Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio anavyofanya ila huko ni kujidhalilisha😀😀, hapo atakua anajisifia kuwa yeye ni dume la mbegu.
Mke/mume mwema kumpata s rahisi kwa dunia ya leo. Land tufe kwanzaNdoa siyo utapeli mkuu, tafuta mke/mme mwema.
Hatuwezi kuzaa ovyo kama bata bhana...... maisha hayaendi hivyoNature haielekezi hivo, mwwnwume zaaa mwra nyingi kadri uwezavyo
Sperm donors hao....Huyo ni mpumbavu pro max, ana 5 stars rating ya upumbavu. Yupo boya mwingine kazalisha ke wa 5 ana watoto 8 na hatunzi hata mmoja alafu haogopi hata kuficha huo upuuzi wake. Unaanzaje kujisifia kwa upuuzi huo? Kuna watu n wapuuzi mno.
Tunajidanganya eti kila mtoto anakuja na 'riziki yake',Hii inaumiza sana mkuu, asilimia kubwa sisi maskin ndo tunaongoza kufyatua watoto wengi kupita kiasi...
Nnachokupendea,Malalamiko kuhusu taasisi ya ndoa yamekua mengi mno aisee....kwa nini msitulie tu.....kuoa au kuolewa ni kuyaoga....ukiweza jimwagie ukishindwa mwaga maji chini.......Mungu aingilie kati hiz ndoa aisee[emoji119]
Hii hutokea pale, mzazi ( anapo kuwa na Kipato cha kati, kila mtoto atatamani yeye ndiye Msimamizi mkuu)Furaha huwa ni pale me anapoambiwa "nina mimba yako" nae kwa furaha na kujiona kidume atajibu "usijari nitalea"...
Wakati wa mimba mpaka mtoto akizaliwa mara nyingi huwa ni raha. Changamoto ni mtoto akianza kukua na kujitambua, anajikuta ana mababa wawili au zaidi, ndgu kibao wa ubabani.
Mpaka anakuja kuelewa yeye ni mtoto wa nje ni akishajitambua kabisa.
Wengine huanza kuleta zengwe kwa mzee na familia yake.
Chakataneni Kisha kila mtu akalale kwake😀😀, Kwa hiyo mkuu unashauri, tuendelee kuwa ma single,
Ni mjinga sanaSperm donors hao....
AmiinNnachokupendea,
single but positive na tasnia ya ndoa[emoji106]