Labda huwafamu vizuri wanawake wa kibongo eti wakatae kuzaa hawana hiyo jeuriDawa yenu ni wanawake kukataa kuzaa kabla ya ndoa, anayetaka watoto aoe simple tu, hili nalo tutalianzishia kampeni soon "mwanamke kamwe usikubali kuzaa kabla ya ndoa"
Daa!!! hivi kumbe kuitwa single mother ni tusi?Subirini tu wakiona hawaolewi na wanazidi kutukanwa na kuitwa single mothers akili zitajireset zenyewe na kujua hapa kinatakiwa nini
Na mwanamke anayekubali kuzaa kabla ya ndoa ni mpumbavu hivyo nashangaa mwanaume anakosaje utu kiasi cha kutaka watoto wake wazaliwe na mama mpumbavu
Anyway tutafika tu
nakuuliza weweWaulize wanaume wenzio
Mkuu kama mwanaume unajifanya mbabe, msaliti, mnyanyasaji au eti unarudi nyumbani muda unaotaka na mwanamke anyamaze avumilie tu, na upumbavu mwingine kama huo, eti kisa tu wewe ndio kichwa cha familia (na wanaume wengi ndio mnataka hivi), tegemea tu lazima atavumilia kwa muda ila atakapopata nafasi ya kuondoka kwenye hiyo ndoa lazima ataondoka tu, hakuna binadamu anaweza kuvumilia hayo mnayoita "kumheshimu mume" bila sababu tena kwa maisha yake yote
Kipindi taasisi hii ya ndoa inaheshimika tulikuwa tukishuhudia watoto katika familia wakiwazika wazazi wao katika uzee wao kwa kiwango cha asilimia 98 wazee na asilimia 2 vijana.Kwa umri wangu huu (nimekula chumvi kiasi) nimeona na kujifunza mengi kuhusu mahusiano ya kimapenzi na ndoa. Nimeshuhudia vijana wengi waliokimbilia maisha ya ndoa wakipoteza muelekeo wa maisha muda mfupi tu baada ya kuianza hiyo safari ya ndoa!
Kutokana na mikasa na vitimbwi vya wanandoa wengi nilijipa muda wa kufanya utafiti mdogo usio rasmi kuhusu maisha ya ndoa na mwisho wa siku nikaibuka na majibu haya;-
1. Ndoa ni gereza la kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mwanaume (ndomana inaitwa pingu za maisha)
2. Ndoa ni mtego wa wanawake kuwatawala wanaume.
3. Ndoa ni chanzo cha magonjwa mengi kwa wanandoa hasa wanaume yanayopelekea vifo vyao (tuna mifano mingi ya wanaume waliopoteza maisha au kupata magonjwa mazito muda mfupi baada ya kuoa)
Kutokana na utafiti wangu huo usio rasmi nimeona niwashauri vijana wenzangu na wanaume kwa ujumla, Hakuna maisha ya furaha na amani ndani ya ndoa kama mnavyohubiriwa.
Ukitaka furaha tafuta pesa ujipe furaha mwenyewe (ukiwa na pesa utapata kila utakacho ikiwa ni pamoja na huduma zipatikanazo ndani ya ndoa)
Achaneni na upuuzi wa ndoa, yaani umtolee mahari, umtunze, uwatunze watoto, umlinde asikusaliti, umridhishe kitandani na bado mkiachana abebe mali zako?
Wabobevu mniambie ndoa ina faida gani kwa mwanaume? Je ni ngono tu au kuna kipi special?
#KATAANDOA
Mkuu kama mwanaume unajifanya mbabe, msaliti, mnyanyasaji au eti unarudi nyumbani muda unaotaka na mwanamke anyamaze avumilie tu, na upumbavu mwingine kama huo, eti kisa tu wewe ndio kichwa cha familia (na wanaume wengi ndio mnataka hivi), tegemea tu lazima atavumilia kwa muda ila atakapopata nafasi ya kuondoka kwenye hiyo ndoa lazima ataondoka tu, hakuna binadamu anaweza kuvumilia hayo mnayoita "kumheshimu mume" bila sababu tena kwa maisha yake yote
Mzee wangu naye alikuwa kama wewe hivyo hivyo, bahati nzuri hakuna aliyewahi kumuuliza wala kumshauri chochote si mama wala sisi watoto wake, cha ajabu sasa hivi analalamika eti mkewe na watoto tumemtenga ndicho anachonishangaza
Mtoto wa kike huyo hawezi kuelewa na tusimlaumu sana naona wanamkomoa mzee wao,hawajui sababu kwa nini mzee wao alikuwa anachelewa kurudi. Hapo unaweza ukakuta wanakula vizuri,wanavaa vizuri na mahitaji yote ya msingi wana yapata,sijui hawajiulizi haya mahitaji yalikuwa yanatoka wapi na ni nguvu ya nani.Na baba yangu mzazi nae alikuwa hivyo, na sasa ni mzee sana. Wanae tunakoenda sana yeye na mke wake (mama yetu) na kuwatunza sana.
