Kama umewahi kufanya kazi Lodge na hujamalizia show (KUFANYA UPONYAJI) huenda huna bahati

Kama umewahi kufanya kazi Lodge na hujamalizia show (KUFANYA UPONYAJI) huenda huna bahati

Kipindi nimemaliza kidato cha 6 nilikuwa nasimamia lodge ya ndugu yangu kipindi nasubiri kwenda chuo, sasa leo natoa siri kwa wanaume, ukienda lodge na demu wako kuanzia leo, hakikisha unaondoka naye.

Iko hivi, kuna watu wanapiga show kizembe halafu akimaliza anavaa fasta anaondoka anaacha mtoto kalala chali na unakuta ni mtoto mkali, sasa kipindi hicho tulikuwa tunafanya hivi;

Unasubiri mpaka dem aoge avae akitoka kuja kukabidhi funguo unamwambia kama umechoka unaweza kupumzika kidogo maana chumba kimelipiwa mpaka kesho saa 4 asubuhi, pia namwambia wewe kapumzike tu nakuja kukuletea sabuni na taulo nyingine, kati ya madem 10 watatu wanakubali na wanarudi kweli na kati ya hao 3 wawili wanalika bila tabu.

Ukiingia kumpelekea vitu unakuwa unamtania una sauti nzuri, mmh wakubwa mnafaidi, nk hadi anajaa kwenye mfumo unakula bure.

Ndom hununui ni zile zile walizotumia maana kati ya 3 wanakuwa wametumia 1 zimebaki 2. Kama hawakutumia unatumia Familia condom zilikuwa zinaletwa kwenye ma lodge bure, kama mzuri sana unapiga kavu.

Yani nilipenda sana ile kazi. Aliyenifundisha huo mtindo ni mtoto wa huyo ndugu yangu mwenye lodge. Yule mwamba sasa amekuwa na yeye amejenga lodges 3 ila sina uhakika kama anaendeleza huo ujinga au vipi.

Sisi tulikuwa tunaita UPONYAJI. kila wiki unaponya wa 2 au wa 3 na wengine wanakuwa wateja wakudumu.
Eeh
 
Kipindi naishi TEMEKE uswahilini .

Kuna mabinti walikuwa wanaenda Bar ambazo zipo karibu na LODGE wakiwa na hela ya bia moja tu.

Huyu akifika bar ukampata na ukalala nae .

Je utajiita kidume na kujisifu kuwa umeopoa au yeye ndo atajisifu kuwa channel zake zimetiki.?

Watu wengine usione wamependeza Ila wanapolala na wanapokaa usipime so ukimpa offer ya kulala Lodge yeye ndo anakuwa amepata na sio wewe.
Temeke Temeke Temeke Nimekuita Mara 3
Mwembe Yanga
Stereo
Twiga Lodge
 
Back
Top Bottom