Kama ulikuwa hujui, Dola ya Kimarekani imeandikwa “In God we Trust”

Kama ulikuwa hujui, Dola ya Kimarekani imeandikwa “In God we Trust”

Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwani Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
Unajua kirefu chake?
GOD:
G:=GOLD
O: OIL
D: DIAMOND
 
Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwani Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
In (Gold, Oil and Diamond) we trust.
 
Kuna wahuni watasema hapo wanamaanisha in Lucifer we trust.
Huyu Mungu tunayejivunia Waafrika hao wazungu ndio wametuonyesha.
 
Mungu yupi wanaomuwmini wao, maana tunaemuamini sisi KAKATAZA dhuluma, kKAKATAZA ushoga na mengine, wao ndio kipaumbele chao.. usikute ni mungu tofauti na unaemuamini wewe
 
Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwani Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
Hata north korea , official name yao ni:
Democratic People's Republic of Korea
DPRK
 
Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
Usisahau hilo neno lilikua limewekwa na Eye of providence
Dollarnote_siegel_hq.jpg

So unatakiwa u define kwanza ni Mungu yupi
 
Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua

Huo ni motto wa marekani ambao uliwekwa mwaka 1957. Wazungu wa mwaka 1957 sio wa leo hii.

Pia hawajataja Mungu gani , hivyo hatujui kama wanamaanisha Mungu wa biblia, Quran ama Mungu gani

Pia Mungu inategemea na Imani, utamaduni na desturi ya watu. Mungu wa wachina sio Mungu wa wahindi kiutamaduni na desturi..
 
Mungu ni Mungu mmoja, muumba wa vyote.
Changamoto ni watu kutokujua Mungu ni nini, na kinapatikana wapi.
Mungu inategemea na Imani, utamaduni na desturi ya watu. Mungu wa wachina sio Mungu wa wahindi kiutamaduni na desturi..
 
Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067201
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.

Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.

Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.

Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???

Tunataka kuwajua
ndo maana mm piga ua lzm nimuoe Meneja Wa Makampuni
 
Back
Top Bottom