Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
😂😂Wakiiona Wasabato hii, tumekwisha.
Mkuu mimi ndio nimejua juziWewe ndio umejua Leo?
Hata Mabasi ya Scandinavian Express yaliandikwa " In God We Trust "Mkuu mimi ndio nimejua juzi
amaru sir name ya tupacAmaru + Ca.
Tafuta Maana ya hayo maneno mawili Kwanza.
We mwenyewe ni shoga kuna shido ndio niniHata Mashoga nao wanaamini katika Mungu.
kwani kuna shido?
Vp umejitoa kwenye uchawa siku hiz?Buku ya kibongo imeandikwa in Samia we trust
Alisikika chawa
Mungu ni Mungu mmoja, muumba wa vyote.Mungu yupi? Wamemtaja kwa jina? Mungu wao wanamwita "the most high". Does this mean Jehovah, Allah, Budha, or Magavila (Mungu wa wangoni)?. Think twice.
Kwani wamarekani nao ni wazungu?Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwani Mungu.
Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.
Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.
Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???
Tunataka kuwajua
Inawezekana kabisathey have their own god..