Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Kuna jamaa kutoka wilaya K mkoani Tanga alikua anaumwa. Sasa akaagiza mganga aje amtibie. Mganga akawa anachelewa. Jamaa akaagiza mganga B aje kwasababu A anachelewa. Ile Mganga B anaingia A nae akawa amefika. Sasa kukawa na mganga A na B wote hela wanazitaka. Badi kufumba na kufumbua B akasikia kiubaridi kichwani. Kupeleka mkono akakuta amenyolewa kipara na watu wasio julikana. Pale pale akajua amechezwa na kumuambia yule mwenzake aendelee yeye ana udhuru
 
Unaamini uchawi upo?
Wewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti wa Mbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simama chini ya huo mti wa mbaazi kisha vua nguo zako uwe uchi kabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unaweza kufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wa muhogo atakwenda kwao kufa.
 
Wewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti waMbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simam chini ya huo mti wambaazi kisha vua nguo zako uwe uchi wakabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unawezakufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wamuhogo atakwenda kwao kufa.
Kiranga ukuje
 
Wewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti waMbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simam chini ya huo mti wambaazi kisha vua nguo zako uwe uchi wakabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unawezakufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wamuhogo atakwenda kwao kufa.
Inahitaji Moyo kwa kweli,binafsi siwezi kujaribu Hilo em tupe njia nyingine rahisi ya kuwaona wachawi
 
Kiranga akipatikana mtu wa kuweza kukuroga nijulishe aniroge na mimi maana hizi story za kusadikika zinaendelea tu bila matendo.
 
Inahitaji Moyo kwa kweli,binafsi siwezi kujaribu Hilo em tupe njia nyingine rahisi ya kuwaona wachawi

UKITAKA KUWAONA WACHAWI (Hii Dawa ni hatari kama hauna kinga ya kutosha mwilini tafadhali usijaribu kabisa)

jua kabisa jambo hili ni hiyari yako lakin ni zuri sana kama utalifanya kwa hakii basi fanya yafuatayo,chukua Muhogo wa aina ya Kisamvu cha Mpira (Muhogo wa Mpira) majani yake pamoja na Majani ya mbaazi Hayo Majani ya aina 2 twanga kwa pamoja kisha kamua maji yake unawe usoni wakati wa usiku mwingi aka saa 8 usiku hakika utaona ajabu sana utawaona wachawi wote wanao kusumbuwa usiku.
 
Nikiwa na miaka Tisa ya ndoa yangu sikuwahi dhani wala kujua wife ni mchawi maana alikuwa msomi wa juu sana na mtu wa kanisa sana.siku moja nikiwa nimelala ulivuma upepo mkali mno gafla nikiwa macho nikajikuta nanyanyuliwa juu aisee nilisali sala zote gafla nikarudishwa chini.Kuangalia pembeni yangu alipolala mwenzangu naona mbwa aisee ulikuja kama usingizi hivi sekunde wife akarudi ktk hali yake ya ubinaadamu.Kesho yake nikahama home na ndoa ikafa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka yote ya ndoa hukuwai kutana na kisa chochote? Mli bahatika kupata watoto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa kutoka wilaya K mkoani Tanga alikua anaumwa. Sasa akaagiza mganga aje amtibie. Mganga akawa anachelewa. Jamaa akaagiza mganga B aje kwasababu A anachelewa. Ile Mganga B anaingia A nae akawa amefika. Sasa kukawa na mganga A na B wote hela wanazitaka. Badi kufumba na kufumbua B akasikia kiubaridi kichwani. Kupeleka mkono akakuta amenyolewa kipara na watu wasio julikana. Pale pale akajua amechezwa na kumuambia yule mwenzake aendelee yeye ana udhuru
Alizidiwa kete akaona Alale Mbele
 
digba sowey, Mie tukio la ajabu ni la jamaa flani aliyefeli shule na kufoji vyeti akaaminiwa na mkuu wa kaya mpaka akapewa ukuhani mkuu na kuketi meza kuu akila na kunywa na kusaza pamoja na jeshi lote kuwa chini yake. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kwa kuwa ni nchi yao waache wenyewe sisi tubaki na Tanzania yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 1999 nilipita kwenye ukuta live bila chenga, ilikua hivi nimetoka kuoga nakatiza dinning room, nika teleza bahati mbaya nilidondokea meza ya msosi mama aka nipa kipigo cha haja na kunifungia chumbani, kwakua nilikua na hasira za kupigwa kwa kuonewa na kufungiwa chumbani, nili ukuazia macho ukuta uku na ufata, niliona ukuta ukijigawa kati kati nikapita nikatokea sitting room nyuma ya kiti cha mzee, Wote wali pigwa butwaa na kwakua nilikua nime kasirika amna alie nisemesha. Hadi leo kila Niki jaribu kupita tena sijawahi fanikiwa. ILA NAHISI NILIIKUA KWENYE MAJARIBU YA KUWA MCHAWI.
 
Back
Top Bottom