Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwulize mleta mada ni kwanini Somalia Wakristo wanaabudu kwa kujificha ?Wewe mjinga sana hata historia haujui , historia inajidhihisha Islamic Empires zimeishi huku zikitambua dini nyingine kama sehemu ya Jamii.
Buku ya kibongo imeandikwa in Samia we trust
Alisikika chawa
Bila fact huu ni upotoshaji ama umetumia ubunifu wa akili.In
G-old
O-il
D-iamond
They trust.
CHINAKuna jamii ambayo ina watu wasiomwamini Mungu?
Kama unataka facts fuatilia mizozo kuanzia Afghanistan🇦🇫, Iraq 🇮🇶, Syria na eneo lote la mashariki ya kati. USA kila anapotia mguu amefuata dhahabu, almasi au mafuta na kote huko kuna machafuko..Bila fact huu ni upotoshaji ama umetumia ubunifu wa akili.
In God We Trust ni maneno ya Biblia.Kama unataka facts fuatilia mizozo kuanzia Afghanistan🇦🇫, Iraq 🇮🇶, Syria na eneo lote la mashariki ya kati. USA kila anapotia mguu amefuata dhahabu, almasi au mafuta na kote huko kuna machafuko..
Kwa mujibu wa aliyetafsiri hiyo Biblia.In God We Trust ni maneno ya Biblia.
Unaweza kuthibitisha kuwa huyo Martin Luther King aliyesema I have a dream alikuwa na biblia yake? Ndiyo leo nasikia.Ina maana ndio mara yako ya kwanza kuishika $?
Hukuwahi hata kuona Maraisi wakiapishwa kwa Biblia
Obama aliapa kwa biblia aliyoitumia Abraham Lincoln aliyepiga marufuku Utumwa na pia aliapa kwa biblia ya Martin Luther King,miaka 50 tangu aliposema " I have a dream "
Maraisi wote waliapa kwa biblia
AhahahWewe mjinga sana hata historia haujui , historia inajidhihisha Islamic Empires zimeishi huku zikitambua dini nyingine kama sehemu ya Jamii.
Kuhongwa dollar basi dunia nzima itajuaKama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067429
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.
Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.
Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.
Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???
Tunataka kuwajua
Kataa ndoaaa kama paulooMungu yupi wanaomuwmini wao, maana tunaemuamini sisi KAKATAZA dhuluma, kKAKATAZA ushoga na mengine, wao ndio kipaumbele chao.. usikute ni mungu tofauti na unaemuamini wewe