Kama ulikubali na unakubali siasa za Hayati Magufuli hupaswi kuukosoa mkataba wa Bandari

Kama ulikubali na unakubali siasa za Hayati Magufuli hupaswi kuukosoa mkataba wa Bandari

Jizi la upinzani lilibanwa na Magu alivyofariki likafanya sherehe, likasema linaupiga mwingi saiv linalialia tena kama umbwa
wajane wa magufuli mmebaki na dementia na bado mpaka mlie meee kwa upumbavu wenu mlifurahi baada ya wizi wa kura leo mnajambajamba ovyo kama punda eti bunge halifai pumbavu nyie endeleeni kushangilia kama mlivyoshangilia mwanzo na bado mpaka akili ziwarudi.
 
Ingia Youtube ujibiwe maswali yako, hata pale mikataba ya hovyo ilipopitishwa ilikuwa ni kwa mbinde saana.
Mjadala wa Tegeta Escrow Bunge lilienda hasi zaidi ya saa 2 usiku wakati Makinda. Ikabidi walazimishe mambo.
Ni bajeti ipi,azimio lipi au muswada upi umewahi kushindwa kupita kisa uwepo wa wapinzani bungeni toka 1996?

Siasa za uchama bila akidi kambi ya upinzani bungeni ni kama baiskeli ya kunolea visu tu.

Hata ungepelekwa muswada wa kufuta vyama vingi enzi za JK ungepita tu zaidi wangeleta fujo na kutolewa nje kwa kuburuzwa kama vibaka.
 
Ili Jambo la serikali lisipite pale bungeni inabidi wabunge wa upinzani wawe wengi kuliko wa chama tawala.

Wabunge wa upinzani hata wakiwa 50, 60 wanaishia kupinga tu kwa kuongea lakini mwisho wa Siku spika analiuliza bunge wananaosema ndiyoo waseme ndiyooo, walio wengi wanalipuka ndiyooooo inakuwa imeisha hiyo.
 
Ingia Youtube ujibiwe maswali yako, hata pale mikataba ya hovyo ilipopitishwa ilikuwa ni kwa mbinde saana.
Mjadala wa Tegeta Escrow Bunge lilienda hasi zaidi ya saa 2 usiku wakati Makinda. Ikabidi walazimishe mambo.
Kupita ni kupita tu!

Kufika saa mbili usiku sababu bunge lilikuwa linasimama kusubiri mbunge aburuzwe nje.

BUNGENI.jpg

Bila akidi tutabaki kujifariji kufa kiume tu!
 
Ni mkataba upi ambao hao unaowaita wapinzani walishwawi ukwamisha usipite Bungeni , ?? Maazimio yote yamekuwa yakipita Bungeni hao wapinzani waliishia kutoka tuu Bungeni na mambo hakaenda ? Hao wapinzani ndo zero brain kabisa
Wewe ungekuwa Mbunge wa upinzani badala ya kutoka nje ungefanyaje?
 
Magufuli ndio aliharibu uchaguzi wa 2020 akatuletea mabumunda mjengoni sasa leo wanapitisha mikataba ya kipopoma mnapiga kelele.

Athari za utawala mbaya wa magufuli zitadumu kwa miaka mingi sana. Wote mnaoshadadia siasa za hayati Magufuli hamna moral authority ya kuukosoa upopoma wa wabunge na bunge hili aliloliweka mwendazake.
Umeyakanyagaa!! Utaoga matusi hapa toka kwa walinda legacy!!
 
Aliondoa wapinzani wote akidai tunachelewesha maendeleo. Cha ajabu wamebakia CCM wenyewe ndio wanakoleza ufisadi. Itakua unafiki sana kuona sukuma gang anakosoa bunge ilihali ni zao la JPM.

Yule dikteta aliharibu sana nchi, wapinzani wangekuwepo walau wangeleta balance ya mijadala bungeni na isingepitishwa kizembe zembe tu.
Its true wangeleta balance ya mjadala bt hio balance ingebatilisha matokeo? Ni lini balance ya mjadala ilileta matokeo tofauti huko bungeni?
Kwanza tunapaswa kumshukuru kwa kubadili vifungu vya sheria vinavyolazimisha mikataba km hii ipitie bungeni na rasilimali chini ya usimamizi wa raisi, otherwise hilo nalo lingepita kimya kimya.
 
