Kwako ndugu yangu uliye oa hao ndio maadui zako.
Shangaa na weweHeee wewe mbona mtatuua nyie jamni..mana kila kitu mnatusingizia..kha😳
Ngoma drooKwako ndugu yangu uliye oa hao ndio maadui zako.
YaniiiiiiiHeee wewe mbona mtatuua nyie jamni..mana kila kitu mnatusingizia..kha[emoji15]
Daaaah! Are you serious?Ex wangu kaolewa na najipigia tu nitakavyo
Una uhakika?Kwako ndugu yangu uliye oa hao ndio maadui zako.
Mmmh.Uzuri wangu mm tukiachana nakuchukulia kama umekufa.
Ulisoma kozi gani mkuu? Chuo gani?Phobia ,Phobia... Try to avoid it. Maisha haya, ukiyafuatilia sana utaona hayana maana!
Don't complicate mkuu.