Kama ulishawahi kumkimbia mwanamke lodge tukutane hapa

Kama ulishawahi kumkimbia mwanamke lodge tukutane hapa

Tehtehte,nilimkimbia dem lodge,tulikua tunachat sana insta.na picha zake za insta nying ni kuanzia kifuan,ana sura nzur skatai,..sasa siku ya kumeet,nkamfata had mitaa ya kwao ilikua jion,kabla sjafka kwanza akasema vp,niage home kua sirud?..mmh nkawaza,yaan leo ndo tunakutana mara ya kwanza tuu na hapo hapo unataka mchezo?daah skuzoea mim..nkajib tu poa,sasa nkamfata wakat namsubir aje kwenye gar akawa anakuja ,giza nkawa simwon fresh ila naona kajitu kafup irregular shape,manywele yao mawig maref balaa,akaingia kwenye gar,mikope miref,poda ina haruf kal na perfum kali balaa,..daah sura kajichubua sjui,..daah nilijuta,af alikua na mafua,bas yeye anafuraha kinoma,aisee nkaanza kupanga namwachaje huyu maana nilijua kabsa siwez lala na mtu kama yule kwakwel,..bas nkajifanya nmepigiwa sim ya gafla,nkajiongelesha palee,akanambia daah umeniuz sana,na mi kurud hom siwez bas twende kanilipie lodge we usepe mi ntalala ntarud home,ikabid nifanye hvyo,mi nkasepa zangu home,..yaan sitorudia teena kitu kama hyo
 
Tehtehte,nilimkimbia dem lodge,tulikua tunachat sana insta.na picha zake za insta nying ni kuanzia kifuan,ana sura nzur skatai,..sasa siku ya kumeet,nkamfata had mitaa ya kwao ilikua jion,kabla sjafka kwanza akasema vp,niage home kua sirud?..mmh nkawaza,yaan leo ndo tunakutana mara ya kwanza tuu na hapo hapo unataka mchezo?daah skuzoea mim..nkajib tu poa,sasa nkamfata wakat namsubir aje kwenye gar akawa anakuja ,giza nkawa simwon fresh ila naona kajitu kafup irregular shape,manywele yao mawig maref balaa,akaingia kwenye gar,mikope miref,poda ina haruf kal na perfum kali balaa,..daah sura kajichubua sjui,..daah nilijuta,af alikua na mafua,bas yeye anafuraha kinoma,aisee nkaanza kupanga namwachaje huyu maana nilijua kabsa siwez lala na mtu kama yule kwakwel,..bas nkajifanya nmepigiwa sim ya gafla,nkajiongelesha palee,akanambia daah umeniuz sana,na mi kurud hom siwez bas twende kanilipie lodge we usepe mi ntalala ntarud home,ikabid nifanye hvyo,mi nkasepa zangu home,..yaan sitorudia teena kitu kama hyo
Watu wa jf na magari hatari! Hongera kwa kumiliki gari ila kwa awamu hii kunadalili likapakiwa tu [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Buguruni nilikamata kalewa chakari kanambia utanitoa ten nikamwambia poa. Tukaingia guest nikamushawa viwili vya fasta ndo kama nimemuongezea ulevi nikachukua ten yngu pamoja na bahasha aliyokuwa kajifungua kwenye kitenge nilijua kuna mkwanja kaifungua bahasha nakutàna na RB ya polisi buguruni
 
Tehtehte,nilimkimbia dem lodge,tulikua tunachat sana insta.na picha zake za insta nying ni kuanzia kifuan,ana sura nzur skatai,..sasa siku ya kumeet,nkamfata had mitaa ya kwao ilikua jion,kabla sjafka kwanza akasema vp,niage home kua sirud?..mmh nkawaza,yaan leo ndo tunakutana mara ya kwanza tuu na hapo hapo unataka mchezo?daah skuzoea mim..nkajib tu poa,sasa nkamfata wakat namsubir aje kwenye gar akawa anakuja ,giza nkawa simwon fresh ila naona kajitu kafup irregular shape,manywele yao mawig maref balaa,akaingia kwenye gar,mikope miref,poda ina haruf kal na perfum kali balaa,..daah sura kajichubua sjui,..daah nilijuta,af alikua na mafua,bas yeye anafuraha kinoma,aisee nkaanza kupanga namwachaje huyu maana nilijua kabsa siwez lala na mtu kama yule kwakwel,..bas nkajifanya nmepigiwa sim ya gafla,nkajiongelesha palee,akanambia daah umeniuz sana,na mi kurud hom siwez bas twende kanilipie lodge we usepe mi ntalala ntarud home,ikabid nifanye hvyo,mi nkasepa zangu home,..yaan sitorudia teena kitu kama hyo
Pole sana mkuu,hawa mademu wa mitandao hasa ista ni artificial mkuu,kwa hiyo ukimuona kapendeza kwenye mtandao unasema bonge nyapu kumbe live unaweza ukajuta kumfahamu kama ilivyokutokea
 
Buguruni nilikamata kalewa chakari kanambia utanitoa ten nikamwambia poa. Tukaingia guest nikamushawa viwili vya fasta ndo kama nimemuongezea ulevi nikachukua ten yngu pamoja na bahasha aliyokuwa kajifungua kwenye kitenge nilijua kuna mkwanja kaifungua bahasha nakutàna na RB ya polisi buguruni
Mkuu we kiboko ukapiga shoti(ukachukue uteni wako) na bahasha yake ukaondoka nayo!
 
"weekend mmoja nimepiga mpunga wangu wazali,nikaona siyo mbaya nimtafute mrembo mmoja tukasaidiane matumizi.basi Kuna binti mmoja jirani nilikuwa na mmendea Sana...kumwendea hewani kitu imooo!tukapanga tukutane kiwanja kimoja tabata.mishale ya jioni mrembo huyo kaupara kweli kweli!basi baada ya makaribishi bidada akanza kuagiza ... Savannah..***** Kama kafungwa filter vile ikienda kirudi empty ndani ya masaa 3 Savannah 12 nikasema yarabi Bei ya Savannah 4000.mpaka mishale ya kulala 160000 ishakwisha asbh akili zinarudi 240000 haipo.nikasema usinitanie ww .....brain ika load ..nikamwambia ngoja niende nje nikaandae mazingira ya supu..eeh eh yani alivyo Nipa mgongo bolt kasingiziwa...kilichofata matusi,shombo kibao..nikasema famili lilahi Bora nusu hasara kuliko hasara kamilii....wewe ilikuaje mpaka ukamuacha mrembo lodge?????
sijaelewa hapo, ulilipa au ulikimbia bila kulipa.
 
Back
Top Bottom