hahaaaaaa hahaaaa daaahhh manina hahaaaHuku mikoani life hilo lipo mpaka kesho.
Kuna hii nyingine:
Kama kupika pilau unaona litakupotezea muda, pika wali wa kawaida wa maji, halafu vaa miwani ya jua. Hapo utakuwa unaona pilau.
Hahaaa kwetu ila sijakaaOhhk nmelima sana mpunga mkiwa darasa la tatu hapo,hapo chimala unapajua wa mjerumani walikuwa wanamuita,nmekaaa pale ulikuwa unaingiaa ndani kidogo.....shule ya chimala Msingi nmesoma....hapo
Unakufahamu pale kwenye uwanja wa helikopta ya kajima .......jirani na hapo
Hivi ile hospital ya mmarekani bado ipo hapo
Ova
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mkuu utakuwa ulipitia kwenye maisha safi.
Ndio lakini sio hiyo ya kupaka sabuni, nakumbuka kuna sabuni ziliingia kutokahuwa unafanya mpka leo aiseee ..ckuwezi mkuu
Duh nawajua baadhi wa waburushi paleHahaaa kwetu ila sijakaa
Unamfahamu mzee Salmin ?
Picha inatisha mkuuHebu akilini mwako jenga picha ya mtu aliyeamka asubuhi akapiga mswaki wa mti kwa kutumia povu la sabuni ya kufulia kama dawa yake ya meno, ndani kavaa underwear aina ya VIP, shati la kuvutika, suruali buga, viatu vya laizon huku anakunywa hiyo chai ya sukari ya kuunguza!
Wali nyanya huoNimekunywa sana hiyo chai shule fulani kule Ludewa.
Halafu unachangannya unga na maji unakoroga then unakaanga kwenye mafuta. Ndio kitafunio hicho.
Ukijisikia kula pilau basi unakaanga nyanya na kitunguu, kikishaiva, badala ya kutia mboga unatia mchele. Basi linatokea pilau jekundu tamu balaa. Kipolo kikibaki unanywea chai asubuhi.
Tumeshakula Mikate na uji wa kuchanganywa na ulanzi wa asubuhi ule mtogwaaaa kabisa unaitwa nyamtutu.
Nakumbuka nimewai tumia karatasi kuwa majani yan unachukua karatasi unaichoma afu fasta una itia kwa maj maisha bwanahiyo nilishafanyika.nimeamka asubuh niwahi chuo .napika chai nakuta jani limekata.duh natumia mbinu mbadala life linasonga.geto enough respect
We acha tu mambo ya soseji na tumeyakutia ukubwani,nakumbuka Mara ya kwanza kuona kitu chipsi yai kitaa Ilikuwa 80s nilikuwa nakaa kijijini Mwenge nyuma ya Bamaga Petro station ,kuna jamaa alikuwa anaitwa Hamisi alikuwa na banda lake pembeni ya duka la Mpemba opp na Hongera Bar ,jamaa ndio alikuwa mtu wa kwanza kuleta hii kitu mitaa ya Mwenge juu jamaa alikuwa anauza balaa unafika unakuta kuna watu 10 mbele yako wanasubiriaHebu akilini mwako jenga picha ya mtu aliyeamka asubuhi akapiga mswaki wa mti kwa kutumia povu la sabuni ya kufulia kama dawa yake ya meno, ndani kavaa underwear aina ya VIP, shati la kuvutika, suruali buga, viatu vya laizon huku anakunywa hiyo chai ya sukari ya kuunguza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku mikoani life hilo lipo mpaka kesho.
Kuna hii nyingine:
Kama kupika pilau unaona litakupotezea muda, pika wali wa kawaida wa maji, halafu vaa miwani ya jua. Hapo utakuwa unaona pilau.
owky "" hapo nimekupata mkuuNdio lakini sio hiyo ya kupaka sabuni, nakumbuka kuna sabuni ziliingia kutoka
kenya tulikuwa tunazificha balaa maana ukionwa nazo unaitwa mlanguzi
basi ukipaka shule au chuoni hizo ulikuwa unaheshimika sana kwa harufu yake
mzuri