Kama una mpango wa kuoa, jifunze hapa

Yeah mkuu kwani pesa si ndio kila kitu, kama ambavyo yeye alikuwa akitupa pesa tu ila mengine akamuachia mama, ubaya uko wapi hapo

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Sasa hapo ndipo umefunguka. Umeiona hiyo chuki uliyonayo kwamzazi wako, wewe hudhani imeishia kwake. Lahasha, that's a psychological problem ambayo utakuja kumuumizia sana mume wako kwakuwa you have unresolved daddy issues. Ndio maana uliona wachangiaji wakakwambia utakuja kuwa tatizo kwenye ndoa sema walitumia lugha ya dharau. Comments zako zote zimeakisi chuki juu ya baba yako naninyi wenyewe mnasema tuwapende kama mlivyo, hivyo mumewe atateseka sana juu ya hiyo chuki yako. Resolve the things with your father before he dies kwasababu ukweli nikuwa usiporesolve hiyo chuki utaihamishia kwamtu mwingine pindi mzee akifariki na great chance ni mme au watoto wako wa kiume. Ndio maana kila kitu utaona mwanaume nimbaya, believe me. Kama pesa nikila kitu kwanini hukuikubali na kwanini utake kurudia makosa au kumlipiza mzazi wako. Watu tunajifunza kwenye shida na makosa na kuwa a better version of the previous not the same or worse than the previous. Hili nitatizo kubwa sana kwa wadada.
 
Ni kweli wanasema tunapata baraka tunapowatii wazazi wote wawili hawakusema tumtii aliekamili au mwenye mapungufu hata kama yalikuwa wazi au yalifichwa sio kazi yetu kuhukumu juu ya wazazi wetu
 
Walosema ujana ni nusu ya uwendawazimu hawakukosea tunayaona Sasa yaani Kuna watu wamepita kwenye nusu,
ujana wao umekuwa wendawazimu kamili
 
Kwamba mnaogopa makaratasi, ila mnataka "sogea tuishi"?

Kwa nini mnaingia kwenye ndoa na notion kwamba "tutaachana"?
Kusinge kuwa kuna kuachana ata ndoa kwa mujibu wa sheria zisingekuwepo , unafunga ndoa kuna kuwa na mashaidi , unasaini ili yakija kutokea mashaidi na zile saini zikubane .
 
Ni kweli dada wote waliodumu kwenye ndoa wamepata masaada wa kiroho au ndoa zote zilizodumu zimepatikana KWA kuomba MUNGU?
 
Hiyo hiyo sex kwenu mmeifanya ya muhimu na hamuwezi kuishi bila hiyo ndio maana wanawake bado wataendelea kuwa wa muhimu kwenu siku zote

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Nani kasema nyie sio wa muhimu ? Kama tu kitu kidgo kama nyusi kina umuhimu kwa nini nyie msiwe na umuhimu sasa.
 
Wasiooa Wana stress na valentine nn mbona nyuz zimekuwa nyingi watu wako busy kutafutia wake zao na wakezao watarajiwa zawadi [emoji3]wakaenjoy mbona mna makasiriko sana [emoji23]
Alafu valentine ni sikuku ya wapendanao , wapendanao wanaweza kuwa baba mama , watoto au ata ndugu na jamaa na marafiki , acha kujipa umuhimu hivyo.
 
Kwa kweli ni kazi ngumuuu na bado akununie tuu bila sababu kisa kapewa ice cream na beach boy .... Kuna mwanamke wa ndoa na slay qeen , huwa tunachanganya hv vtu , ukipata mwanamke anaekupenda Hz changamoto zinakuwa chache Sana
 
Hayupo sawa huyo kichwani japo yeye mwenyewe anajiina yupo sawa ila hajijui halafu kichwa ngumu,ukisoma comment zake paka unashanga unaweza sema labda amejizaa.

Wewe muache kwani dunia ni yake maisha ni yake.
 
Ni swala mda endelea kujitoa ufahamu.
 
Sema watoto wa nje ya ndoa mnaukosefu wa maadili sana. Hivi kuna mtoto aliyezaliwa ndani ya ndoa yenye baraka atachukia kuwa na ndoa?
Tatizo lenu ndo hili, hamuwezi kujenga hoja. Kashfa na matusi ni kielelezo cha stress za ndoa zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…