Kama umekuwa ukitumia gharama kubwa kwenye vifurushi pitia hapa Kuna solution kwaajili yako ( GB 1 kwa buku tu)

Kama umekuwa ukitumia gharama kubwa kwenye vifurushi pitia hapa Kuna solution kwaajili yako ( GB 1 kwa buku tu)

Acha uongo.

Mfano mtu kajiunga hiyo package ya GB35 halafu ndani ya week akamaliza GB zote, unadhani ataendelea kupata Internet?
elewa kitu kimoja mkuu unadhani bando Lita isha mapema kwasababu gani ? Jibu simple kifurushi kutakuwa hakikidhi mahitaji yako hivo mteja kama huyo anapaswa kuangalia up ya matumizi yake na kuweza Kuya track /kuyakadilia ili aweze kujua ni kiasi gani a nahitaji ndani ya mwezi mzima mfano Kuna mtu kwa siku anatumia 800MB ina maana mtu kama huyu ukimpa 1Gb unakuwa umemsaidia especially 1Gb ya kwenye tigo Postpaid mana itam cost Buku badara ya 2000 kwa menu za kawaida

ELEWA KWANZA KABLA HUJAANZA KULETA NEGATIVE ZAKO

 
Uongo wa nn sasa ww boya, mm sitangazi biashara hapa, ni huduma ninayoitumia kila mwezi.
mkuu Hao ndio jini kujua anaropoka asichokijua wala kuki fahamu baada aulize yeye ana jump kwenye conclusion kwakuwa hana uelewa na haja taka kueleweshwa
 
mkuu huwezi nifundisha kazi nafanya sales and marketing mwaka 8 unataka good costumer care just follow the rules other wise huwezi nielewa waulize niliowahudumia coz niko hapa kuhudumia mwenye uhitajisio mwenye negative mind anytime be a costumer care not easy as you think mkuu ulitaka nimwambie jibu lipi kama anaona njia nayo tumia sio sahihi it better akafanya yake sio kuja na negative
Kufanya kazi fulani kwa miaka 8 au 20 si hoja maana unaweza kuwa unafanya kwa mazoea tu pasipo kuzingatia aina na utofauti wa customer behaviour. Pengine ungejikita zaidi kwenye kufanya sales na kipengele cha marketing ukawaachia wengine wenye uvumilivu stahiki kwa wateja.
 
Kufanya kazi fulani kwa miaka 8 au 20 si hoja maana unaweza kuwa unafanya kwa mazoea tu pasipo kuzingatia aina na utofauti wa customer behaviour. Pengine ungejikita zaidi kwenye kufanya sales na kipengele cha marketing ukawaachia wengine wenye uvumilivu stahiki kwa wateja.
Uelewa wako na mashaka nao mkuu soma comment ya mdau Kisha nambie wewe ungekuwa mimi kwa hiyo unayoita good customer service unge mjibu vipi ili nipate kujifunza nisichokijua tafdhali
 
Uelewa wako na mashaka nao mkuu soma comment ya mdau Kisha nambie wewe ungekuwa mimi kwa hiyo unayoita good customer service unge mjibu vipi ili nipate kujifunza nisichokijua tafdhali
Hawa ni wale wateja usiopombusu haudumiki.
 
Wakuu naona mnahangaika na huduma za vifurushi mimi ni DIRECT SALES AGENT toka tigo. Kuna huduma nimekuwa nikiwapatia wateja wetu Muda mrefu leo acha niwapatie wadau humu mwenye uhitaji ili tuokoe gharama za vifurushi visivyokidhi mahitaji yetu ambavyo tumekuwa tukijiunga kila siku.

Tigo kuna huduma ya vifurushi vya malipo ya baada yaani ( Postpaid ) vifurushi hivi ni nafuu na rahisi kuliko vya kwenye menyu ya kawaida na nimaalumu kwaajili ya kampuni taasisi na wafanyabiashara wanaotumia mawasiliano kwa kiwango kikubwa especial kwenye calls,sms,internet wana vifurushi ya aina mbili.

