Kama ulishawahi kumkimbia mwanamke lodge tukutane hapa

Kama ulishawahi kumkimbia mwanamke lodge tukutane hapa

AINA YA CHUP,

kwa ufup sana, baada ya kuva sket yake, nilikutana na lichup likubwa jeusi, kaniki sio kaniki, kimoyo moyo najiuliza au ni mganga wa kienyeji? limeshuka chin kama mtoto aliyevaa pempas. Cha kushangaza nikaanza kupiga chafya from nowhere, sikutaka kumshka wala kufungua hata kifungo cha shat langu mana nilishaona hapakaliki hapa, akaniuliza vip nikamwambia nataka nikachukue vocha hapo nje fasta, viatu vilikua ndan kwaio nikivichukua atashtukia dili, nikavaa kandambili kufka reception nduki nikachukua boda jamaa ananiuliza wap sasa nikamwambia haraka haraka wewe twende popote unapoona pana binadamu mana nahc nipo kuzimu, nae alivyo na sifa akaenda kuniacha msamvu na kandambili zangu. Ilikua ndo mara ya kwanza na mwisho kutaman madada poa kwa mihemko.
Umenivunja mbavu mkuu
 
AINA YA CHUP,

kwa ufup sana, baada ya kuva sket yake, nilikutana na lichup likubwa jeusi, kaniki sio kaniki, kimoyo moyo najiuliza au ni mganga wa kienyeji? limeshuka chin kama mtoto aliyevaa pempas. Cha kushangaza nikaanza kupiga chafya from nowhere,

nikavaa kandambili kufka reception nduki nikachukua boda jamaa ananiuliza wap sasa nikamwambia haraka haraka wewe twende popote unapoona pana binadamu mana nahc nipo kuzimu, nae alivyo na sifa akaenda kuniacha msamvu na kandambili zangu. Ilikua ndo mara ya kwanza na mwisho kutaman madada poa kwa mihemko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka hatari
 
Kama mitandao mngeitumia kama fursa ya kutafuta jinsi ya kujiinua kichumi vijana wengi wangekua mbali zaidi kuliko mada ambazo hazina faida hata kwa mtoa mada
ww veepe?? una kiwanda nn??
 
AINA YA CHUP,

kwa ufup sana, baada ya kuva sket yake, nilikutana na lichup likubwa jeusi, kaniki sio kaniki, kimoyo moyo najiuliza au ni mganga wa kienyeji? limeshuka chin kama mtoto aliyevaa pempas. Cha kushangaza nikaanza kupiga chafya from nowhere, sikutaka kumshka wala kufungua hata kifungo cha shat langu mana nilishaona hapakaliki hapa, akaniuliza vip nikamwambia nataka nikachukue vocha hapo nje fasta, viatu vilikua ndan kwaio nikivichukua atashtukia dili, nikavaa kandambili kufka reception nduki nikachukua boda jamaa ananiuliza wap sasa nikamwambia haraka haraka wewe twende popote unapoona pana binadamu mana nahc nipo kuzimu, nae alivyo na sifa akaenda kuniacha msamvu na kandambili zangu. Ilikua ndo mara ya kwanza na mwisho kutaman madada poa kwa mihemko.
We jamaa kama umetunga basi we kiboko.
 
