Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

Kama umri wako ni zaidi ya miaka 30 na huna mpenzi anayeeleweka wa kuanzisha naye familia jaribu kujichunguza

Kwani hao wametangulia mbele za haki?

Na unaelewa swali likiuliza kwa nini inakubidi kunywa maji si sawa na swali linalouliza kwa nini unakunywa maji?
ha ha ha ha,leta majibu mkuu yaje yawe rejeo kwa kizazi kijacho
 
Back
Top Bottom