Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

Kama ulihisi UVCCM Simiyu ni kiboko, hebu angalia hawa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana rushwa hadharani

Huu ni uzushi tu, hiyo video haiwezi kuthibitisha hiyo ni rushwa, umbea umbea Tu, ni imetengezwa kwa makusudi si unaona hata wao wenyewe wanaagali kama vile wanajua ?
Umbea ka mwingine tu
Hata ya Simiyu mlisema ni umbea tu ila Katibu Mkuu wenu jana akaufutilia mbali uchaguzi. Haishangazi kuona CCM mkipingana na ukweli. Ndio kawaida yenu
 
Mbona kama umeona wewe iyo ni rushwa hebu nipe Kwanza ushahidi kuwa hiyo ni rushwa,, maana hiyo video haina ata sauti labda wanasema hii ni rushwa tumepewa,,,, hebu toa ushahidi wa rushwa hiyo twende Sawa.
 
Hata ya Simiyu mlisema ni umbea tu ila Katibu Mkuu wenu jana akaufutilia mbali uchaguzi. Haishangazi kuona CCM mkipingana na ukweli. Ndio kawaida yenu
Tuongee kwa fact sio maoni binafsi tu Mkuu,,, hebu tupe ushahidi kuwa hiyo ni rushwa ili twende Sawa
 
...hebu nipe Kwanza ushahidi kuwa hiyo ni rushwa,,
If it looks like a duck...
maana hiyo video haina ata sauti labda wanasema hii ni rushwa tumepewa,,,,
walks like a duck...
hebu toa ushahidi wa rushwa hiyo twende Sawa.
and quacks like a duck...
Tuongee kwa fact sio maoni binafsi tu Mkuu,,,
You can rest assured it is a duck!

Vipi Mczigga, umenaswa au vipi! Mbona kiti ulichokalia kinapata moto?
 
Mbona kama umeona wewe iyo ni rushwa hebu nipe Kwanza ushahidi kuwa hiyo ni rushwa,, maana hiyo video haina ata sauti labda wanasema hii ni rushwa tumepewa,,,, hebu toa ushahidi wa rushwa hiyo twende Sawa.
Kila mwenye macho haambiwi tazama kule, sote tunajionea. Ushahidi wa kimazingira unathibitisha hilo
 
Kila mwenye macho haambiwi tazama kule, sote tunajionea. Ushahidi wa kimazingira unathibitisha hilo
Labda wanagawana posho za kikao utasema rushwa,, kwahiyo saizi watu wanaopeana hela barabarani wanagawana rushwa? Ila naamini hao jamaa wana akili wasingeweza kupeana rushwa hadharani kama pale.
 
If it looks like a duck...

walks like a duck...

and quacks like a duck...

You can rest assured it is a duck!

Vipi Mczigga, umenaswa au vipi! Mbona kiti ulichokalia kinapata moto?
Vichambo vingi kama Samia au Isha mashauzi,, Mwanamama ongea kwa fact tu chap unatoa maelezo au mazingira ya rushwa yalivotokea hapo.
 
Mbona kama umeona wewe iyo ni rushwa hebu nipe Kwanza ushahidi kuwa hiyo ni rushwa,, maana hiyo video haina ata sauti labda wanasema hii ni rushwa tumepewa,,,, hebu toa ushahidi wa rushwa hiyo twende Sawa.
itakuwa na wewe umeonekana kwenye hiyo video unapewa rushwa bila shaka. hao waliopo videoni wanatambulika kirahisi sana na wanajulikana
 
itakuwa na wewe umeonekana kwenye hiyo video unapewa rushwa bila shaka. hao waliopo videoni wanatambulika kirahisi sana na wanajulikana
Sasa kama wanatumbulika na wanajulikana unasemaje itakua,, Ongea kwa kujiamini na utoe maelezo tu tatizo unataka kubishana na sio kujadili.
 
Back
Top Bottom