OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
-
- #101
Hakina asiyependa kutokuajiliwa, mazingira ndio yanapetekea watu wabuni njia zingine,Whatever, tumia hio hip Logic and science kujua kuwa kuna fursa nyingi nje ya ajira (kuajiriwa)!!
Kumbuka, ajira yako ni nzuri sana ila ujue kuna siku itakoma! Siku ikikoma na ukiwa na umri mdogo utafanyeje? Usitegemee mifuko ya hifadhi ya jamii, I lost a friend of mine kwa kusumbuliwa na mfuko mmoja wapo Lapf to be specific. Alikua just 46yrs imagine.
Mungu atusaidie or whatever unaamini....
Nikushauri kitu, Achana na mawazo ya kuajiriwa, yanaumiza, yanakatisha tamaa na mbaya zaidi at the end of the day utaenda kukopa kwa Mangi ambaye ni standard seven BHakina asiyependa kutokuajiliwa, mazingira ndio yanapetekea watu wabuni njia zingine,
All in all tupp pamoja mkuu
Hatukatai mkuu, as long as we can not prove your words.Shame.....Nimeacha kazi ni miaka miwili sasa maisha yangu yapo poa than before.....ni aibu mwanaume kukaa huwezi kujitegemea mpaka uaijiriwe tu......
Nahisi kwa kuwa mmekutana kwa bahati so hamna mizizi ya uhusiano wenu,mnakutana tu kazini ila mkiwa mnakutana hadi bar afu mkawa mna matendo sawa yaani mnalewa na mnapenda mademu hahah mtakuwa marafikiHiv huwa ni kwann mkuu? No love at all among staffs [emoji848]
Huu msemo una apply kwenye kada fulani fulani tu hasa serikalini mf waalimu, hawa wakunaga urafiki watumishi wengi wanachukiana sana sijui tatizo nini tofauti na kwetu huku wakili msomi popote nikimkuta ni learned brother au sister na sio kinafiki wala kinyonge natoa support.Always hamna urafiki kazini,do your duties and go home no one loves you
๐ ๐ ๐ Yaani wewe jamaa huwa ni miongoni mwa wanao jua kuvuta hisia juu ya uhalisia wa maisha yalivyo hasa hapa bongo, mi naenda zangu kwenye kijiwe cha kahawa huku natia stori na wazee wa mtaa tena hapo nina kama chenji chenji nimebakizaga kwenye droo๐Eeh mzee baba usiombe, ukiwaza unatakiwa uanze kuchoma mahindi stand wakati ulikuwa unarudishwa kibosi na Prado lenye namba SU mtaani kwako basi unaona wacha nitulie kwenye kochi nitafakari cha kufanya kwanza๐ huku wife yeye akiwasha IST yake na kwenda zake Access bank kila panapokuchwa!
Ha ha ha unajivuta taratibu mpaka kijiweni ku kill time๐๐ ๐ ๐ Yaani wewe jamaa huwa ni miongoni mwa wanao jua kuvuta hisia juu ya uhalisia wa maisha yalivyo hasa hapa bongo, mi naenda zangu kwenye kijiwe cha kahawa huku natia stori na wazee wa mtaa tena hapo nina kama chenji chenji nimebakizaga kwenye droo๐
Kila mtu ana life poa atleast akiwa nyuma ya keyboardShame.....Nimeacha kazi ni miaka miwili sasa maisha yangu yapo poa than before.....ni aibu mwanaume kukaa huwezi kujitegemea mpaka uaijiriwe tu......
Wewe vip unamindset za kitajiri?Uzi una watu wenye Mindset za Kimasikini Kinoma..
Ndio inayozungumziwa hapo na jamaaMhhm!!!!,hivi kuna kazi inayoweza kukufanya mtumwa kweli???.