo ni rushwa. Sijui kama anataka amsikie mtoa/mpokea fedha akitamka kwamba anatoa/anapokea rushwa! Hizo ndizo akili za wana CCM wenzako! Eti labda hao wanalipana tu posho...kwenye uchaguzi?

Kwa kweli nachoka. Unaweza kuta kuwa huyo Mczigga ni kiongozi wa chama au msimamizi wa uchaguzi! Kama rushwa ingekuwa inanuka kama choo, bado angedai alambishwe asikie kama ni choo kweli ndipo aamini! Watu wa aina hii ndio wamesaidia sana katika kutufikisha hapa tulipo kama taifa! Shame, shame, shame!
Ndiyo sababu sasa hivi wale wote wanaotaka kumuondoa mama 2025 wanaiba hela sana ili wapate za kuhonga 2025.
 
Ndiyo sababu sasa hivi wale wote wanaotaka kumuondoa mama 2025 wanaiba hela sana ili wapate za kuhonga 2025.
Nasikia mama naye kawapa rukhsa wale kwa urefu wa kamba zao mradi wasivimbiwe! Sina hakika hadi wavimbiwe watakuwa wamekula kiasi gani au kamba zao ni ndefu kiasi gani. HIyo ndiyo Tanzania. CCM mbele kwa mbeleee!
 
Nasikia mama naye kawapa rukhsa wale kwa urefu wa kamba zao mradi wasivimbiwe! Sina hakika hadi wavimbiwe watakuwa wamekula kiasi gani au kamba zao ni ndefu kiasi gani. HIyo ndiyo Tanzania. CCM mbele kwa mbeleee!
Kila mmoja sasa hivi anakula kwa urefu wa kamba yake. Naona vijana wameanza kwa kasi sana
 
Back
Top Bottom