1) DATA PLAN ( hapa utapewa data pekee)
2) COMBO PLAN (hapa utapata dakk,internet GBs,sms)
NOTE

Ukijiunga na vifurushi hivi tigo itakuwa ikikuingizia kifurushi kila tarehe moja ya kila mwezi nawe utalazimika kulipia kidogo kidogo au kadiri uwezavyo kabla ya mwezi kuisha

ANGALIZO
ukiwa na swali unaweza kuuliza hapa hapa usiropoke/kuongelea kitu usicho kijua ukajipa majibu wewe mwenyewe uliza nitakujibu

MAWASILIANO
kwa maelezo zaidi wasliana nami kupitia namba hiii
+255 710 186 890 WhatsApp/ Normal Call
Vinazingua....
 
Hapana! Kuna jamaa yangu anatumia hii, awali nilikua nadhani ni gharama sana ila nimekuja kugundua ni nafuu sana ukilinganisha na matumizi ya kununua vifurushi kila siku

Ni kama matumizi ya mkaa na gesi, kikawaida utaona mkaa ni nafuu kuliko gas ila kiuhalisia gesi ndio nafuu, mkaa utatumia kiasi gani kwa mwezi na gesi unatumiaje kwa mwezi, utanunua kila siku mkaa wa elfu2 au 3 ambapo kwa mwezi ni kama elfu60 mpaka 90 ila gesi utanunua ya kiasi gani kwa mwezi!

Nikinunua kifurushi cha airtime tu labda cha 1000 kwa wiki, ujue kuna week kama nne4 utoboe mwezi hivyo ni wastani wa elfu4 ila ki uhalisia utatumia zaidi ya kiwango hicho chini kabisa, maana kuna muda kifurushi hicho hakitoboi week hivyo kwa week utakua umenunua kama viwili au vitatu ndio week iishe, hapo na week zinazokuja ni hivyo hivyo, hapo ukijumlisha na 2000 kwa MB950 kwa week data only use, ambapo utakua unaweka kwa mfanano huo wa airtime only, maana nacho hakitoboi week, tena hiki kifurushi cha data only unaweza ukaweka hata zaidi ya vitatu kwa week, hivyo ni gharama sana ukilinganisha na vifurushi hivyo vya malipo ya baada.
Umeongea point!
 
Wakuu naona mnahangaika na huduma za vifurushi mimi ni DIRECT SALES AGENT toka tigo. Kuna huduma nimekuwa nikiwapatia wateja wetu Muda mrefu leo acha niwapatie wadau humu mwenye uhitaji ili tuokoe gharama za vifurushi visivyokidhi mahitaji yetu ambavyo tumekuwa tukijiunga kila siku.

Tigo kuna huduma ya vifurushi vya malipo ya baada yaani ( Postpaid ) vifurushi hivi ni nafuu na rahisi kuliko vya kwenye menyu ya kawaida na nimaalumu kwaajili ya kampuni taasisi na wafanyabiashara wanaotumia mawasiliano kwa kiwango kikubwa especial kwenye calls,sms,internet wana vifurushi ya aina mbili.

1) DATA PLAN ( hapa utapewa data pekee)
2) COMBO PLAN (hapa utapata dakk,internet GBs,sms)
NOTE

Ukijiunga na vifurushi hivi tigo itakuwa ikikuingizia kifurushi kila tarehe moja ya kila mwezi nawe utalazimika kulipia kidogo kidogo au kadiri uwezavyo kabla ya mwezi kuisha

ANGALIZO
ukiwa na swali unaweza kuuliza hapa hapa usiropoke/kuongelea kitu usicho kijua ukajipa majibu wewe mwenyewe uliza nitakujibu

MAWASILIANO
kwa maelezo zaidi wasliana nami kupitia namba hiii
+255 710 186 890 WhatsApp/ Normal Call
Nikilipa sh 30000 kwa huduma data plan, mwezi mwengine nikalipa kiwango hicho hicho lkn kwa combo plan, inawezekana?
 
Nikilipa sh 30000 kwa huduma data plan, mwezi mwengine nikalipa kiwango hicho hicho lkn kwa combo plan, inawezekana?
unapaswa kutoa taaarifa kabla ya tarehe 25 na haipaswi kuwa marq kwa mara mana system inaingiza outomatic kama ilivosetiwa kila tarehe moja
 
NyegereBOY naomba kufahamu hii huduma ya post paid si unalipia baada ya kutumia kifurushi niko dillema vitu viwili
1.Unalipia vifurushi ulivyopst hapo kama hiko Elf 15 Gb 15 data plan n.k
Au
2.Unatumia tu kifurushi mfano GB 7 kulingana na matumizi YAKO unalipia ????
 
