Kama una Mwanamke Muongeaji mwenye ma Stori halafu anashabikia Simba SC, tulia naye!

Kama una Mwanamke Muongeaji mwenye ma Stori halafu anashabikia Simba SC, tulia naye!

[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Nimo kwenye relationship ya aina hii. Ni raha sana.

Rafiki halafu mshikaji wangu sana huyu binti dah! [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Ewaaaa sasa imagine unadate mdada hawezi ata kusema ana genye 😀😀😀😀chats zenu haziongei tabia mbaya, hamtaniani😀😀😀😀mkiwa wote akipita mdada mrembo hawezi kukustua ugeuke uangalie wooooi
 
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Nimo kwenye relationship ya aina hii. Ni raha sana.

Rafiki halafu mshikaji wangu sana huyu binti dah! [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Kuna Mmoja yeye hata kujampa, alikuaga hawez kujampa mbele yangu, akawa anajibana sana.

Nikamwambia weee uwe unajampa tu ,siku hizi nikiwa naye, aaah anajiachia tu 🤣🤣
Huu ndio urafiki Sasa wa mapenzi.
 
Ewaaaa sasa imagine unadate mdada hawezi ata kusema ana genye 😀😀😀😀chats zenu haziongei tabia mbaya, hamtaniani😀😀😀😀mkiwa wote akipita mdada mrembo hawezi kukustua ugeuke uangalie wooooi
Umeona eeehhh ,huyu alokua anaogopa kujampa ,yeye kwenye kuongea anaongea wazi, kama ananyege anakuambia, nahii ni sababu nilimwambia Toka awali kua nataka uwe wazi Kwa chochote .

Ananyege atakuambia...G Leo nafeel tutiane
 
Nina rafiki yangu wa kike ambaye huwa anaongea sana haswa akiwa na mimi, huwa nafurahi na kuenjoy sana hata kama akiongea nonsense, lakini na yeye huwa anaenjoy vile Nampa muda wa kusikiliza upuuzi wake,

Hawa mademu ukitaka uwafaidi wewe onesha kumjali, si kwa pesa tu hata namna ya stori zenu, siyo Kila muda upo busy tu, utachapiwa tu hata ukihonga Yale majengo marefu ya pale posta.
Wewe hujakutana na mambo ya “niqmbie”

Yanaboa mfano hakuna
 
Umeona eeehhh ,huyu alokua anaogopa kujampa ,yeye kwenye kuongea anaongea wazi, kama ananyege anakuambia, nahii ni sababu nilimwambia Toka awali kua nataka uwe wazi Kwa chochote .

Ananyege atakuambia...G Leo nafeel tutiane
Na hayo ndo mahusiano sasa

Na hata ukimdinya under perfomance aseme leoo mhh hapana sio kawaida
 
Halafu nyie walimu ni watamu balaa
Mwalimu awe anaishi kwake, unaenda kumlia kwake hapohapo.

Kikubwa ukiwa unaenda, Beba Anagalau kilo 10 za Michele ule super, kilo Kumi ya ngano, mafuta , mbebee Maharage , mbebee Nyama kilo hata tatu , Samaki pia, Na kijizawadi hata kigauni na pafyumu.

Mimi Huwa napenda Ile anapika kavaa kijivaz mahaba huku anarudi Chumban kuandaa mazingiraaa ,hapo daaahh 🤣🤣🤣
 
Ewaaaa sasa imagine unadate mdada hawezi ata kusema ana genye [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]chats zenu haziongei tabia mbaya, hamtaniani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mkiwa wote akipita mdada mrembo hawezi kukustua ugeuke uangalie wooooi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Huyu wangu anajua napenda mikia. Basi utasikia anapiga "mshikaji kuna pisi hapa inaburuta mkia mpaka imeelemewa yaani. Nakutumia picha..."

Haya tuma bebi lakini tambua hakuna mwenye mkia kukuzidi wewe Mama E...

Najua. Huu mkia wangu ni wako tu Baba E. Tena leo kula ushibe maana nakuja kuku-safoketi nao....

Sasa mapenzi kama haya mtu utachokaje jamani? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Huyu wangu anajua napenda mikia. Basi utasikia anapiga "mshikaji kuna pisi hapa inaburuta mkia mpaka imeelemewa yaani. Nakutumia picha..."

Haya tuma bebi lakini tambua hakuna mwenye mkia kukuzidi wewe Mama E...

Najua. Huu mkia wangu ni wako tu Baba E. Tena leo kula ushibe maana nakuja kuku-suffocate nao....

Sasa mapenzi kama haya mtu utachokaje jamani? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Huwezi kuchoka kwa kweli
 
Kuna siku nilikuwa sehemu kwenye get together,ghafla simu ya kijana mmoja ikaita akasema jamani "IGP Cammilius Wambura ananipigia,"akasogea mbali kuongea alivyorudi mezani mtu mmoja kamuuliza salama mkuu,mbona simu za IGP Tena tunatishana?ndio anajibu..Kaka huyu Ni mke wangu ana maswali magumu Kama IGP!anauliza maswali ambayi hata mama yangu hajawahi kuniuliza,uko wapi?na Nani?,unafanya nini?unakunywa Nini?unakula Nini?umeenda huko saa ngapi?,unarudi nyumbani saa ngapi? jamani watu tuliishia kucheka na kumpa pole,,,maswali yawe na kiasi Cha!
 
Mwanangu kama vile unamjua.

Yaan yeye baada ya maswali utasikia..

Nambieee.


Jana kanitumie text mida ya saa 12 jion anauliza Swali.


Umelala??.

Nikamjibu , acha bangi basi.

Weee alipiga simu nyingi sanaaa alafu kulalamika Sasa mpaka Anaboa, mtu analalamika sanaaaa .
[emoji38][emoji38] acha bangi basi
 
😂😂😂😂Kweli mywangu..Hata sijui watu wanaishiwaje vya kuchati na wapenzi wao matusi yote haya,tatizo wapenzi wao wanawaona ma baba paroko sijui?
Sema Mara nyingi sisi wanaume tunafanya mazingira ya kiparoko maana nyie wanawake Huwa mnaflooo na mapigo ya Me.

Mwanaume akiwa paroko..nanyie mnajificha humohumo .


Ma Bidada yangu yote nafloo nayo, ila huyu Mwalimu ,Sijui anajikuta nani vile kile kitu mpaka nianzishe mimi
 
Back
Top Bottom