Kama ulikuwa huijui Yanga SC ya GSM, La Liga, Sevilla na Mshindo Msolla basi ni hii

Kama ulikuwa huijui Yanga SC ya GSM, La Liga, Sevilla na Mshindo Msolla basi ni hii

Utopolo wanatembelea rim sasa
IMG-20200613-WA0029.jpg
 
kama Haya ni yakwel ngoja nibet mwadui anashinda niweke dau kubwa kama laki

Japo Mimi siyo Yanga SC na wala sitokuja Kuipenda Yanga SC hadi naingia Kaburini Kwangu Siku yangu ikiwadia, ila nakuhakikishia japo ndani ya Yanga SC kuna Mpasuko mkubwa sana Leo watajitahidi kwa namna yoyote ile iwe ya ndani au nje ya Uwanja ili Washinde kusudi waweze kurejesha Imani kwa Mashabiki wao lakini pia wanaelekea Dodoma baada ya Leo hivyo kwakuwa Dodoma pia kuna Matajiri na Wabunge wengi wa Yanga SC hawatataka Kuwaudhi hivyo Leo afe Mmaasai au Mmang'ati Yanga SC itashinda tu Ndugu yangu. Itunze hii post yangu tafadhali.
 
1. Timu inasafiri na Basi bovu kabisa ambalo wamepata nalo Breakdown mara mbili na kama si Umahiri wa Dereva wangekufa.
2. Bumbuli ni Msemaji wa Yanga SC na Nugaz ni Msemaji wa Yanga GSM Sports Club.
3. Kiungo Mshambuliaji Bernard Morissson Kagoma Kusafiri na Timu kwakuwa haipandi Ndege na Yeye Basi hajalizoea.
4. Mwenyekiti Msolla na Makamu wake Mwakalebela wanapishana na hawapatani kama Israel na Palestine.
5. Mshambuliaji David Molinga ni zaidi ya Kocha Msaidizi wa Yanga SC Charles Boniface Mkwasa.
6. Mhamasishaji Nugaz na Msemaji Bumbuli sasa si tu kuwa wana Bifu bali wameanza hata Kuhujumiana na Kusalitiana Kiutendaji.
7. Ndani ya Wachezaji wa Yanga SC tayari kuna Mpasuko mkubwa kwani kuna ambao Wanatengwa na Wanaonyenyekewa.

Upuuzi huu Kamwe hutokaa kuja ama Kuukuta au Kuusikia abadan kwa Timu iliyobarikiwa sana / mno na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.
Hii mbaula imechoka kinoma
 
1. Timu inasafiri na Basi bovu kabisa ambalo wamepata nalo Breakdown mara mbili na kama si Umahiri wa Dereva wangekufa.
2. Bumbuli ni Msemaji wa Yanga SC na Nugaz ni Msemaji wa Yanga GSM Sports Club.
3. Kiungo Mshambuliaji Bernard Morissson Kagoma Kusafiri na Timu kwakuwa haipandi Ndege na Yeye Basi hajalizoea.
4. Mwenyekiti Msolla na Makamu wake Mwakalebela wanapishana na hawapatani kama Israel na Palestine.
5. Mshambuliaji David Molinga ni zaidi ya Kocha Msaidizi wa Yanga SC Charles Boniface Mkwasa.
6. Mhamasishaji Nugaz na Msemaji Bumbuli sasa si tu kuwa wana Bifu bali wameanza hata Kuhujumiana na Kusalitiana Kiutendaji.
7. Ndani ya Wachezaji wa Yanga SC tayari kuna Mpasuko mkubwa kwani kuna ambao Wanatengwa na Wanaonyenyekewa.

Upuuzi huu Kamwe hutokaa kuja ama Kuukuta au Kuusikia abadan kwa Timu iliyobarikiwa sana / mno na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.
Mataga
 
Yanakuhusu kwani umbea tu huo unakuwasha.kajadilini ya mikia muwe na jengo la maana sio pale mbanano kariakoo
1. Timu inasafiri na Basi bovu kabisa ambalo wamepata nalo Breakdown mara mbili na kama si Umahiri wa Dereva wangekufa.
2. Bumbuli ni Msemaji wa Yanga SC na Nugaz ni Msemaji wa Yanga GSM Sports Club.
3. Kiungo Mshambuliaji Bernard Morissson Kagoma Kusafiri na Timu kwakuwa haipandi Ndege na Yeye Basi hajalizoea.
4. Mwenyekiti Msolla na Makamu wake Mwakalebela wanapishana na hawapatani kama Israel na Palestine.
5. Mshambuliaji David Molinga ni zaidi ya Kocha Msaidizi wa Yanga SC Charles Boniface Mkwasa.
6. Mhamasishaji Nugaz na Msemaji Bumbuli sasa si tu kuwa wana Bifu bali wameanza hata Kuhujumiana na Kusalitiana Kiutendaji.
7. Ndani ya Wachezaji wa Yanga SC tayari kuna Mpasuko mkubwa kwani kuna ambao Wanatengwa na Wanaonyenyekewa.

Upuuzi huu Kamwe hutokaa kuja ama Kuukuta au Kuusikia abadan kwa Timu iliyobarikiwa sana / mno na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.
 
Ulikuwa wapi kuyasema au kutuambia haya mapema hadi umesubiri leo kawapeni Makavu ambayo mlitakiwa muyatafakari ili mtoke huko kubaya?
Mashabiki wa underdog mna shida sana
 
Mnyero united mnavyopayuka humu utadhani hata mechi zenu huwa mnashinda kihalali!
 
mashabiki wa hili litim lililoanzishwa na mganga wa kienyeji wana shida kweli kweli, nguvu yao ipo mdomoni, uwanjani ni mwendo wa kununua marefa & mechi, sijui uwekezaji wa mabilioni lakini uwanjani hamna kitu
 
Back
Top Bottom