Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Jun 11, 2023 #41 JPM ndio kasaini mikataba. Haya kakojoe ulale.
emmadizzo JF-Expert Member Joined Jan 17, 2017 Posts 1,340 Reaction score 1,445 Jun 11, 2023 #42 miluzi mingi humpoteza mbwa apa ishu kubwa ni uo mkataba usio na kikomo na wakinyonyaji..
Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Jun 11, 2023 #43 Uzi wa ajabu huu!
UHURU JR JF-Expert Member Joined Jul 24, 2014 Posts 16,543 Reaction score 7,880 Jun 11, 2023 #44 King Kong III said: Wapinzani gani walikuwa wanapitisha upuuzi? Bunge la Heche,Lissu ,Mnyika ,Zitto,Wenje,Sugu,Mbowe? Unadhani wangekuwepo wangecopy na kupaste bila kuedit? Click to expand... Wabunge wa upinzani hawajawahi kuwa wengi kiasi cha kukwamisha masuala ya serikali ya ccm huko bungeni.
King Kong III said: Wapinzani gani walikuwa wanapitisha upuuzi? Bunge la Heche,Lissu ,Mnyika ,Zitto,Wenje,Sugu,Mbowe? Unadhani wangekuwepo wangecopy na kupaste bila kuedit? Click to expand... Wabunge wa upinzani hawajawahi kuwa wengi kiasi cha kukwamisha masuala ya serikali ya ccm huko bungeni.