Mbona sijaona wanawake waliowatoroka wanaume?
Tupo
Nakumbuka kipindi hiko Green Palm Kunduchi inabamba ile mbaya.
Siku hiyo nikaenda nikakutana na jamaa katoka zake mulemule ndani Club kalewa chakari, akanielewa, akaniomba game tuakelewana tukaenda kulala pale gesti karibu na kona ya msikiti.
Tumefika tukapiga game fresh tu.
Nikamwambia kuwa saa 11 alfajiri inabidi nisepe maana nguo niliyovaa sio, akasema hayakuwa makubaliano yetu.
Hapa hutoki mpaka saa 4 Asubuhi ndipo nakukabidhi mzigo wako.
Mie nikatulia kusubiri nimfanyie umafia.
Jamaa kapiga game, akapitiwa na usingizi, kalala fofofo.
Nikaamka nikaanza kumpiga sachi, piga sachi kila sehemu...holaaa
Nikasema huyu simuachi.
Kumbe pesa kaweka ndani ya kiatu, katoa kapeti kisha kadumbukiza kule.
Nikaziona nikabeba nikatia kwenye maziwa.
Nanyata nafika mlangoni, funguo haupo kumbe aliutoa.
Dah!!
Piga sachi tena...nikaupata kauweka chooni chini ya ndoo ya maji.
Nikafungua nikasepa saa 9 usiku.
Kumkomoa nikaondoka na kiatu chake kimoja na mkanda wa suruali.
Nafika home nahesabu pesa, sh 70 elfu.
Nikasema bora hata hivyo.
Yule jamaa sikuja kuonana nae tena.