Ujasiri wa kuvuka moto? Kabla ya kuuvuka mliamini ni moto wa aina gani?. Maana ujasiri wa kupambana na moto?Miaka ya nyuma tunatoka mererani usiku wa manane tuko na pikipiki almaarufu baja tullikutakana na moto mkubwa ukiwa umetanda barabarani kama vile unavuka ,tulikuwa sita tukajishauri sana lakini kwasababu tulikuwa wengi tulipata ujasiri wa kupita ila cha kushangaza tulivuka na hatukuungua wala kuhisi chochote kuangalia nyuma baada ya kuvuka moto uko vile vile
Duuh mkuu mbona haya ni maajabuMiaka ya nyuma tunatoka mererani usiku wa manane tuko na pikipiki almaarufu baja tullikutakana na moto mkubwa ukiwa umetanda barabarani kama vile unavuka ,tulikuwa sita tukajishauri sana lakini kwasababu tulikuwa wengi tulipata ujasiri wa kupita ila cha kushangaza tulivuka na hatukuungua wala kuhisi chochote kuangalia nyuma baada ya kuvuka moto uko vile vile
Hahahaha mkuu hizi ni kambaKisa kingine nilikisikia kilitokea maeneo ya sumbawanga
Kuna mzee wamakamo alikua ni tajiri sana, pesa zake haweki benk na hata akienda kufanya manunuzi hua haweki kwenye wallet kuzistiri zisionekane yeye hua anazishikilia tu kama wanafunzi wanavyoshika vitini vyao mikononi
Siku moja kuna kosi la majambazi lilijipanga kwenda kumvamia
Walimkuta yuko nyumbani kwake ameshikilia pesa akipata upepo kwenye garden yake
Wakamnyooshea bastola na kumwambia atulie kimya kisha atoe kila kitu alichonacho
Yule mzee akachukua zile pesa akazibana kwenye kwapa lake huku akitetemeka kwa woga
majambazi wakamsisitiza kua anyanyue mikono juu, mzee akatii amri kwa kunyanyua mikono juu kisha pesa alizozibana kwapani zikaanguka chini majambazi wakaziokota
Wakamwambia tena "toa kila kitu ulichonacho"
Round hii unaambiwa mzee alichomoa kichwa chake akakishika mkononi halafu kile kichwa kikiwa mkononi kikatoa sauti ikisema "sina chochote jamani nina kichwa tu hapa"
yeah hyo ni nature kikiundwa kitu ni lazma kirudishwe na wengi huwa wana feli hapo sababu kubwa huwaga ni chuki na zile hasira za kitu alichofanyiwa ila baada ya tukio wengi huwa wanashindwa kurejesha kiumbe husika katka hali ya kawaida kwani kinavyoondoka na kinavyorudi mziki wake unakuwaga mzito na mhusika mkuu anayetakiwa kukirudisha ni ww mwenyewe mhusikaNilisimuliwaga ; Kwamba ukienda kwa mganga labda ili kumdhuru mtu ukitaka auwawe na simba/Nyoka etc dawa ya kuunda simba inakua (labda) kama punje za mahindi unawekewa mkononi unasema maneno basi yule kiumbe anatokea akishaenda kumdhuru mlengwa jukumu lako kama muunda Killing machine yule kiumbe akirudi ukuwekee unga mkononi alambe anabadilika anarudi kama zile punje za awali.
wengi wao wanashindwa wanaishia kufa kwa ajili (unaambiwa) kiumbe kinaporudi huko kama ni Simba basi amefura anahasira na madamu mdomoni ,kitu cha kutisha ule ujasiri wa kukaa utulie aje alambe unga unakutoka ukikimbia ndio anakutafuna na wewe, imagine nyoka anavyofoka vile unaanzaje kukaa[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umechanjiwa au?Mimi nitaandika vitu vichache tu
_Nimewahi kuwaona usiku wachawi wakicheza ngoma nje ya nyumba niliyopanga
_Nimeona misukule sana,Sana mingine ilikua inaiba mboga usiku,yenyewe inaiba Nyama &Unga wa ugali ama ulaxe kiporo asubuhi hukuti
_Nimewahi kumshuhudia mzee maarufu mtaani kila siku hua anabeba ndoo moja ya Unga pamoja na madumu mawili ya baiskerli anapeleka ktk nyumba moja hivi kila siku saa 12 jioni kumbe anafuga misukule mingi mno,Sasa niliwahi kumfumania ametoka kuwanga saa 11 jioni kachelewa kurudi kwake tukapishana naenda kuoga ametoka nyuma ya mwembe
_Nimewahi kua karibu na mchawi mkongwe kiasi Cha kutaka kununua Misukule
Bei hutofautiana maximum 3,00,0000per kichwa Bei huzid kutokana na nguvu matumizi na nyota ya msukule
_Nimeshakutana na waganga&wachawi wengi njiapanda wakiwa katika shughuli zao usiku mnene
_Nimefanikiwa kujua lugha za kichawi
Mshirika_Mchawi
Kijakazi_Maukule
_Nimefanikiwa kufahamu viongozi kadhaa was kichawi na kupiga nao stori
_Nimefanikiwa pia kurogwa na kutumiwa jini
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete mavituziiKuna kisa nimekikumbuka hapa hadi mwili umesisimka