Magufuli ndio aliharibu uchaguzi wa 2020 akatuletea mabumunda mjengoni sasa leo wanapitisha mikataba ya kipopoma mnapiga kelele.

Athari za utawala mbaya wa magufuli zitadumu kwa miaka mingi sana. Wote mnaoshadadia siasa za hayati Magufuli hamna moral authority ya kuukosoa upopoma wa wabunge na bunge hili aliloliweka mwendazake.
“Very true “
 
Magufuli hakuharibu uchaguzi wa 2020, ni kwamba wapigakura walifumbuka macho wakaona ulaghai wa wapi zani na hasara ya kuwachagua. Mfano halisi ni Halima Mdee na Askofu Gwajima jimbo la Kawe. Rais alisema Halima hupinga kila kitu hata kujenga barabara za Kawe, sasa atajengaje barabara zao ziwasaidie? Akasema: NILETEENI GWAJIMWA, wakamletea Gwajima, hakuna wizi hapo. Halima akatoa mpya eti kakamata furishi la kura feki, kumbe zilichapwa Mlimani City na CHADEMA walipokaribia polisi wazichukue ushahidi Halima na mabaunsa wake wakazichoma moto. Na Iringa Mjini hivo hivo, na Hai kwa Mbowe mwenyewe. Magufuli aliwafunbua macho wapiga kura. Huku akielimisha watu, mpinzani wake Tundu Lissu yeye akimwaga matusi eti Chato Airport haifai, yaani watu wa huko milioni 8 hadi Bukoba hawastahili airport nzuri? Mbona kwa Mbowe ziko 3 watu milioni 2 umbali kilometa 45? Wajipange 2025.
Kubali tu kwamba JPM aliubaka uchaguzi wa 2020. Alichofanya ilikuwa ni kucheza na usalama wa nchi kwa kuleta machafuko bada ya uchaguzi. Mbowe anaweza kushindwa uchaguzi na Saashisha? Bunge la sasa limejaa wajinga wengi sana.
 
Its true wangeleta balance ya mjadala bt hio balance ingebatilisha matokeo? Ni lini balance ya mjadala ilileta matokeo tofauti huko bungeni?
Kwanza tunapaswa kumshukuru kwa kubadili vifungu vya sheria vinavyolazimisha mikataba km hii ipitie bungeni na rasilimali chini ya usimamizi wa raisi, otherwise hilo nalo lingepita kimya kimya.
Sio kweli sheria ya kutaka mikataba iende bungeni ililetwa na JK Kupitia Open Governance Initiative na baadae kupitia TEITI ambayo JPM alipokua Rais sio tu alijitoa OGI ila alikataa sheria ya TEITI kufuatwa ndio maana hatukuwahi ona mkataba wa SGR, hatukuona Mkataba wa Twiga mining corp Wala Bwawa la Nyerere!! Yangewekwa wazi hapa tungebaki mdomo wazi.

JPM alikua na mazuri yake ila katika makosa yake makubwa ni kuweka wabunge 100% na kutokuleta mikataba bungeni ni Moja ya makosa makubwa aliwahi kufanya na tusione haya kusema.
 
Magufuli ndio aliharibu uchaguzi wa 2020 akatuletea mabumunda mjengoni sasa leo wanapitisha mikataba ya kipopoma mnapiga kelele.

Athari za utawala mbaya wa magufuli zitadumu kwa miaka mingi sana. Wote mnaoshadadia siasa za hayati Magufuli hamna moral authority ya kuukosoa upopoma wa wabunge na bunge hili aliloliweka mwendazake.

Mkuu umewaza nje ya BOX na umepiga kwenye MSHONO , Uchafuzi wa mwaka 2020 ndiyo raha yake hii ya nchi kupigwa MNADA.
 
Aliondoa wapinzani wote akidai tunachelewesha maendeleo. Cha ajabu wamebakia CCM wenyewe ndio wanakoleza ufisadi. Itakua unafiki sana kuona sukuma gang anakosoa bunge ilihali ni zao la JPM.

Yule dikteta aliharibu sana nchi, wapinzani wangekuwepo walau wangeleta balance ya mijadala bungeni na isingepitishwa kizembe zembe tu.

JIWE alifanya uhuni mkubwa sana!
 
Ingia Youtube ujibiwe maswali yako, hata pale mikataba ya hovyo ilipopitishwa ilikuwa ni kwa mbinde saana.
Mjadala wa Tegeta Escrow Bunge lilienda hasi zaidi ya saa 2 usiku wakati Makinda. Ikabidi walazimishe mambo.
Kumbe issue kusumbua mahakama tu? Point ya msingi mwisho wa siku ccm ilikuwa lazima wapitishe jambo lao kivyovyote vile.
 
Mkuu umewaza nje ya BOX na umepiga kwenye MSHONO , Uchafuzi wa mwaka 2020 ndiyo raha yake hii ya nchi kupigwa MNADA.
Tatizo ilivyo ni kwamba hata wabunge wa upinzani wangekuwepo na bunge likapitisha hiyo mikataba(kama kawaida ilivyo kwa vipindi vyote) kutokana wingi wa wabunge wa ccm bado lawama zingehamia kwa Magufuli tu.
 
Tatizo ilivyo ni kwamba hata wabunge wa upinzani wangekuwepo na bunge likapitisha hiyo mikataba(kama kawaida ilivyo kwa vipindi vyote) kutokana wingi wa wabunge wa ccm bado lawama zingehamia kwa Magufuli tu.
Chadema wasipoacha kumsingizia JPM hawatakaa warudi kwenye msingi unaotakiwa na umma,
 
Sio kweli sheria ya kutaka mikataba iende bungeni ililetwa na JK Kupitia Open Governance Initiative na baadae kupitia TEITI ambayo JPM alipokua Rais sio tu alijitoa OGI ila alikataa sheria ya TEITI kufuatwa ndio maana hatukuwahi ona mkataba wa SGR, hatukuona Mkataba wa Twiga mining corp Wala Bwawa la Nyerere!! Yangewekwa wazi hapa tungebaki mdomo wazi.

JPM alikua na mazuri yake ila katika makosa yake makubwa ni kuweka wabunge 100% na kutokuleta mikataba bungeni ni Moja ya makosa makubwa aliwahi kufanya na tusione haya kusema.
Itafte hii document, hio mikataba ya SGR, Bwawa la mwalimu or ATCL ni mikataba ya manunuzi km mikataba mingine tofauti ni amount tu na hii inapita PPRA haitaji kupita bungeni, otherwise mikataba mingapi itapita bungeni?.
873784157.jpg
 
Tatizo ilivyo ni kwamba hata wabunge wa upinzani wangekuwepo na bunge likapitisha hiyo mikataba(kama kawaida ilivyo kwa vipindi vyote) kutokana wingi wa wabunge wa ccm bado lawama zingehamia kwa Magufuli tu.

Wapinzani gani walikuwa wanapitisha upuuzi? Bunge la Heche,Lissu ,Mnyika ,Zitto,Wenje,Sugu,Mbowe? Unadhani wangekuwepo wangecopy na kupaste bila kuedit?
 
Magufuli hakuharibu uchaguzi wa 2020, ni kwamba wapigakura walifumbuka macho wakaona ulaghai wa wapi zani na hasara ya kuwachagua.
Magufuli aliapa kuua upinzani kabla ya uchaguzi wa 2020 na aliposhindwa akaiba kura kwa kutumia vyombo vya dola!
 
Magufuli aliapa kuua upinzani kabla ya uchaguzi wa 2020 na aliposhindwa akaiba kura kwa kutumia vyombo vya dola!
Chombo gani cha dola kiliiba kura?
Na kiliiba kura ngapi?
Kutoka kwa nani kwenda kwa nani, nisaidie justification ya hili!
 
Back
Top Bottom