Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
- Thread starter
- #41
🤣🤣🤣[emoji38][emoji38] acha bangi basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣[emoji38][emoji38] acha bangi basi
Yaaaani mimi 😀😀😀etu tu wapenzi na tusichat upuuzi aah we sio mimi😂😂😂😂Kweli mywangu..Hata sijui watu wanaishiwaje vya kuchati na wapenzi wao matusi yote haya,tatizo wapenzi wao wanawaona ma baba paroko sijui?
Niache niko hovesiAcha basi nikuitie like lijamaa naona waanza nikana
😂😂😂😂🦁🦁Na Simba pia unishabikia? Maana kule kwenye simu za masaa manne umenishinda tabia.
Je akikuambia niambie, siku ya kwanza mnaanza mahusiano inakuwaje..Ukiona mtu ameanza mambo ya kukuambia "niambie". Ni dalili ya mwisho kuelekea mahusiano kufa.
Sure wanawake wanachukua chochote unachowapa, ni vile tu wanaume wengi wanapenda kuwa kwenye comfort zoneSema Mara nyingi sisi wanaume tunafanya mazingira ya kiparoko maana nyie wanawake Huwa mnaflooo na mapigo ya Me.
Mwanaume akiwa paroko..nanyie mnajificha humohumo .
Ma Bidada yangu yote nafloo nayo, ila huyu Mwalimu ,Sijui anajikuta nani vile kile kitu mpaka nianzishe mimi
Tueelezea basi hayo matusi na sisi tujueYaaaani mimi [emoji3][emoji3][emoji3]etu tu wapenzi na tusichat upuuzi aah we sio mimi
😀😀😀😀ambieni my zenu wajiongezeTueelezea basi hayo matusi na sisi tujue
tuchat na akima mywetu[emoji23]
Safari hii umekutana na mwinjilistiSema Mara nyingi sisi wanaume tunafanya mazingira ya kiparoko maana nyie wanawake Huwa mnaflooo na mapigo ya Me.
Mwanaume akiwa paroko..nanyie mnajificha humohumo .
Ma Bidada yangu yote nafloo nayo, ila huyu Mwalimu ,Sijui anajikuta nani vile kile kitu mpaka nianzishe mimi
😂😂😂😂😂Nakupendaga tu ulivyochanganyikiwaYaaaani mimi 😀😀😀etu tu wapenzi na tusichat upuuzi aah we sio mimi
Hawajui sasa, tunapopata wakufunzi kama nyinyi ndo tanjifunza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ambieni my zenu wajiongeze
😀😀😀nnavyopenda upuuzi 😅😅😅😂😂😂😂😂Nakupendaga tu ulivyochanganyikiwa
Wanatakiwa wajifunze wao sio weweHawajui sasa, tunapopata wakufunzi kama nyinyi ndo tanjifunza[emoji3]
[emoji848]sio wote itabidi tujue ili tukianza kuchat kila mtu anatoa alichojifunzaWanatakiwa wajifunze wao sio wewe
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna siku nilikuwa sehemu kwenye get together,ghafla simu ya kijana mmoja ikaita akasema jamani "IGP Cammilius Wambura ananipigia,"akasogea mbali kuongea alivyorudi mezani mtu mmoja kamuuliza salama mkuu,mbona simu za IGP Tena tunatishana?ndio anajibu..Kaka huyu Ni mke wangu ana maswali magumu Kama IGP!anauliza maswali ambayi hata mama yangu hajawahi kuniuliza,uko wapi?na Nani?,unafanya nini?unakunywa Nini?unakula Nini?umeenda huko saa ngapi?,unarudi nyumbani saa ngapi? jamani watu tuliishia kucheka na kumpa pole,,,maswali yawe na kiasi Cha!
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani tulicheka wewe🤣🤣🤣🤣🤣
Imenibidi nitype khaaa
🤣🤣🤣🤣Nakuelewa sana😀😀😀nnavyopenda upuuzi 😅😅😅
😂😂😂😂Mwalimu awe anaishi kwake, unaenda kumlia kwake hapohapo.
Kikubwa ukiwa unaenda, Beba Anagalau kilo 10 za Michele ule super, kilo Kumi ya ngano, mafuta , mbebee Maharage , mbebee Nyama kilo hata tatu , Samaki pia, Na kijizawadi hata kigauni na pafyumu.
Mimi Huwa napenda Ile anapika kavaa kijivaz mahaba huku anarudi Chumban kuandaa mazingiraaa ,hapo daaahh 🤣🤣🤣
😂😂😂Kuna siku nilikuwa sehemu kwenye get together,ghafla simu ya kijana mmoja ikaita akasema jamani "IGP Cammilius Wambura ananipigia,"akasogea mbali kuongea alivyorudi mezani mtu mmoja kamuuliza salama mkuu,mbona simu za IGP Tena tunatishana?ndio anajibu..Kaka huyu Ni mke wangu ana maswali magumu Kama IGP!anauliza maswali ambayi hata mama yangu hajawahi kuniuliza,uko wapi?na Nani?,unafanya nini?unakunywa Nini?unakula Nini?umeenda huko saa ngapi?,unarudi nyumbani saa ngapi? jamani watu tuliishia kucheka na kumpa pole,,,maswali yawe na kiasi Cha!