Hivyo inaonekana kwenu kuanzia wewe na mama yenu wote MAJANGA, na atakaeoa kwenu/alieoa kwenu KAZI anayo.
Kwa hiyo mna mnyoosha mzee wenu daah.Yaani baba yako aliye kuleta duniani na kukupatia mahitaji yote ya msingi unamfanyia hivyo je huyo mume wako utamfanyiaje. Unajua sababu ya kwa nini alikuwa anachelewa kurudi?.Mzee wangu naye alikuwa kama wewe hivyo hivyo, bahati nzuri hakuna aliyewahi kumuuliza wala kumshauri chochote si mama wala sisi watoto wake, cha ajabu sasa hivi analalamika eti mkewe na watoto tumemtenga ndicho anachonishangaza
Hii nyuziKwa umri wangu huu (nimekula chumvi kiasi) nimeona na kujifunza mengi kuhusu mahusiano ya kimapenzi na ndoa. Nimeshuhudia vijana wengi waliokimbilia maisha ya ndoa wakipoteza muelekeo wa maisha muda mfupi tu baada ya kuianza hiyo safari ya ndoa!
Kutokana na mikasa na vitimbwi vya wanandoa wengi nilijipa muda wa kufanya utafiti mdogo usio rasmi kuhusu maisha ya ndoa na mwisho wa siku nikaibuka na majibu haya;-
1. Ndoa ni gereza la kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mwanaume (ndomana inaitwa pingu za maisha)
2. Ndoa ni mtego wa wanawake kuwatawala wanaume.
3. Ndoa ni chanzo cha magonjwa mengi kwa wanandoa hasa wanaume yanayopelekea vifo vyao (tuna mifano mingi ya wanaume waliopoteza maisha au kupata magonjwa mazito muda mfupi baada ya kuoa)
Kutokana na utafiti wangu huo usio rasmi nimeona niwashauri vijana wenzangu na wanaume kwa ujumla, Hakuna maisha ya furaha na amani ndani ya ndoa kama mnavyohubiriwa.
Ukitaka furaha tafuta pesa ujipe furaha mwenyewe (ukiwa na pesa utapata kila utakacho ikiwa ni pamoja na huduma zipatikanazo ndani ya ndoa)
Achaneni na upuuzi wa ndoa, yaani umtolee mahari, umtunze, uwatunze watoto, umlinde asikusaliti, umridhishe kitandani na bado mkiachana abebe mali zako?
Wabobevu mniambie ndoa ina faida gani kwa mwanaume? Je ni ngono tu au kuna kipi special?
#KATAANDOA
Dah! [emoji23][emoji23][emoji23]sista unajua hapo ndio umechochea moto kabisa nasio kuuzima. Kweli hata nyie wenyewe hamjui mwanaume huangalia vitu gani mpaka aoe. Anyway mimi kuoa sitaacha hata kidogo, ila aisee mnajifungaga wenyewe sana. Hamjui kutetea hoja zenu[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee wangu naye alikuwa kama wewe hivyo hivyo, bahati nzuri hakuna aliyewahi kumuuliza wala kumshauri chochote si mama wala sisi watoto wake, cha ajabu sasa hivi analalamika eti mkewe na watoto tumemtenga ndicho anachonishangaza
Mahari inatolewa kama shukran kwa wazazi kwamba binti amejitunza ( bikra)Hivi kwani siku hizi majukumu ya mwanamke kwenye ndoa hayaonekani au
Yani wewe mke akupikie, akufulie, akulee, akuzalie na akulelee watoto wako, akupe unyumba na vingine vingi halafu bado uone hastahili mali zako sasa unataka umpe kitu gani
Hizo mahari mnazotoa anachukua mke au wanachukua wazazi/walezi wake na umeshajiuliza ni kwanini kwenye jamii zetu mwanamke anatolewa mahari
Yani ukitoa huduma ya kiuchumi kuna kipi kingine mwanaume anachoweza kumpa mwanamke, maana mkae mkijua hizi kampeni zenu za kataa ndoa kisa kukimbia majukumu yenu hamuwakomoi wanawake, bali mnazidi kufanya wanawake wasione umuhimu wenu na hili limeshaanza hivi sasa kwa baadhi ya wanawake
Hayo mapungufu ya kibinadamu kwenye ndoa huwa yapo tu, hata wanaume mna mapungufu yenu ila ni vile ya kwenu mnayaona madogo hivyo mnalazimisha yavumiliwe, ila ya wanawake mnayaona makubwa hivyo mnaona hawastahili kuvumiliwa