Kama umewahi kuiba Guest house /Hotelini karibu utuambie uliiba nini na ulitumia mbinu gani?

opsss Mungu anisameheme tulishawahi beba glass za Malaika hotel Mwanza,enzi za chuo tatizo zilikua zinavutia sana!
Nashukuru sana maana nimekula mapovu ya omooo wakat vitu vya kawaida
 
Nimecheka kwa saut mpaƙa mama kanishangaaa
Kumbe bado mtoto unaishi kwenu, lakini ukweli ni huu wenda ulikuwa unafanya kwa kujifuraisha ama vinginevyo wewe unatabia ya wizi.

Na wizi usipoangalia hautoki damuni, utadokoa mifuko ya mumeo/mkeo sana ukina kuwa na mwenzi. Lakini pia najua kama unaweza kudokoa gesti nyumbani vitu vidogo vidogo lazima unapita navyo mazoea ndio tabia

Binafsi nimelala hotel na lodge kubwa nyingi sijawai chukua acha vitu bya muhimu kama remote, mashuka, hata sabuni sijawai beba. Na ni mtu mzima sasa lakn kwann sijawai? Nna hofu ndani yangu. Nimefunzwa katika misingi ya usiibe.

Sometimes katika mazingira mengine nje ya gesti hizo naweza kuwa tempted kudokoa kitu cha mtu au mtu kanizidishia chenchi natamani hivi nikaushe ila nafsi haitulii. Nitarudisha tu...sasa jenga tabia mpya

Usiibe.
 
Leo nalivua pendo nililopenda zamani[emoji445][emoji445][emoji445][emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Acha nikaanze kuiba visabuni na mimi[emoji19][emoji19]
Naona unataka clip yangu ya kulia isambae kipenzi.

We acha na viboxer[emoji6] [emoji6] ole wako.
 
Mkuuu naona povu limekujaa nataman nikutukane ila nimekuja kumsalimka mama anguu anaumwa jaman mbn umenipa hasira za ghafla achana na lyf yangu
 
Mkuuu naona povu limekujaa nataman nikutukane ila nimekuja kumsalimka mama anguu anaumwa jaman mbn umenipa hasira za ghafla achana na lyf yangu
Huna lolote unaish kwenu,nani anaoa mwiz.
 
Huna lolote unaish kwenu,nani anaoa mwiz.
Tenaaa nimekumezea matee shetani ww huna lolote povuuu tu limekutoka na ww inaonekana nɗo bingwaaa kabisaaa
 
Sabuni mi nishaondoka nazo tu sana kwanza huwa nakwenda na sabuni yangu. Huwa sivipendagi vile visabuni pili huwa naona ni haki yangu hivyo kuwaachia nitawapa faida
Noma sana mkuu
 
Hahahahahahahaa nna dem wangu huyo tukiingia gest mafuta ya mgando yanamuhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…