Kama ulishawahi kunywa chai ya kuunguza Sukari tukutane hapa

Hebu akilini mwako jenga picha ya mtu aliyeamka asubuhi akapiga mswaki wa mti kwa kutumia povu la sabuni ya kufulia kama dawa yake ya meno, ndani kavaa underwear aina ya VIP, shati la kuvutika, suruali buga, viatu vya laizon huku anakunywa hiyo chai ya sukari ya kuunguza!
 
Kuna kuchoma sukari
Na kunywa chai isiyo na sukari

Yaaani maziwa yanawekwa kwa mbaaali na majani ya chai yale ya kupima manene manene bila sukari.
 
Huyu muhenga si wa nchiiii aseee
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Chimala nyumbani kabisa
 
Huu utaalamu ndiyo nausikia kwa mara ya kwanza, ila iliwahi kutokea nikasahau kununua majani ya chai mimi hupenda kununua vitu in bulky halafu unasahau kwa kipindi kirefu bahati nzuri ilikuwa Jumamosi nikachepuka dukani haraka haraka maana mie bila chai ya uhakika kama breakfast siku haiendi kabisa.

 
Ndio, ilikuwa sukari inaunguzwa inapatikana chai maridadi sana
kisha unapaka sabuni mwilini yaani mbadala wa mafuta
safari ya shule inaanza. Mimi mara moja moja huwa nafanya mpaka leo
huwa unafanya mpka leo aiseee ..ckuwezi mkuu
 
Chimala nyumbani kabisa
Ohhk nmelima sana mpunga mkiwa darasa la tatu hapo,hapo chimala unapajua wa mjerumani walikuwa wanamuita,nmekaaa pale ulikuwa unaingiaa ndani kidogo.....shule ya chimala Msingi nmesoma....hapo
Unakufahamu pale kwenye uwanja wa helikopta ya kajima .......jirani na hapo
Hivi ile hospital ya mmarekani bado ipo hapo

Ova
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu utakuwa ulipitia kwenye maisha safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…