Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mganga wa kienyeji analitoa .Mbali na kusali dawa gani ya kutoa jini?
mi ninao ushuhuda wa uchawi wa ziwani.Me pia ninacho cha busisi ferry nikikaa sawa nitakimwaga
Nenda kasomewe kisomo cha Ruqya vinginevyo utahangaika sana.waganga hawana uwezo wa kutoa majini zaidi ya kuyapoza tuMbali na kusali dawa gani ya kutoa jini?
Unasemaje?
Soma post za Kiranga anahitaji majibu na ushahidi usio na shaka. (Samahani lakini si kwa nia mbaya)Unasemaje?
Wewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti wa Mbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simama chini ya huo mti wa mbaazi kisha vua nguo zako uwe uchi kabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unaweza kufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wa muhogo atakwenda kwao kufa.Unaamini uchawi upo?
Kiranga ukujeWewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti waMbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simam chini ya huo mti wambaazi kisha vua nguo zako uwe uchi wakabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unawezakufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wamuhogo atakwenda kwao kufa.
Inahitaji Moyo kwa kweli,binafsi siwezi kujaribu Hilo em tupe njia nyingine rahisi ya kuwaona wachawiWewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti waMbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simam chini ya huo mti wambaazi kisha vua nguo zako uwe uchi wakabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unawezakufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wamuhogo atakwenda kwao kufa.
Inahitaji Moyo kwa kweli,binafsi siwezi kujaribu Hilo em tupe njia nyingine rahisi ya kuwaona wachawi
Miaka yote ya ndoa hukuwai kutana na kisa chochote? Mli bahatika kupata watoto?Nikiwa na miaka Tisa ya ndoa yangu sikuwahi dhani wala kujua wife ni mchawi maana alikuwa msomi wa juu sana na mtu wa kanisa sana.siku moja nikiwa nimelala ulivuma upepo mkali mno gafla nikiwa macho nikajikuta nanyanyuliwa juu aisee nilisali sala zote gafla nikarudishwa chini.Kuangalia pembeni yangu alipolala mwenzangu naona mbwa aisee ulikuja kama usingizi hivi sekunde wife akarudi ktk hali yake ya ubinaadamu.Kesho yake nikahama home na ndoa ikafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alizidiwa kete akaona Alale MbeleKuna jamaa kutoka wilaya K mkoani Tanga alikua anaumwa. Sasa akaagiza mganga aje amtibie. Mganga akawa anachelewa. Jamaa akaagiza mganga B aje kwasababu A anachelewa. Ile Mganga B anaingia A nae akawa amefika. Sasa kukawa na mganga A na B wote hela wanazitaka. Badi kufumba na kufumbua B akasikia kiubaridi kichwani. Kupeleka mkono akakuta amenyolewa kipara na watu wasio julikana. Pale pale akajua amechezwa na kumuambia yule mwenzake aendelee yeye ana udhuru