Kama una miaka 40+ na hauna maambukizi ya HIV/AIDS mshukuru Mungu marijali tumepitia kipindi kigumu sana

Kama una miaka 40+ na hauna maambukizi ya HIV/AIDS mshukuru Mungu marijali tumepitia kipindi kigumu sana

Hapa nilipo kwa sasa ni padogo
Hivyo cycle ya mahusiano ni mtindo wa kupasiana

Kutokana na nature ya kazi na eneo lilipo imefanya kua na mawasiliano na ukaribu na watu wengi tofauti
Juzi kati nkawa na moja ya madactar wa moja wa kituo cha afya cha hapa


Kuna dada (bar maids) aliwahi kufanya kazi mafinga...kwa bahati mbaya akapata HIV
Akaja hapa kufanya kazi moja ya bar changamfu za hapa

Kuna jamaa yangu wa kitaa alikua anaenda anamnunua yule manzi then anasex nae
Baada ya jamaa kua ni mteja wa kudumu ikapelekea kua kama na mahusiano hivi
Kiasi kua yule dada akishapiga show time zake anaenda kupoa kwa mwamba
Kwa bahati mbaya hawakua wakitumia kinga

Juzi kati ndioo wakaja pale kwa yule jamaa yangu kupima baada ya dada kuhisi kama anamagonjwa ya zinaa
Kuna kipimo cha HIV nmekiona hivikaribuni kinasoma hata magonjwa kama kaswende na mengine
Baada ya kupima ikaonakana vyote vimo
(Remember wakati huo jamaa yupo kwa nje anasikilizia tu manzi atoke wasepe)
Wameshakua na mahusiano kwa miezi miwili hivi na wanachapana kavu yani

Mambo mengine ni MUNGU tu...

Even my self nshaoita maeneo hayo daaah! Anyway tujitahid tuwe makini
 
daaa sijui kwann nimeufungua huu uzi maana muda si mrefu hili li toto la form 3 limetoka kuifinyia kwa ndani.alafu linakatika kama pangaboi.

e mola mbele yako naiweka roho yangu. amen
Ni kwanini Umeyaruhusu eeh Mungu BABA Mwenyeziii[emoji1][emoji2][emoji3]
 
We acha tu, sijawai kuugua chochote zaidi ya malaria mara moja moja.
Ila hizo mbususu tulizopitia kavu mtu unashangaa mbona siumwi ngoma.?
Ni balaa
 
Ahaaa kuna uzi wangu humu utafute kwa miaka 20 nimestack sijanenepa wala kuzeeka wala kuongezeka hata kilo moja, i look like 25, nachakata vibinti vya chuo kama nini na havinipi shikamoo, kuna mmoja nimesoma na mama yake, hajawahi kuniamkia ananiambia mambo, tunachakatana na tunaongozana njiani bila shida. Niligombea uzee wa kanisa wakaninyima kisa naonekana kijana nikaamua kuacha kusali.
Watu Daslama they look young than the real age ,sijui kwanini.
 
Ahaaa kuna uzi wangu humu utafute kwa miaka 20 nimestack sijanenepa wala kuzeeka wala kuongezeka hata kilo moja, i look like 25, nachakata vibinti vya chuo kama nini na havinipi shikamoo, kuna mmoja nimesoma na mama yake, hajawahi kuniamkia ananiambia mambo, tunachakatana na tunaongozana njiani bila shida. Niligombea uzee wa kanisa wakaninyima kisa naonekana kijana nikaamua kuacha kusali.
Kanisa gan hilo wanagombea uzee wa kanisa?
 
Watoto waliozaliwa miaka ya 2000 huwa hawaamini kama ukimwi upo izo story ni ngumu wao kuzielewa mana hata ukimwi wa sasa umekuwa wakisasa zaidi ila nyie sie tuliozaliwa miaka ya 89, kuja 90 ndio tunajua adha ya huu ugonjwa
 
Hapa nilipo kwa sasa ni padogo
Hivyo cycle ya mahusiano ni mtindo wa kupasiana

Kutokana na nature ya kazi na eneo lilipo imefanya kua na mawasiliano na ukaribu na watu wengi tofauti
Juzi kati nkawa na moja ya madactar wa moja wa kituo cha afya cha hapa


Kuna dada (bar maids) aliwahi kufanya kazi mafinga...kwa bahati mbaya akapata HIV
Akaja hapa kufanya kazi moja ya bar changamfu za hapa

Kuna jamaa yangu wa kitaa alikua anaenda anamnunua yule manzi then anasex nae
Baada ya jamaa kua ni mteja wa kudumu ikapelekea kua kama na mahusiano hivi
Kiasi kua yule dada akishapiga show time zake anaenda kupoa kwa mwamba
Kwa bahati mbaya hawakua wakitumia kinga

Juzi kati ndioo wakaja pale kwa yule jamaa yangu kupima baada ya dada kuhisi kama anamagonjwa ya zinaa
Kuna kipimo cha HIV nmekiona hivikaribuni kinasoma hata magonjwa kama kaswende na mengine
Baada ya kupima ikaonakana vyote vimo
(Remember wakati huo jamaa yupo kwa nje anasikilizia tu manzi atoke wasepe)
Wameshakua na mahusiano kwa miezi miwili hivi na wanachapana kavu yani

Mambo mengine ni MUNGU tu...

Even my self nshaoita maeneo hayo daaah! Anyway tujitahid tuwe makini
JAMAA nae alikuwa nao majibu yalipotoka??? daah hatari sana na hivi vidonge siku hizi mwenye nao humjuiii...asienaooo humjuii kuna jamaa ni Shoga anao na anadai atawakomesha kwa kuwaambukiza kwa makusudi wengine hatari tupu.
 
JAMAA nae alikuwa nao majibu yalipotoka??? daah hatari sana na hivi vidonge siku hizi mwenye nao humjuiii...asienaooo humjuii kuna jamaa ni Shoga anao na anadai atawakomesha kwa kuwaambukiza kwa makusudi wengine hatari tupu.

Jamaa hakupima mkuu
 
Back
Top Bottom