Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Ndio hizo legendSio Cossovo kweli hizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hizo legendSio Cossovo kweli hizo?
Ndo juzi nakuja kujua Marlboro ni kampuni ya sigaraMifuko ya Rambo na Marliboro
Marlboro ni wauza fegi maarufu duniani, wana miaka 99 kwenye uuzaji wa fegiNdo juzi nakuja kujua Marlboro ni kampuni ya sigara
Ngoja wahenga waje walete mrejesho mjarabuVyombo vya usafiri
1. DCM (Japo siku hizi bado chache zipo)
2. Mabasi ya Leyland
3. Chai maharage hii mnakaa mnatazamana Kama mnacheza draft
4. Peugeot
5. Datsun N.k
Nb: zilikua ndio luxury pindi hizo, nyingine ongeza.
Vyakula
1. Sambusa za ubwabwa ( shuleni)
2. Kachori za chachandu ya machicha ya Nazi
3. Koni za kwenye vikopo vya bati
Nyingine mtaongeza wadau.
Vinywaji
1. Juice ya kutengenezwa kutokana na unga wa kwenye vipakti, siku hz zipo jusi cola lakini hz zilikua noma pakti moja inatolewa ndoo mbili au tatu afu zinawekwa barafu...kumbuka hyo ni sikukuu wakubwa wanapiga soda watoto mnaishi na hzo ndude af mna enjoy sana.
2. Kuna soda flani ilikua ya njano inatengenezwa na kampuni ya coca nadhani jina nimeisahau
3. Chai ya chai jaba Nk.
Mavazi and accessories
1. Suruali za kodrai zikipigwa jua zinawakawaka Kama gold ya geita, sikuuu mnaeza jikuta mtaa mzima mmevaa Aina moja.
2. Magauni ya spesheli.
3. Njumu flani za mpira Kuna wajomba wameenda nazo Hadi shule zipo kama raba flani
4. Mifuko ya sports
5. Viroba vya unga kufanywa mfuko wa kubebea daftari
N.k
Matusi na matukano hasa ya wazazi
1. Nyau kasoro mkia ww
2. Nyambafu
3. Macho kumchuzi ww
4. Shenzi type
Ongezeeni na ya kwenu maana nimekumbuka nimecheka sana
Na tulio vaa chcchcchc tunaitwaje?Vyombo vya usafiri
1. DCM (Japo siku hizi bado chache zipo)
2. Mabasi ya Leyland
3. Chai maharage hii mnakaa mnatazamana Kama mnacheza draft
4. Peugeot
5. Datsun N.k
Nb: zilikua ndio luxury pindi hizo, nyingine ongeza.
Vyakula
1. Sambusa za ubwabwa ( shuleni)
2. Kachori za chachandu ya machicha ya Nazi
3. Koni za kwenye vikopo vya bati
Nyingine mtaongeza wadau.
Vinywaji
1. Juice ya kutengenezwa kutokana na unga wa kwenye vipakti, siku hz zipo jusi cola lakini hz zilikua noma pakti moja inatolewa ndoo mbili au tatu afu zinawekwa barafu...kumbuka hyo ni sikukuu wakubwa wanapiga soda watoto mnaishi na hzo ndude af mna enjoy sana.
2. Kuna soda flani ilikua ya njano inatengenezwa na kampuni ya coca nadhani jina nimeisahau
3. Chai ya chai jaba Nk.
Mavazi and accessories
1. Suruali za kodrai zikipigwa jua zinawakawaka Kama gold ya geita, sikuuu mnaeza jikuta mtaa mzima mmevaa Aina moja.
2. Magauni ya spesheli.
3. Njumu flani za mpira Kuna wajomba wameenda nazo Hadi shule zipo kama raba flani
4. Mifuko ya sports
5. Viroba vya unga kufanywa mfuko wa kubebea daftari
N.k
Matusi na matukano hasa ya wazazi
1. Nyau kasoro mkia ww
2. Nyambafu
3. Macho kumchuzi ww
4. Shenzi type
Ongezeeni na ya kwenu maana nimekumbuka nimecheka sana
Dah hii ya nyerere kupigwa mtama tulikua tunajazwa sana upepoKama umewahi kusoma gazeti liitwalo Mfanyakazi basi inabidi uwe kwako!
Kama uliwahi kuwaona O-level students wa Tambaza hama kwenu haraka.
Kama Uliwahi kusikia shule ya sekondari Forodhani hupaswi kuendelea kumtegemea babako.
Kama uliwahi kunywa juice ya sun vita basi wewe mkongwe.
Kama uliwahi kuhadithiwa kuwa Nyerere aliwahi kupigwa mtama na bodyguard wake basi unapaswa uwe na wajukuu...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hiyo unayosema nishaijuaNilisahau Mkuu halafu hapo kwenye Isuzu journey hiyo ilikua new model baada ya ile yenye tairi za mbele zimeingia ndani utasema inadondoka pale mbele ikatapo kona
Hizo LONDO za kupiga ENDEL km Jafongo za mchina toleo la kwanzaKuna Land Rover zilikua hazina automatic ignition zinaingizwa chuma kama bpedal ya baiskeli kwenye fan ya rejeta inazungusha kwa nguvu ndio ziwake ...ukiwa mzembe zinaeza vunja mkono... Kama kick ya Honda 110 ilikua na tabia hiyo nayo
Kwenye kuchagua shule primary Mtihani starndard 7Kama umewahi kusoma gazeti liitwalo Mfanyakazi basi inabidi uwe kwako!
Kama uliwahi kuwaona O-level students wa Tambaza hama kwenu haraka.
Kama Uliwahi kusikia shule ya sekondari Forodhani hupaswi kuendelea kumtegemea babako.
Kama uliwahi kunywa juice ya sun vita basi wewe mkongwe.
Kama uliwahi kuhadithiwa kuwa Nyerere aliwahi kupigwa mtama na bodyguard wake basi unapaswa uwe na wajukuu...
Hahahaaa nipo hapo kwenye kuvaa viatu vya Alichoki umenikumbusha mbali sana [emoji23][emoji23][emoji23]. Inshallah mtoto wa pili anakuja soonKama ushawahi kula askirim (ice cream) za vijiti uwe una watoto watatu na zaidi
Kama unajua maana ya peremende uwe na wajukuu wawili
Kwa miaka ya 2000 kama ulivaa viatu vya alichoki hakikisha unatakiw uwe na na watoto wawili
Kama ulishawahi kunywa soda inaitwa Fahari unatakiwa uwe na wajukuu sasa
Kama ulishiriki uchaguzi wa kwanza wa Demokrasia jiandae kufa tu ushakula chumvi nyingi hii awamu ya sita na mnakuwa wajuaji sana humu ndani.
Sikiza LEGENDKama ushawahi kula askirim (ice cream) za vijiti uwe una watoto watatu na zaidi
Kama unajua maana ya peremende uwe na wajukuu wawili
Kwa miaka ya 2000 kama ulivaa viatu vya alichoki hakikisha unatakiw uwe na na watoto wawili
Kama ulishawahi kunywa soda inaitwa Fahari unatakiwa uwe na wajukuu sasa
Kama ulishiriki uchaguzi wa kwanza wa Demokrasia jiandae kufa tu ushakula chumvi nyingi hii awamu ya sita na mnakuwa wajuaji sana humu ndani.