Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

Kama una mtaji fanya biashara ya Mbuzi, utakuja kunishukuru

Mimi hapa...Niko nimeanza

Naomba na wengine wasome hapa kama hawatojali..kwa sasa mbuzi wako juu sana,ni high season wakulima wana pesa za mbaazi na dengu wanaringa hawauzii njaa..mbuzi mpk 150k kwa mbuzi mmoja na kondoo pia bei ndo ziko hvyoo....Mimi nilikua na kiasi nkaongezewa ila mpk mda huu nazunguka minadani bado sijafanya kutafura unafuu maana hakuna mbuzi wa 50k may be vile vidogo Sanaa..

Wanaofanya kwa sasa ni wazoefu tu wa business wanalinda mitaji yao na wao kwa kua wengi wanajua biashara at least wanapata faida japo kidogo sana na advantage kubwa wao huku wengi wana mini yao hvyo hawagharamii malazi plus msosi...kwa mgeni kama sisi ukiingia kichwa kichwa itakula kwako uanze laumu watu...Mimi toka Alhamis nazunguka na pesa yangu naogopa nisije nkachoma bure na kutafuta mchawi..
Msimu mzuri wa kuanza hii biashara kwa huku Kondoa ni December may be utafute chimbo lingine ila kwa huku nimeogopa..December to April mbuzi mkubwa kabisaa unampata mpk elf 60 ambae kwa sasa wanauzwa laki na 50!!!
Kaka jebel alieleza vzr kule juu namimi nakazia umakini msiseme hamjaambiwa!!
Ahsanteni

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kondoo mkubwa dume anaenda mpka sh ngapi rafiki yangu...
 
Mimi hapa...Niko nimeanza

Naomba na wengine wasome hapa kama hawatojali..kwa sasa mbuzi wako juu sana,ni high season wakulima wana pesa za mbaazi na dengu wanaringa hawauzii njaa..mbuzi mpk 150k kwa mbuzi mmoja na kondoo pia bei ndo ziko hvyoo....Mimi nilikua na kiasi nkaongezewa ila mpk mda huu nazunguka minadani bado sijafanya kutafura unafuu maana hakuna mbuzi wa 50k may be vile vidogo Sanaa..

Wanaofanya kwa sasa ni wazoefu tu wa business wanalinda mitaji yao na wao kwa kua wengi wanajua biashara at least wanapata faida japo kidogo sana na advantage kubwa wao huku wengi wana mini yao hvyo hawagharamii malazi plus msosi...kwa mgeni kama sisi ukiingia kichwa kichwa itakula kwako uanze laumu watu...Mimi toka Alhamis nazunguka na pesa yangu naogopa nisije nkachoma bure na kutafuta mchawi..
Msimu mzuri wa kuanza hii biashara kwa huku Kondoa ni December may be utafute chimbo lingine ila kwa huku nimeogopa..December to April mbuzi mkubwa kabisaa unampata mpk elf 60 ambae kwa sasa wanauzwa laki na 50!!!
Kaka jebel alieleza vzr kule juu namimi nakazia umakini msiseme hamjaambiwa!!
Ahsanteni

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
duuh, ama kweli hakuna pesa rahisi duniani...kila jambo linachangamoto zake..c mchezo, mkuu next week nlitaka nije huko na mimi kuchora mazingira kwa ujumla wake...unadhani ni vyema kufanya hivyo kwa sasa au bora nisubiri tu mpk huo mwezi wa Dec...?
 
informartion nzuri sana,ila hawa middle men ukikaa vibaya wanapiga sana cha juu,ni bora ununue mbuzi ni cut hawa middle men ,niwe end
consumer mm mwenyewe.nikimaanisha nitafute eneo kama bar ivi then nyama choma iuzwe nadhani itasaidia sana na faida itaonekana
 
duuh, ama kweli hakuna pesa rahisi duniani...kila jambo linachangamoto zake..c mchezo, mkuu next week nlitaka nije huko na mimi kuchora mazingira kwa ujumla wake...unadhani ni vyema kufanya hivyo kwa sasa au bora nisubiri tu mpk huo mwezi wa Dec...?
Jilipue tu!au kama vipi njoo PM

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mimi hapa...Niko nimeanza

Naomba na wengine wasome hapa kama hawatojali..kwa sasa mbuzi wako juu sana,ni high season wakulima wana pesa za mbaazi na dengu wanaringa hawauzii njaa..mbuzi mpk 150k kwa mbuzi mmoja na kondoo pia bei ndo ziko hvyoo....Mimi nilikua na kiasi nkaongezewa ila mpk mda huu nazunguka minadani bado sijafanya kutafura unafuu maana hakuna mbuzi wa 50k may be vile vidogo Sanaa..

Wanaofanya kwa sasa ni wazoefu tu wa business wanalinda mitaji yao na wao kwa kua wengi wanajua biashara at least wanapata faida japo kidogo sana na advantage kubwa wao huku wengi wana mini yao hvyo hawagharamii malazi plus msosi...kwa mgeni kama sisi ukiingia kichwa kichwa itakula kwako uanze laumu watu...Mimi toka Alhamis nazunguka na pesa yangu naogopa nisije nkachoma bure na kutafuta mchawi..
Msimu mzuri wa kuanza hii biashara kwa huku Kondoa ni December may be utafute chimbo lingine ila kwa huku nimeogopa..December to April mbuzi mkubwa kabisaa unampata mpk elf 60 ambae kwa sasa wanauzwa laki na 50!!!
Kaka jebel alieleza vzr kule juu namimi nakazia umakini msiseme hamjaambiwa!!
Ahsanteni

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Shukrani sana ngoja tujipange tusubiri pesa za mbaazi ziishe.
 
HONGERA SANA NA UMENIFUNGUA KWA KWELI KWENYE BIASHARA YAANI KUMBE TUNAKAA TU KUNA BIASHARA ZINGINE KAMA HIZI
Njoo twende Mimi nimevaa roho ya utafutaji si ngono ata gharama ya malazi tutashare chumba kimoja kama wakongo(mfanyabiashara mwanamke na mwanaume wakongo wanaweza kushare room moja ugenini ili kubana matumizi)

NO NGONO WATU WANAWAZA PESA TU!!!
 
Back
Top Bottom