Kama umewahi kuiba Guest house /Hotelini karibu utuambie uliiba nini na ulitumia mbinu gani?

mhh roho za kimaskini ndio zinafanya watu waibe vitu vidogo visivyo na tija...... Ibeni vitu vya maana kama umeamua kuwa mwizi
huo ni ugonjwa sometimes wengine anachukua hivyo vitu halafu hana ishu navyo!
kuna uzi aliuweka mshana jr uko km huu
 
uwezi nipangia cha kuongea kam alikuwa anamwambia uyo apple wake wangeongea private huko sawa na kwanini unakuwa mkeleketwa sana kujibu ivyo kuliko yeye mwenyew mleta uzi?
Kwasababu mimi ni "mkeleketwa" wake.
 
opsss Mungu anisameheme tulishawahi beba glass za Malaika hotel Mwanza,enzi za chuo tatizo zilikua zinavutia sana!
 
Hz ID Fake ndo zinasababisha mambo haya... Duuuh, hadi shuku aisee
 
Mpk kesho mimi stick naondoka nazo tuu hakuna namna........................ na nilishawahi kuondoka na salt vessel
Tupo wengii alafu ɓaadhi wanajifanya hawajawahi sio kweli
 
Hiyo saikolojia yako ni ya lumumbaaa mkuuu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]labda ni apple rapa
 
Nimecheka kwa saut mpaƙa mama kanishangaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…