Kama ulikuwa hujui, Dola ya Kimarekani imeandikwa “In God we Trust”

Kama ulikuwa hujui, Dola ya Kimarekani imeandikwa “In God we Trust”

Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
USD 💶 inatengenezwa na Israelites elite unity ndio maana nikazi kuiangusha
 
Ho
In GOD we Trust => katika Mungu tunayemuamini.

We Trust in GOD => Tunaamini katika Mungu.

In GOD we Trust != We Trust in GOD.

Nadhani kuna kitu kimejificha kwenye hiyo sentence...

Tiwaze...
HOw
 
Ku discuss mambo kama haya ndo yanayo sababisha bara letu kuitwa bara la giza; maana tunaacha kuwaza vitu vya msingi tunawaza Mungu yupi alie maanishwa!
 
Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
Angalia vizuri Kuna noti zao zina zile alama maarufu za Freemasons
 
Kuna wahuni watasema hapo wanamaanisha in Lucifer we trust.
Huyu Mungu tunayejivunia Waafrika hao wazungu ndio wametuonyesha.
Tena unaweza ukute waafrica ndo wabaguzi kuliko wazungu, yaan wamejiandikia wenyewe IN GOD WE TRUST sis tumeanza kudadavua kua sio MUNGU huyu tunae mjua
 
Unathibitishaje hayo maneno ni ya kweli na wamarekani wote wana trust kwa huyo God?
 
Kuna founding fathers wa Marekani walikuwa waamini wa Deism na Pandeism ambayo ni imani ya Mungu lakini tofauti sana na Ukristo.
 
Ina maana ndio mara yako ya kwanza kuishika $?
Hukuwahi hata kuona Maraisi wakiapishwa kwa Biblia
Obama aliapa kwa biblia aliyoitumia Abraham Lincoln aliyepiga marufuku Utumwa na pia aliapa kwa biblia ya Martin Luther King,miaka 50 tangu aliposema " I have a dream "


Maraisi wote waliapa kwa biblia
 
Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.
Ndio ukweli mtupu.
Ila kuna wakuaji wa buza watakuambia dini ni utumwa.
Ukiachana na wazungu, nenda hapo Korea Kusini ndio utaina jinsi wanavyomwamini na kumuabudu Mungu. Zingatia uchumi wao unavyokua kwa kasi. Singapore nako wanafanya kama Korea Kusini na uchumi umeitika.
 
Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
Unaifahamu Nyimbo ya taifa ya Marekani..
Ni ..
GOD BLESS AMERICA..

Ila wao hawaamini Mungu
 
Ndio ukweli mtupu.
Ila kuna wakuaji wa buza watakuambia dini ni utumwa.
Ukiachana na wazungu, nenda hapo Korea Kusini ndio utaina jinsi wanavyomwamini na kumuabudu Mungu. Zingatia uchumi wao unavyokua kwa kasi. Singapore nako wanafanya kama Korea Kusini na uchumi umeitika.

Huko Korea kusini wanamuabudu Mungu gani ?

Hoja ya Mungu inategemea na Imani, utamaduni na desturi ya watu. Mungu wa wachina sio Mungu wa wahindi kiutamaduni na desturi..
 
Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
Sema haujafuatilia tu zipo pesa kadhaa zimewekwa jina la Mungu mfano wa haraka ni pesa za kuwaiti ukisoma juu kabisa utaona sentensi hii "وبالله نستعين" maana yake " In God we seek help" kwa kiswahili " kwa Mungu tunahitajia msaada".
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    93.2 KB · Views: 1
Na nakwambia kuwa,
kama Waislamu wangekuwa na nguvu ya kuitawala
Dunia.
Kwa lazima, tunge lazimishwa wote tuwe Waislamu.
Na sisi tunao ukataa Uislamu tunge uwawa wote kwa kuchinjwa.
Huwa nashangaa na kubaki uliza.
Hivi ni kwanini huu ulazimishaji wa wote tuwe Waislamu ?

Kama Uislamu ni Dini sahihi, ni kwanini Waislamu hawana furaha hadi sisi sote tuwe
Waislamu?

Naomba majibu zafadhalini.

Mfano
Huyo Mungu Allah, mimi simwamini kama ni Mungu halisi kabisa.
Na ni kwanini anani lazimisha nifuate mafundisho yake ?

Mimi Mungu wangu sio Allah.
Allah ni Mungu wa matapeli
Muhammadi na Majini ndio Waislamu safi.
Kwangu mimi nilivyo msoma Allah na maneno yake.
Ngoja ninyamaze tu.
 
Na nakwambia kuwa,
kama Waislamu wangekuwa na nguvu ya kuitawala
Dunia.
Kwa lazima, tunge lazimishwa wote tuwe Waislamu.
Na sisi tunao ukataa Uislamu tunge uwawa wote kwa kuchinjwa.
Huwa nashangaa na kubaki uliza.
Hivi ni kwanini huu ulazimishaji wa wote tuwe Waislamu ?

Kama Uislamu ni Dini sahihi, ni kwanini Waislamu hawana furaha hadi sisi sote tuwe
Waislamu?

Naomba majibu zafadhalini.

Mfano
Huyo Mungu Allah, mimi simwamini kama ni Mungu halisi kabisa.
Na ni kwanini anani lazimisha nifuate mafundisho yake ?

Mimi Mungu wangu sio Allah.
Allah ni Mungu wa matapeli
Muhammadi na Majini ndio Waislamu safi.
Wewe mjinga sana hata historia haujui , historia inajidhihisha Islamic Empires zimeishi huku zikitambua dini nyingine kama sehemu ya Jamii.
 
Back
Top Bottom