Ndo unajua leo?Kama ulikua hujui Dolla 100 ya Kimarekani imeandikwa in In God we Trust
View attachment 3067429
Tunasemaga wazungu hawamwamini Mungu.
Mbona wameenda mbali hadi kumwandika Mungu kwenye pesa.
Nimeamini wazungu wanamwamini Mungu kuliko sisi.
Ninani anaweza kuweka maneno ya Mungu kwenye kitu chake chochote hapa???
Tunataka kuwajua
Anataka dunia itambue kwamba amepewa dollar nikaona nimsaidie kutangazaHuwa unanichekesha unavyotag Tanesco😂
Hukushuhudia uapisho wake Obama?Unaweza kuthibitisha kuwa huyo Martin Luther King aliyesema I have a dream alikuwa na biblia yake? Ndiyo leo nasikia.
Lazima pia useme which GOD sababu wahindi wanasepa na ng'omba na sisi kabla ya Hawa Vimeo tulikua tunaabudu Mibuyu,Mizimu,na all traditions,nyoosha maelezo whixh God,yule wa Alon Musk,God of Cow,God of Fake Islael,Ni yupi huyo walomwandika,huyu wa magaidi wa ICC au yupi.Unajua kirefu chake?
GOD:
G:=GOLD
O: OIL
D: DIAMOND
Mkuu mimi ndio nimejua juzi
hata shetani pia ana amini
NdioKuna jamii ambayo ina watu wasiomwamini Mungu?
Mie ukiniambia kataa ndoa sikuelewi hata kidogo, bakini na kataa ndoa yenu sababu kila mtu na maono yake, kila mtu na mapotio yake.Kataa ndoaaa kama pauloo
Huu mwandiko unafanana maongezi ya Dr. Shika, mtu aliyechafukwa.Lazima pia useme which GOD sababu wahindi wanasepa na ng'omba na sisi kabla ya Hawa Vimeo tulikua tunaabudu Mibuyu,Mizimu,na all traditions,nyoosha maelezo whixh God,yule wa Alon Musk,God of Cow,God of Fake Islael,Ni yupi huyo walomwandika,huyu wa magaidi wa ICC au yupi.
hii mbona tunaijua mkuuWakiiona Wasabato hii, tumekwisha.
Sikatai huwa wanatumia migogoro kujinufaisha wao, ILA hiyo sio fact kwamba hizo herufi ndo zilimaanisha hivyo, kwanini watenganishe gold, na diamond wakati zote ni madini ya thamani?Kama unataka facts fuatilia mizozo kuanzia Afghanistan🇦🇫, Iraq 🇮🇶, Syria na eneo lote la mashariki ya kati. USA kila anapotia mguu amefuata dhahabu, almasi au mafuta na kote huko kuna machafuko..
Halafu tunatumia teknolojia yao kujibu mambo hapaHata Mashoga nao wanaamini katika Mungu.
kwani kuna shido?
hii mbona tunaijua mkuu
wengi wa wamarekani ni wakimbizi /waprotestant kutoka ulaya waliokimbia unyanyasaji/mauaji wa wakatolik