Kama una miaka 30, tayari umetumia nusu yako nyepesi na sasa upo kwenye nusu nyingine isiyohitaji mizaha

Kama una miaka 30, tayari umetumia nusu yako nyepesi na sasa upo kwenye nusu nyingine isiyohitaji mizaha

Mwanaume hana shida hata akijipata na 35 ataoa kabinti ka 25

Shida ni kwa hiyo mishangazi ya 27+
Mwanaume ana shinda unafikiri hao mabinti nao wanawataka mababu? Unafikiri yeye hataki kijana mwenzake wa kuuza naye sura insta?
 
Kuna wengine tuko nao above 30 lakini ndo kama kunekucha hawajali hawataki kuoa a.k.a wazee wa kataa ndoa 🤣🤣🤣Yaaan huwaambii kitu ujuaji mwingiii hata ka kiwanja hana.Wakisha kua na tv , sofa la mtu mmoja , kitanda cha chuma na sabufa wamemaliza kazi kweli kweli .....
maisha yenyewe mafupi haya ndugu,..🤣😂😂mutuache tu
 
Kuna wengine tuko nao above 30 lakini ndo kama kunekucha hawajali hawataki kuoa a.k.a wazee wa kataa ndoa 🤣🤣🤣Yaaan huwaambii kitu ujuaji mwingiii hata ka kiwanja hana.Wakisha kua na tv , sofa la mtu mmoja , kitanda cha chuma na sabufa wamemaliza kazi kweli kweli .....
Umepiga kwenye mshono ngosha
 
Ndo maana watanzania wengi ni maskini sana. Wengi tunakosea kwenye vipaumbele vyetu. Kabla ya kujenga nyumba hakikisha una chanzo imara cha mapato. Migogoro ya ardhi inachangiwa na watu wenye hisia kali na mambo ya viwanja. Mtu anakurupula tu ili ahesabike kuwa na yeye ana kiwanja.
uzi ufungwe umemaliza kila kitu mtaalam🤣🤣🤣🤣ego ya kumiliki viwanja ndo inafanya kuwe na miji na makazi holela ikichangiwa na hawa mabwana wadogo wageni wa jiji wanaotaka kupangiwa watu maisha.
 
Kuna wengine tuko nao above 30 lakini ndo kama kunekucha hawajali hawataki kuoa a.k.a wazee wa kataa ndoa 🤣🤣🤣Yaaan huwaambii kitu ujuaji mwingiii hata ka kiwanja hana.Wakisha kua na tv , sofa la mtu mmoja , kitanda cha chuma na sabufa wamemaliza kazi kweli kweli .....
Sivipend vitanda vya chuma aiseeeee!!! Unalalaje kwenye silaha??
 
Ndo maana watanzania wengi ni maskini sana. Wengi tunakosea kwenye vipaumbele vyetu. Kabla ya kujenga nyumba hakikisha una chanzo imara cha mapato. Migogoro ya ardhi inachangiwa na watu wenye hisia kali na mambo ya viwanja. Mtu anakurupula tu ili ahesabike kuwa na yeye ana kiwanja.
Umaskini wa kutomiliki pesa na umasikini wa kutomiliki makazi kwa wenzetu ni mzunguko unaokimbiana uwiano
 
Back
Top Bottom