Mi niliwahi kumkimbia mwanamke kwa sababu ifuatayo:
Ilikuwa ni siku ya Jumamosi moja ya mwaka 2013, siku hiyo nilikuwa nipo katika dozi ya Typhoid na Malaria, tangu asubuhi nilikuwa sijala kitu then kwenye saa 7 mchana ndio dem akanicall kuwa anakuja so nikapiga menu fasta na kumeza vidonge vya Metakelfin+Ciprofloxacin+Paracetamol then nikaingia Guest na kuanza kumsubiria demu nikiwa na chupa ya 1½ltrs, unaambiwa robo saa baadae dem akawa amewasili ili tufanye yetu....[emoji13] [emoji13] [emoji13] Asikwambie mtu ile kuanza foreplay za hapa na pale mara paap nikaanza kufeel dizzy[emoji56] [emoji56] [emoji13] [emoji13] [emoji13] dakika 5 mbele nikaanza kuwa sijitambui[emoji38] [emoji38]
Hapo unaambiwa nikahisi hapa sasa naweza kuvuta muda wowote, nilimpa yule dem kama 20,000 na kuchoropoka nduki[emoji125] [emoji125] hadi home. Nilipofika niliingia chumbani na kuchukua kopo la maji 6ltrs nikaweka pembeni ya kitanda na kulala. Unaambiwa hapo nilikuwa najihisi vibaya sana mpaka nilipopata usingizi. Nimekuja kushtuka saa12 jioni.
Dah! Ingekuwa bonge la noma kufia guest tena wakati wa mjambozz. Yaani sitajaribu tena hii[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
"weekend mmoja nimepiga mpunga wangu wazali,nikaona siyo mbaya nimtafute mrembo mmoja tukasaidiane matumizi.basi Kuna binti mmoja jirani nilikuwa na mmendea Sana...kumwendea hewani kitu imooo!tukapanga tukutane kiwanja kimoja tabata.mishale ya jioni mrembo huyo kaupara kweli kweli!basi baada ya makaribishi bidada akanza kuagiza ... Savannah..***** Kama kafungwa filter vile ikienda kirudi empty ndani ya masaa 3 Savannah 12 nikasema yarabi Bei ya Savannah 4000.mpaka mishale ya kulala 160000 ishakwisha asbh akili zinarudi 240000 haipo.nikasema usinitanie ww .....brain ika load ..nikamwambia ngoja niende nje nikaandae mazingira ya supu..eeh eh yani alivyo Nipa mgongo bolt kasingiziwa...kilichofata matusi,shombo kibao..nikasema famili lilahi Bora nusu hasara kuliko hasara kamilii....wewe ilikuaje mpaka ukamuacha mrembo lodge?????
umevimba uka vimbiwa.
wenzako wanaji shusha unamueleza tunaweza tuka share ka elfu 30 haka angalau tukanywa.hapo hata kuwa mpole,lakini una muhita tu.
 
Nakumbuka nilikuwa bar fulani nasaga mirungi na mvinyo mdogo×2 mara mhudumu akajipendeza basi siku hio tulipeana kampani kwa kweli ila ss huyo mdada alikuwa mtata wa kupenda pesa sana uzuri alinikuta na mm siku hio mambo financial yamekaa vizur kwahiyo tukamlizana fresh,baada ya kama 2 weeks nikahudhuria tena hapo ila safari hii sikuwa na kitu zaid ya hela kula/kunywa na chumba,kama kawaida yake si akajua danga lake nipo fresh wala hata siku hio sikuwa na wazo la kutaka mwanamke ila kwasababu alijileta nikaona poa tuu,yy umechukua chumba no ngap nikamwelekeza baada ya kufunga bar akaja,baada ya sebene la nguvu mida ya saa 8 usku story 2 3 nikamwambia mm leo sina kitu,aisee mbona aliwakia kwenye gia!,akaniambia asubuh utanijua mm ndio mmachame sikuja mjini kuchekea wanaume[emoji23],na mm nikafikiria haraka haraka nikaona asubuh huyu dada anaweza kunijazia inzi na kudhalilishana hapa,basi nikambeleza nikamwambia na ww huniwii,nikaomba game akanipa nilipiga show moja ya uhakika naamin hatanisahau huko alipo,baada ya show si akapitiwa usingizi ilikuwa mida ya saa 5 kasoro,na mm sikutaka kuremba nilivaa zangu fresh nikamuaga mlinzi nawahi mabasi ya mkoani chap
Itakua moro
 
Nakumbuka nilikuwa bar fulani nasaga mirungi na mvinyo mdogo×2 mara mhudumu akajipendeza basi siku hio tulipeana kampani kwa kweli ila ss huyo mdada alikuwa mtata wa kupenda pesa sana uzuri alinikuta na mm siku hio mambo financial yamekaa vizur kwahiyo tukamlizana fresh,baada ya kama 2 weeks nikahudhuria tena hapo ila safari hii sikuwa na kitu zaid ya hela kula/kunywa na chumba,kama kawaida yake si akajua danga lake nipo fresh wala hata siku hio sikuwa na wazo la kutaka mwanamke ila kwasababu alijileta nikaona poa tuu,yy umechukua chumba no ngap nikamwelekeza baada ya kufunga bar akaja,baada ya sebene la nguvu mida ya saa 8 usku story 2 3 nikamwambia mm leo sina kitu,aisee mbona aliwakia kwenye gia!,akaniambia asubuh utanijua mm ndio mmachame sikuja mjini kuchekea wanaume[emoji23],na mm nikafikiria haraka haraka nikaona asubuh huyu dada anaweza kunijazia inzi na kudhalilishana hapa,basi nikambeleza nikamwambia na ww huniwii,nikaomba game akanipa nilipiga show moja ya uhakika naamin hatanisahau huko alipo,baada ya show si akapitiwa usingizi ilikuwa mida ya saa 5 kasoro,na mm sikutaka kuremba nilivaa zangu fresh nikamuaga mlinzi nawahi mabasi ya mkoani chap

haka kastory kazuri na hizi Bar zipo km si Arusha basi ni Moshi maeneo ya mafuta street au Dar road
lkn mida umechanganya, Bar inafungwa saa 8 kakushtukia na alipokupa mchezo ni saa 5 ukasepa kuwahi mabasi labda ni saa 11 alfajiri 'Like 'nakupa
 
