Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Anaolewa hata wanaume kutokana na mabadiriko ya uchumi na utafutaji wanachelewa sana kuoa ndio Kuna wengi Wana 35 na hawajaoa nasio kwamba wameupenda hiyo hali
Nina miaka 38 lakini maisha yamenikataa... Maisha yameniweza sana.
Mwanaume ana shinda unafikiri hao mabinti nao wanawataka mababu? Unafikiri yeye hataki kijana mwenzake wa kuuza naye sura insta?Mwanaume hana shida hata akijipata na 35 ataoa kabinti ka 25
Shida ni kwa hiyo mishangazi ya 27+
Mwanaume ana shinda unafikiri hao mabinti nao wanawataka mababu? Unafikiri yeye hataki kijana mwenzake wa kuuza naye sura insta?
maisha yenyewe mafupi haya ndugu,..🤣😂😂mutuache tuKuna wengine tuko nao above 30 lakini ndo kama kunekucha hawajali hawataki kuoa a.k.a wazee wa kataa ndoa 🤣🤣🤣Yaaan huwaambii kitu ujuaji mwingiii hata ka kiwanja hana.Wakisha kua na tv , sofa la mtu mmoja , kitanda cha chuma na sabufa wamemaliza kazi kweli kweli .....
Kwaiyo ukijiapata unakuwa na miaka 15?Miaka 35 ni babu? Ukishajipata hskuna cha ubabu mkuu
Mwanaume hazeeki ukilinganisha na mwanamkeKwaiyo ukijiapata unakuwa na miaka 15?
much knowMwanaume hazeeki ukilinganisha na mwanamke
Lakini umri unaenda kutozeeka ni kujitunzaMwanaume hazeeki ukilinganisha na mwanamke
Umri unasogea usijechelewa kufanya maamuzi Kwa kujidanyanya kuwa huzeeki.
Umepiga kwenye mshono ngoshaKuna wengine tuko nao above 30 lakini ndo kama kunekucha hawajali hawataki kuoa a.k.a wazee wa kataa ndoa 🤣🤣🤣Yaaan huwaambii kitu ujuaji mwingiii hata ka kiwanja hana.Wakisha kua na tv , sofa la mtu mmoja , kitanda cha chuma na sabufa wamemaliza kazi kweli kweli .....
uzi ufungwe umemaliza kila kitu mtaalam🤣🤣🤣🤣ego ya kumiliki viwanja ndo inafanya kuwe na miji na makazi holela ikichangiwa na hawa mabwana wadogo wageni wa jiji wanaotaka kupangiwa watu maisha.Ndo maana watanzania wengi ni maskini sana. Wengi tunakosea kwenye vipaumbele vyetu. Kabla ya kujenga nyumba hakikisha una chanzo imara cha mapato. Migogoro ya ardhi inachangiwa na watu wenye hisia kali na mambo ya viwanja. Mtu anakurupula tu ili ahesabike kuwa na yeye ana kiwanja.
🚮 it takes one to know oneIt is almost better for them to be unrepresented than have a fool representative
Sivipend vitanda vya chuma aiseeeee!!! Unalalaje kwenye silaha??Kuna wengine tuko nao above 30 lakini ndo kama kunekucha hawajali hawataki kuoa a.k.a wazee wa kataa ndoa 🤣🤣🤣Yaaan huwaambii kitu ujuaji mwingiii hata ka kiwanja hana.Wakisha kua na tv , sofa la mtu mmoja , kitanda cha chuma na sabufa wamemaliza kazi kweli kweli .....
Sasa ndo vijana wanavipenda hatariSivipend hitamda vya chuma aiseeeee!!! Unalala kwenye silaha??
Kabiiiiiiiiiisa!
Umaskini wa kutomiliki pesa na umasikini wa kutomiliki makazi kwa wenzetu ni mzunguko unaokimbiana uwianoNdo maana watanzania wengi ni maskini sana. Wengi tunakosea kwenye vipaumbele vyetu. Kabla ya kujenga nyumba hakikisha una chanzo imara cha mapato. Migogoro ya ardhi inachangiwa na watu wenye hisia kali na mambo ya viwanja. Mtu anakurupula tu ili ahesabike kuwa na yeye ana kiwanja.
Pole mkuu pambana utoke ulipo.Nina miaka 38 lakini maisha yamenikataa... Maisha yameniweza sana.