Kama umeolewa, changanya na zako ukiwa humu JF

Mwanaume uingie kulala umkute mkeo kalala uchi hasira zinahama lazima utaomba game tu au usiku umelala unasikia umeguswa na tako lazima upapase
Mkuu umeoa? Naona full maexperience!
 

Wanapaswa kukuelewa
 
Nimesoma bandiko lako ila bado nawaza wewe ni Ke? Thread yako imekaa kama imeandikwa na Me.

Wamekusikia ingawa umetumia maneno makali.
Jiwe gizani limeshakupata
 
Hamna kipya kwenye message yake ambacho mwanamke hakijui,wanawake wote wanayajua hayo ila sio lazima kuyafatisha sababu maisha hayana formula kama vile watu wanavojua ubaya wa sigara na bado wakaendelea kuvuta.
Watumikaji utawajua tu, utatumiwa sana
 
Nakupa like,MTU na ajisifu kua ana mjua Mungu..ndoa ni nzur lakin usipokua makini inawezq kukukosesha mbingu...na kila MTU ana destiny yake hapa dunian hamna haja ya kumsema MTU kwa kitu qmbacho hana hujui season yake.
 
Ongera kwa kuolewa baada ya kucheza sana kwaito kwenye harusi za wenzio na wewe hatimaye umepata wako. Tunakushauri na wewe uitunze hiyo ndoa yako muheshimu mumeo kwa hali yoyote aliyonayo. Wake za watu mnasifika sana kwa kugawa hovyo huko maofisini mnagongwa tu, kwenye magari, vyooni yani hamjali kokote nyie mnagongwa. Na vijana wanawapenda sababu hamna garama mnahudumiwa na waume zenu wao kazi ni kuosha rungu tu. Naona na Gudume kashaanga kusarandia. Hivyo vitendo vya aibu mnavyofanya vinawadhalilisha waume zenu waliowatolea mahali na kuleta heshima kwenye familia zenu. Nakutakia maisha mema na furaha tele kwenye ndoa yako.
 
Watumikaji utawajua tu, utatumiwa sana
Shost mbona una hasira sana?

Ndo umetoka kuolewa juzi juzi nini? Ndoa bado changa? Maana si kwakuprovoke huku[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…