NyegereBOY naomba kufahamu hii huduma ya post paid si unalipia baada ya kutumia kifurushi niko dillema vitu viwili
1.Unalipia vifurushi ulivyopst hapo kama hiko Elf 15 Gb 15 data plan n.k
Au
2.Unatumia tu kifurushi mfano GB 7 kulingana na matumizi YAKO unalipia ????
Kuna ka udanganyifu flan kako technically kwenye hii huduma.

Hii huduma inaitwa POSTPAID kwamba utumie ndio ulipe baadae. Ukiingalia hivi utaona ni unavutwa kwenye huduma.

Ila ukweli hii ni PREPAID iliyofichwa. Maana ili upate hii huduma utalazimika kutanguliza deposit inayofanana na bei ya kifurushi.

Tuseme unataka uanze January kupata huduma ili uje ulipie mwisho wa January, lakini kabla ya kupata huduma utalazimika kutanguliza deposit.

Sasa January ikiisha utakatwa salio ambalo wao wanasema ndio la huduma ulioitumia January, kumbe ki uhalisia January ulitumia ile deposit yako na unachokatwa mwisho wa January ni kwa ajili ya February (PREPAID).

Pamoja na hiki ni huduma nzuri, ila masharti ya kwamba mpaka umiliki TIN sijui business license ndio siyaelewi
 
NyegereBOY naomba kufahamu hii huduma ya post paid si unalipia baada ya kutumia kifurushi niko dillema vitu viwili
1.Unalipia vifurushi ulivyopst hapo kama hiko Elf 15 Gb 15 data plan n.k
Au
2.Unatumia tu kifurushi mfano GB 7 kulingana na matumizi YAKO unalipia ????
huduma ni POST PAID yaani malipo ya baada unapewa kifurushi kisha wewe ndio unakilipia kile kifurushi ulichopewa na kifurushi utakuwa unapewa kila tarehe moja ya kila mwezi nawe utalazimika kulipia hicho kifurushi kadiri uwezavyo kabla ya mwezi kuisha ila sasa aiku ya kwanza unapotaka kujiungq hiki kifurushi kuna malipo utayatoa kama kilinda account yako yanaitwa SECURITY DEPOSIT ambayo yanakuwa na thamani sawa ya kifurushi ulichochagua mfano ukitaka kifurushi cha elfu 15 basi siku ya kwanza kujiunga utapaswa kuwa na SECURITY DEPOSIT ya elfu 15 hii itakaa kwenye account hutoweza kuitoa ila utarudishiwa siku ukijitoq kwenye huduma mkuu

Vifurushi vinaanza shilingi 15,000 mana yake walimkusudiq mtu ambae kwa siku anaweka vocha ya 500 ambayo ukichukua 500 × 30 siku za mwezi unapata 15000 kama wewe matumizi yako ya kujiunga vocha kila siku ni kuanzia 500 huduma inakufaa
 
Kuna ka udanganyifu flan kako technically kwenye hii huduma.

Hii huduma inaitwa POSTPAID kwamba utumie ndio ulipe baadae. Ukiingalia hivi utaona ni unavutwa kwenye huduma.

Ila ukweli hii ni PREPAID iliyofichwa. Maana ili upate hii huduma utalazimika kutanguliza deposit inayofanana na bei ya kifurushi.

Tuseme unataka uanze January kupata huduma ili uje ulipie mwisho wa January, lakini kabla ya kupata huduma utalazimika kutanguliza deposit.

Sasa January ikiisha utakatwa salio ambalo wao wanasema ndio la huduma ulioitumia January, kumbe ki uhalisia January ulitumia ile deposit yako na unachokatwa mwisho wa January ni kwa ajili ya February (PREPAID).

Pamoja na hiki ni huduma nzuri, ila masharti ya kwamba mpaka umiliki TIN sijui business license ndio siyaelewi
Sio kweli huduma ni PRE PAID huduma hii ni POST PAID na malipo unayotanguliza huitwa security deposit na hii huwa hainunui kifurushi itakaa kwenye account yako na siku ukijitoq kwenye huduma na ukawa hidaiwi kifurushi basi hiyo security deposit yako itarudi kwenye simu yako kila jambo lina utaratibu na huu ndio utaratibu walio
 
Back
Top Bottom