Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote

Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote

Watanzania kama ilivyo kwa wafrika wote ni watu wanaopenda Ngono.

So mtu maskini sehemu pekee anayodaidi dunia ni kwenye Mbususu na Dushelele.

Yaami unakuta Mtu ana hali ngumu sana ya maisha amechoka mno.watoto utaiamlo na nguo za kuvaa hawa.

Lakini kila mwaka anazaa.
Hovyo sana aiseee🤔🤔🤔
 
Wazee wa zamani walizaa watoto wengi n walikuwa matajiri, unajua siri yao ni nini?
Wako wapi hao matajiri wakati wao ndio wamesababisha Vinana wao hawatoboi?

We imagine unamaliza tu form four unatakiwa Kusomesha wasogo zako?

Yaami Mzazi mjinga anazaa watoto huku akiamini Mkubwa atasaidia kuleo wadogo.

Cycle imekuwa vilevile.
 
Familia nyingi zenye watoto wengi zinastruggle sana kiuchumi hata uwe na hela vipi roho ya umaskini itasumbua sana uzao wenu kama sio wazazi basi watoto yatawakuta mambo ya umaskini umaskini tu.

Baada ya kufuatilia haya mambo kwa muda mrefu nahitimisha kwa kusema kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na watoto wengi na umaskini, the more kids you brings to world the more poor you become ukiachana na malezi yatakayokugharimu kwa hao watoto uliowazaa pia kusimamisha uchumi wa familia ulio na nguvu za kuishi miaka 100 mbele ni shughuli pevu sana kwa watu wenye watoto wengi.

Kwaherini.
Wewe ni Kenge tafuta hela. Kuna mabchelor waempigika balaa
 
Kizazi cha 95 na kuendelea kuna kitu hamuelewi...

Wazee wa zamani walizaa watoto wengi n walikuwa matajiri, unajua siri yao ni nini?

Hawakuwa lelemama, watoto hawakulelewa kilelemama, ilikuwa ukishafikisha miaka 5 tu ni kazi na wewe, wewe na kazi.

Ila siku hizi? Unazaa mitoto inashinda nyumbani tu, ni kula kunywa na kulala. Sasa kwa style hiyo kwa nini msiwe masikini.

Enzi zile, kijana ukishafikisha umri wa kuoa, unapaswa uoe. Unapewa mahari na ardhi na vi mifugo vya kuanzia maisha, ndo mnakuwa mmeshaagana na wazee ivo. Kama hutaki kuoa basi unaondolewa kwenye ratiba za kula nyumbani, ukikaa vibaya mzee naye anakufukuza kwake, wazee walikuwa hawalei ujingaujinga kama siku hizi.

Siku hizi eti kijana wa miaka 25+ amemaliza chuo anarudi nyumbani kwenda kula ugali wa baba na mama? Anaenda kubanana na wadogo zake home? What the fu*k?

Jamii inabidi iamke, la sivyo kuna bomu kubwa sana linajipika taratibuuuu..
Mashamba...
Kiufupi walikua wanajiweza.
Kama unajiweza umaskini unakuja vipi na umewajengea watoto wako misingi imara.
Ishu ni kuwa uchumi zero alafu bado unafyatua
 
Kama huna pesa sawa, Nina watoto name, wake wawili,
Watoto kila mmoja anasoma kwa milioni 3 kwa mwaka,Nina kampuni, nimeajili watu 40! Turnover kwa mwaka bilioni 3.4!
Nina assets, apartments 5,zinaingiza 2.5 milioni kwa mwezi! Huo, umaskini utatoka wapi? May be Li Maggufuri lingine lije,liniweke jera.
Ukifa, kuna uwezekano mkubwa watoto wakagombea mali na kampuni ikafilisika.

Ingekuwa bora zaidi ungekuwa nao wachache.
 
Dah! SISI tumezliwa 16 kwa Mama Mmoja, na wala Mzee hakuna hela sana, rather commitment.

Wote, narudia wote, mwenye elimu ndogo ni 1 degree, alisomesha, wengine tumesomeshana, na hali nzuri.

Kuna walizaliwa 2 wenye millions of money, wote dropped out of school, wengine walitumia madawa ya kulevya.
Usitupige Kamba hapa.

Hapa hatuzungumzii Shule dogo. Tunaongelea kutoboa
 
Kama huna pesa sawa, Nina watoto name, wake wawili,
Watoto kila mmoja anasoma kwa milioni 3 kwa mwaka,Nina kampuni, nimeajili watu 40! Turnover kwa mwaka bilioni 3.4!
Nina assets, apartments 5,zinaingiza 2.5 milioni kwa mwezi! Huo, umaskini utatoka wapi? May be Li Maggufuri lingine lije,liniweke jera.
Tushalizika haliwez rudi tena,lilitufanya tuishi kama mashetani Kwa wivu wake usio na sabb..
 
Asilimia 90..utajiri na umaskin wa mtu upo ndani yake..hayo mambo ya sijui kupunguza watoto, sijui kuishi uswailin ulipe Kodi ndogo,kujibana kula vyakula duni,ubaili ..kuogopa spending nk ni external factors ambazo zina impact ya asilimia 10 tu...

utajiri ni habar nyingine kabisa!! Amka.
 
Mtajuana wenyewe na umasikini wenu
Sisi tuko wengi na tukijumlisha familia na watoto na wajukuu tunaweza kuwa na kijiji chetu kabisa
Na tupo vizuri na kutawanyika kila sehemu
Tafuteni hela jamani
Watoto kwetu ni hazina kubwa na utajiri pia
Ukichukia watoto basi hata wewe utajibahili tumbo lako
 
Usitupige Kamba hapa.

Hapa hatuzungumzii Shule dogo. Tunaongelea kutoboa

Tafsiri ya kutoboa kila mtu anaamua inamaanisha nini, is not universal, mfano kwenu kutoboa ni kuchuuza Dagaa, kwa mwingine ni tofauti.
 
Back
Top Bottom