Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Vijana wengi wanaacha masomo ya Chuo Kikuu kwa sababu asilimia ndogo sana ndio hupata mikopo. Sera ya CCM ni kuwapa mikopo mayatima tu. Soma sera hii ya CHADEMA halafu fanya chaguo sahihi kwa ajili ya mwanao.
"Ugharamiaji wa elimu ya juu ndio changamoto kubwa kwenye elimu ya juu na hivyo kusababisha watu wenye sifa za kusoma kushindwa kupata ufadhili wa Serikali. Kwa muktadha huo Serikali ya CHADEMA inasema kuwa itahakikisha wale wote wenye sifa za kujiunga na vyuo vya kati, vyuo vya ufundi na vyuo vikuu wanapewa mikopo bila ya ubaguzi wowote". (Ukurasa wa 36)
"Ugharamiaji wa elimu ya juu ndio changamoto kubwa kwenye elimu ya juu na hivyo kusababisha watu wenye sifa za kusoma kushindwa kupata ufadhili wa Serikali. Kwa muktadha huo Serikali ya CHADEMA inasema kuwa itahakikisha wale wote wenye sifa za kujiunga na vyuo vya kati, vyuo vya ufundi na vyuo vikuu wanapewa mikopo bila ya ubaguzi wowote". (Ukurasa wa 36)