Kama una Mwanamke Muongeaji mwenye ma Stori halafu anashabikia Simba SC, tulia naye!

😂😂😂😂Kweli mywangu..Hata sijui watu wanaishiwaje vya kuchati na wapenzi wao matusi yote haya,tatizo wapenzi wao wanawaona ma baba paroko sijui?
Yaaaani mimi 😀😀😀etu tu wapenzi na tusichat upuuzi aah we sio mimi
 
Sure wanawake wanachukua chochote unachowapa, ni vile tu wanaume wengi wanapenda kuwa kwenye comfort zone

ukikifanya paroka na yeye ataenda hivyo kama mama mchungaji ukienda kiuni na yeye humo humo..
 
Safari hii umekutana na mwinjilisti
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Imenibidi nitype khaaa
 
😂😂😂😂
 
😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…