Kama umechoshwa na Tabia mbovu ya Mwanamke wako , pitia hapa upate suluhisho na Umbadilishe Kirahisi

NOOO, ongea kama mwanaume, sio kulialia.


Hauna shukran, licha ya kukufanyia xxxxx...

Sio unaongea Kwa kulia Lia, huo ni udhaifu wako Me.


Nachowaambia hapa, mie nakitekeleza, na kinanipa Majibu 100%.
 
Hakuna mwanaume anaweza shindana kurap na mwanamke Cha msingi we kaa kimya hadi mistari ikiisha sepa,au ukiona dalili za kurap zinataka kuanza sepa mapema
 
NOOO, ongea kama mwanaume, sio kulialia.


Hauna shukran, licha ya kukufanyia xxxxx...

Sio unaongea Kwa kulia Lia, huo ni udhaifu wako Me.


Nachowaambia hapa, mie nakitekeleza, na kinanipa Majibu 100%.
Vyovyote uongeavyo ni kutia huruma tu, hii njia yako siiafiki hata kidogo.
Wapo wanawake wasio na shukrani kweli, wao huona kila uwafanhiacho ni kama wajibu wako na sio hisani.

Sasa ukileta habari zako za nimekufanyia so en so, atakuuliza sasa ulitaka anifanyie nani kama sio wewe mpenzi wangu??
 
Umfanye hana thamani kivipi
 
Heshima Ndani ya Nyumba huletwa Kwa Mkono wa Chuma tu Hakikisha Mwanamke anakuogopa Zaidi Ya Mungu Full stop.

Maneno matupu Hayana Tofauti Na Matusi ya Nyani Akimtukana Mamba huku yeye akiwa juu ya Mti.

Tena Mwananume unaonyesha makucha yako mapema kabs kipindi cha Mahusiano ili ajue kabsa anadate na Mtu asiyelea upuuzi,

sasa sisi vijana wa siku hizi dem mpo nae kweny Mahusiano ukimkosea tu et unaanz kuomba vimisamaha huku unambembeleza umtoe out huo ulofa ndo unafany Mwanamke akupande kichwani,

Muumba kila Siku anafyatua watoto wakali Kila kukicha wew umekazana na kubembelezan na binadam mmoja mpuuzi.... Nahis hata Shetani anatushangaa kwakweli Tumezidi ulofa vijana.
 
Mimi mwanamke hawezi nipelekesha na kanipigia kelele hovyo, tena zisizo na msingi...
Kwa mwanamke unatakiwa

1. kumuignore pale anapofanya ujinga wake, unamuona kama mtoto mdogo asiye na akili sawasawa

2. Kumuambia ukweli, mpe makavu palepale anapokesea

3. Usimfanye yeye kuwa wa muhimu kuliko maisha yako, yape nafasi maisha yako kuliko mwanamke

4. Ubabe ni lazima, kule porini Simba jike anawinda, ila Simba dume ndiye anayeanza kula kwanza... hiyo ndio nature ya mwanaume

5. Mwanaume hajaumbwa kuwa na mwanamke mmoja
 
🤣🤣🤣🤣🤭
 
ilikuwaje tupeane uzoefu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni story ndefu saana but ngoja nikupe kwa ufupi

Kuna binti niliingia nae kwenye mahusiano tukiwa primary darasa la 5 secondary yeye alifaulia shule ya taarafa (alikuwa na akili saana)
Mm nikaenda shule ya kataa then kuna shemeji yangu akaona kabisa hiyo shule siwezi kufaulu ikabidi anipeleke shule ya kulipia mkoa mwingine

Tukaendelea mahusiano hasa nikiwa narudi home likizo (huyu binti alikuwa ananipenda saana)
Then advance mm nikapangiwa bwiru boys baada ya kumaliza form six nikarudi mkoani kwetu na tukaendelea mapenzi

Muda wa kwenda chuo ulipofika huyu binti alikuwa anataka MD na kwao hakuna hela ikabidi aende education (alipata mkopo 100%)
Mm sikupata mkopo na shemeji yangu akanishauri niende nikasome diploma ya mechanical engineering
So one day before binti hajaenda chuo nikamuomba kibumbu (alikuwa bado ni bikra) baada ya wiki mbili toka tusex na kumtoa bikra akajigundua ni mjamzito

