Kama una Mwanamke Muongeaji mwenye ma Stori halafu anashabikia Simba SC, tulia naye!

Kama una Mwanamke Muongeaji mwenye ma Stori halafu anashabikia Simba SC, tulia naye!

Mwambie nipo gesti hapa kuna mbususu naisubiria
 
Uko kazin?

Upo wapi sahiz?

Umekaa na nani?.

Umekula nn?.

Umelala na nani?

Mnaongea nn?.

Hizo ndio Stori za Bidada wangu Mchepuko wangu madam Fulani Hivi Mwalimu [emoji1787][emoji1787]

Hana Stori kabisa, yeye ni maswali mwanzo mwisho, ni maswali mwanzo mwisho !!.Maswali mpaka Anaboa, nimeshamwambia hivi wee hunaga Stori zaidi ya maswali?.

Alafu Sasa, usipomjibu,. Anakuambia Humpendi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom