Kama ulikubali na unakubali siasa za Hayati Magufuli hupaswi kuukosoa mkataba wa Bandari

Jizi la upinzani lilibanwa na Magu alivyofariki likafanya sherehe, likasema linaupiga mwingi saiv linalialia tena kama umbwa
wajane wa magufuli mmebaki na dementia na bado mpaka mlie meee kwa upumbavu wenu mlifurahi baada ya wizi wa kura leo mnajambajamba ovyo kama punda eti bunge halifai pumbavu nyie endeleeni kushangilia kama mlivyoshangilia mwanzo na bado mpaka akili ziwarudi.
 
Ingia Youtube ujibiwe maswali yako, hata pale mikataba ya hovyo ilipopitishwa ilikuwa ni kwa mbinde saana.
Mjadala wa Tegeta Escrow Bunge lilienda hasi zaidi ya saa 2 usiku wakati Makinda. Ikabidi walazimishe mambo.
 
Ili Jambo la serikali lisipite pale bungeni inabidi wabunge wa upinzani wawe wengi kuliko wa chama tawala.

Wabunge wa upinzani hata wakiwa 50, 60 wanaishia kupinga tu kwa kuongea lakini mwisho wa Siku spika analiuliza bunge wananaosema ndiyoo waseme ndiyooo, walio wengi wanalipuka ndiyooooo inakuwa imeisha hiyo.
 
Ingia Youtube ujibiwe maswali yako, hata pale mikataba ya hovyo ilipopitishwa ilikuwa ni kwa mbinde saana.
Mjadala wa Tegeta Escrow Bunge lilienda hasi zaidi ya saa 2 usiku wakati Makinda. Ikabidi walazimishe mambo.
Kupita ni kupita tu!

Kufika saa mbili usiku sababu bunge lilikuwa linasimama kusubiri mbunge aburuzwe nje.


Bila akidi tutabaki kujifariji kufa kiume tu!
 
Ni mkataba upi ambao hao unaowaita wapinzani walishwawi ukwamisha usipite Bungeni , ?? Maazimio yote yamekuwa yakipita Bungeni hao wapinzani waliishia kutoka tuu Bungeni na mambo hakaenda ? Hao wapinzani ndo zero brain kabisa
Wewe ungekuwa Mbunge wa upinzani badala ya kutoka nje ungefanyaje?
 
Umeyakanyagaa!! Utaoga matusi hapa toka kwa walinda legacy!!
 
Its true wangeleta balance ya mjadala bt hio balance ingebatilisha matokeo? Ni lini balance ya mjadala ilileta matokeo tofauti huko bungeni?
Kwanza tunapaswa kumshukuru kwa kubadili vifungu vya sheria vinavyolazimisha mikataba km hii ipitie bungeni na rasilimali chini ya usimamizi wa raisi, otherwise hilo nalo lingepita kimya kimya.
 
“Very true “
 
Kubali tu kwamba JPM aliubaka uchaguzi wa 2020. Alichofanya ilikuwa ni kucheza na usalama wa nchi kwa kuleta machafuko bada ya uchaguzi. Mbowe anaweza kushindwa uchaguzi na Saashisha? Bunge la sasa limejaa wajinga wengi sana.
 
Sio kweli sheria ya kutaka mikataba iende bungeni ililetwa na JK Kupitia Open Governance Initiative na baadae kupitia TEITI ambayo JPM alipokua Rais sio tu alijitoa OGI ila alikataa sheria ya TEITI kufuatwa ndio maana hatukuwahi ona mkataba wa SGR, hatukuona Mkataba wa Twiga mining corp Wala Bwawa la Nyerere!! Yangewekwa wazi hapa tungebaki mdomo wazi.

JPM alikua na mazuri yake ila katika makosa yake makubwa ni kuweka wabunge 100% na kutokuleta mikataba bungeni ni Moja ya makosa makubwa aliwahi kufanya na tusione haya kusema.
 

Mkuu umewaza nje ya BOX na umepiga kwenye MSHONO , Uchafuzi wa mwaka 2020 ndiyo raha yake hii ya nchi kupigwa MNADA.
 

JIWE alifanya uhuni mkubwa sana!
 
Ingia Youtube ujibiwe maswali yako, hata pale mikataba ya hovyo ilipopitishwa ilikuwa ni kwa mbinde saana.
Mjadala wa Tegeta Escrow Bunge lilienda hasi zaidi ya saa 2 usiku wakati Makinda. Ikabidi walazimishe mambo.
Kumbe issue kusumbua mahakama tu? Point ya msingi mwisho wa siku ccm ilikuwa lazima wapitishe jambo lao kivyovyote vile.
 
Mkuu umewaza nje ya BOX na umepiga kwenye MSHONO , Uchafuzi wa mwaka 2020 ndiyo raha yake hii ya nchi kupigwa MNADA.
Tatizo ilivyo ni kwamba hata wabunge wa upinzani wangekuwepo na bunge likapitisha hiyo mikataba(kama kawaida ilivyo kwa vipindi vyote) kutokana wingi wa wabunge wa ccm bado lawama zingehamia kwa Magufuli tu.
 
Tatizo ilivyo ni kwamba hata wabunge wa upinzani wangekuwepo na bunge likapitisha hiyo mikataba(kama kawaida ilivyo kwa vipindi vyote) kutokana wingi wa wabunge wa ccm bado lawama zingehamia kwa Magufuli tu.
Chadema wasipoacha kumsingizia JPM hawatakaa warudi kwenye msingi unaotakiwa na umma,
 
Itafte hii document, hio mikataba ya SGR, Bwawa la mwalimu or ATCL ni mikataba ya manunuzi km mikataba mingine tofauti ni amount tu na hii inapita PPRA haitaji kupita bungeni, otherwise mikataba mingapi itapita bungeni?.
 
Tatizo ilivyo ni kwamba hata wabunge wa upinzani wangekuwepo na bunge likapitisha hiyo mikataba(kama kawaida ilivyo kwa vipindi vyote) kutokana wingi wa wabunge wa ccm bado lawama zingehamia kwa Magufuli tu.

Wapinzani gani walikuwa wanapitisha upuuzi? Bunge la Heche,Lissu ,Mnyika ,Zitto,Wenje,Sugu,Mbowe? Unadhani wangekuwepo wangecopy na kupaste bila kuedit?
 
Magufuli hakuharibu uchaguzi wa 2020, ni kwamba wapigakura walifumbuka macho wakaona ulaghai wa wapi zani na hasara ya kuwachagua.
Magufuli aliapa kuua upinzani kabla ya uchaguzi wa 2020 na aliposhindwa akaiba kura kwa kutumia vyombo vya dola!
 
Magufuli aliapa kuua upinzani kabla ya uchaguzi wa 2020 na aliposhindwa akaiba kura kwa kutumia vyombo vya dola!
Chombo gani cha dola kiliiba kura?
Na kiliiba kura ngapi?
Kutoka kwa nani kwenda kwa nani, nisaidie justification ya hili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…