Siku moja nimepanga miadi na dem wangu ili tukapate moja moto moja baridi,
Ghafla akaja na rafiki zake wawili,jumla tukawa wa 4 ktk meza
Ikanibidi nichkue simu yangu huku nikim text dem wangu kuwa hawa rafki zako wataondoka mida gani?ili watupishe tukapumzike.
Najibiwa wataondoka tu baby wala usisaji,ukizingatia hao marafiki komba kasingiziwa,wanashusha lager kama mashindano ya Promo
Mara wakaagiza mchesho,nikitazama mizani kuna chupa kama 9 za castle na zingine zimeshachkuliwa na mhudumu
Hapo hapo nikajiongeza kama naenda toilet kukojoa vile,,Nilitoka Baruti hadi nje,nikadaka bodaboda Nduki!!!!!
Naskia walipigishwa deki bar yote na kuosha vyombo vya hotelini
 
Mbona sijaona wanawake waliowatoroka wanaume?
 
Mbona sijaona wanawake waliowatoroka wanaume?
Tupo
Nakumbuka kipindi hiko Green Palm Kunduchi inabamba ile mbaya.
Siku hiyo nikaenda nikakutana na jamaa katoka zake mulemule ndani Club kalewa chakari, akanielewa, akaniomba game tuakelewana tukaenda kulala pale gesti karibu na kona ya msikiti.

Tumefika tukapiga game fresh tu.
Nikamwambia kuwa saa 11 alfajiri inabidi nisepe maana nguo niliyovaa sio, akasema hayakuwa makubaliano yetu.
Hapa hutoki mpaka saa 4 Asubuhi ndipo nakukabidhi mzigo wako.
Mie nikatulia kusubiri nimfanyie umafia.

Jamaa kapiga game, akapitiwa na usingizi, kalala fofofo.
Nikaamka nikaanza kumpiga sachi, piga sachi kila sehemu...holaaa
Nikasema huyu simuachi.

Kumbe pesa kaweka ndani ya kiatu, katoa kapeti kisha kadumbukiza kule.
Nikaziona nikabeba nikatia kwenye maziwa.
Nanyata nafika mlangoni, funguo haupo kumbe aliutoa.
Dah!!
Piga sachi tena...nikaupata kauweka chooni chini ya ndoo ya maji.
Nikafungua nikasepa saa 9 usiku.
Kumkomoa nikaondoka na kiatu chake kimoja na mkanda wa suruali.

Nafika home nahesabu pesa, sh 70 elfu.
Nikasema bora hata hivyo.
Yule jamaa sikuja kuonana nae tena.
 
Tupo
Nakumbuka kipindi hiko Green Palm Kunduchi inabamba ile mbaya.
Siku hiyo nikaenda nikakutana na jamaa katoka zake mulemule ndani Club kalewa chakari, akanielewa, akaniomba game tuakelewana tukaenda kulala pale gesti karibu na kona ya msikiti.

Tumefika tukapiga game fresh tu.
Nikamwambia kuwa saa 11 alfajiri inabidi nisepe maana nguo niliyovaa sio, akasema hayakuwa makubaliano yetu.
Hapa hutoki mpaka saa 4 Asubuhi ndipo nakukabidhi mzigo wako.
Mie nikatulia kusubiri nimfanyie umafia.

Jamaa kapiga game, akapitiwa na usingizi, kalala fofofo.
Nikaamka nikaanza kumpiga sachi, piga sachi kila sehemu...holaaa
Nikasema huyu simuachi.

Kumbe pesa kaweka ndani ya kiatu, katoa kapeti kisha kadumbukiza kule.
Nikaziona nikabeba nikatia kwenye maziwa.
Nanyata nafika mlangoni, funguo haupo kumbe aliutoa.
Dah!!
Piga sachi tena...nikaupata kauweka chooni chini ya ndoo ya maji.
Nikafungua nikasepa saa 9 usiku.
Kumkomoa nikaondoka na kiatu chake kimoja na mkanda wa suruali.

Nafika home nahesabu pesa, sh 70 elfu.
Nikasema bora hata hivyo.
Yule jamaa sikuja kuonana nae tena.
Kumbe ndo wewe,leo tumekutana. Naomba kiatu change na mkanda😛😛😛😛😛
 
Back
Top Bottom