Nikahudumia mimba mpaka mtoto alivyozaliwa (kipindi chote hichi cha mimba hakurudi kwao na hakuwaambia kuwa ana mimba ila aliendelea na chuo)

Mm nilivyomaliza tu chuo shemeji yangu aliupiga mwingi saana nikapata kazi kwenye mamlaka moja chap chap na mzazi mwenzangu yeye baada ya kumaliza hakupata kazi hivyo basi nikawa namuhudumia yeye na kwao kiujumla (so hapa alizidisha unyenyekevu saana)

Kulingana na mamlaka nayofanyia kazi nikajuana na watu mbali mbali kama wafanyabiashara,tiss,walimu,wajeda,polisi,wavuvi N.K
Katika kujuana na watu huko nikawa nimempatia connection ya kazi shule moja ilikuwa wilaya tofauti na kwao na ilikuwa rahisi kumpatia nafasi sababu ya masomo yake (chemistry and physics) hii shule alikuwa analipwa laki nne na bado akawa mnyenyekevu saana kwangu

Baada ya muda wa miezi 9 toka apate kazi kuna mmiliki wa shule nyingine nilifahamiana nae nikamuombea kazi pia akapewa kazi masomo yake yalimbeba plus jinsia hii shule wakawa wanamlipa laki 7 na nusu na baada ya miezi 4 akawa academic (academic wa hii shule aliacha kazi so akateuliwa yeye kushika cheo) lakini bado akawa mnyenyekevu saana kwangu

Hii shule mpya na cheo vikamuweka busy saana mimi nikaona kama anateseka vile alafu malipo laki 7 so nikaanza mchakato wa kumtafutia kazi kwenye mashirika kuna mama mmoja nilikuwa na mfahamu ana cheo kikubwa saana UN nikawa nimemwambia kuhusu kumtafutia nafasi kwenye mashirika
Huyu mama akamtafutia NGOs moja ndogo saana ambayo walikuwa hawana mradi wowote so hapakuwa na malipo (alifanya hivyo makusudi ili apate uzoefu na asibanwe na shule kule)

Baada ya mwaka mmoja Yule mother wa UN akaupiga mwingi mzazi mwenzangu akapata kazi IRC so mshahara ukawa mkubwa plus posho nyingi taizi la kwanza akaenda kupanga nyumba ya laki 6 kwa mwezi (kwa kibondo hii nyumba ni classic saana) taizi la pili akaniambia masuala ya ada ya mtoto nimuachie yeye (alifanya hivi ili ampeleke boarding alijua kabisa siwezi kukubali mtoto wa prepo ll kusoma bweni)

Pigo la mwisho ni hii siku ya siku ya mtoto wa Africa aliniomba ruhusa aende dodoma (Alitaka amlete mtoto kwangu hii ni likizo mtoto yupo ili yeye aende huko dodoma) nikawa nimekataa lkn akamleta kwa nguvu mm natoka kazini namkuta mtoto wangu home

So hichi kitendo kikanipa mashaka saana sababu kwenye hii siku IRC wao hawakuwa na ulazima wa kwenda plus umbali aliutumia kumleta mtoto kibondo to kigoma mjini kwa gari ni masaa 5(kwa kutumia mbinu za majasusi wa jamii forum nikahisi tu hapa kuna kitu)

Mzazi mwenzangu alifika kibondo Jumamosi jioni mm jana jumapili asubuhi nikampeleka mtoto kibondo so nilishinda pale na nilimpekua simu yake nikakuta sms ambazo zinaashilia ngono na ndio sababu kubwa iliyompeleka huko
 
@Carlos The Jackal sababu ni hiyo
 
pole sana mkuu hawa viumbe hawaridhiki. lakini pia wewe ulifanya makosa kumtaftia kazi za maana hivyo na kuipambania Carrier yake.
mwanamke askishika fedha na madaraka makubwa. huna cha kumfanya sahivi hata kama umemwacha hana shida ya kumfanya akutafte au ajutie kukupoteza. njia pekee ni wewe kumsahau na kumfuta kwenye akili yako hapo utakuwa salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…