Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ukienda beach kuna wabongo kama manzeseee jichabganye wasikie kiswahili utawapendaJamaa ni mshamba sana. Kuna wabongo hatari wapo hadi kwenye systems za nchi jirani wanakula na wakuu wa huko. Wengine hadi NIDA za huko wanazo hawasumbuliwi.