Na ukimuona asiyekuwa muislam anamzika asiyemjua huyu tunamuitaje?Mojawapo ya wajibu wa Muislam kwa muislam mwenzie ni kumzika pale anapofariki. Hivyo unapomuona muislam anashiriki kwenye mazishi ya mtu asiyemjua basi ujue anatimiza wajibu wake kama muislam
Huenda walidhani ni Alkaeda umeenda ku survey sehemu ya kuchoma, anyway siku nyingine wapime imani kwa kuwaomba msaada mwishoni waambie nimekuja kuleta fungu la kumi uone U turn yao ilivyo sharpNilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.
Matapeli wamekuwa wengi mjini kwa kujifanya wana shida kumbe wanakusanta mapato na ndio kazi yao asubuhi hadi jioni.Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.
Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.
Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.
Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.
Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.
Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Sawa inaongozwa kitaasisiHapo huku omba msaada kanisa Bali mtu binafsi! Kanisa Lina mfumo wake wa menejimenti ya fedha watakupaje tu kiholela!
Usijumuishe masuala binafsi nà Taasisi! Yaani MATAPELI walvyo jaa mijini Itoe tu fedha kirahisi! Haya mm nilitaka kumsaidia mtu huwa najiuliza maswali mengi sana!
Ungetuletea ushahidi wa jinsi KKKT Kama Taasisi isivyoweza msadia mtu.
Ningesema nimeenda kutoa sadaka na maombi ningefanyiwaHuenda walidhani ni Alkaeda umeenda ku survey sehemu ya kuchoma, anyway siku nyingine wapime imani kwa kuwaomba msaada mwishoni waambie nimekuja kuleta fungu la kumi uone U turn yao ilivyo sharp
Ntaendelea kubaki mkristoKaribu kwenye dini inayoendana na umbile lako na mfumo wako wa maisha mkuu, tangu kuzaliwa mpaka kufa na baada ya hapo.
Tena fastaNingesema nimeenda kutoa sadaka na maombi ningefanyiwa
Unajua shida ikoje subiri siku upate shida ndo utaelewaEasy;
Basi nenda kaombe msaada kanisa la Catholic.
Ningesema nina milion hapa nataka nitoe kama sadaka nisingeitwa tapeliMatapeli wamekuwa wengi mjini kwa kujifanya wana shida kumbe wanakusanta mapato na ndio kazi yao asubuhi hadi jioni.
Sasa from no where hakuna anayekuamini.
Ukiitwa John ndiyo haraka sana unasaidiwa ili uone hawa ni wema ngoja niungane nao ila akiitwa Abdalah lazima maelezo ayatoe kama alivyofanya mleta mada.Msaada unapatikana kwa wepesi msikitini.
Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.
Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.
Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.
Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu
Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
Mbona mnachanganya mada...Hospitali,Shule zinaendeshwa kibiashara..sio charity nioneshe Hospitali ya Taasisi inayojiendesha kicharity ..labda ungehoji je ninhalal Kanisa kuwa na Biashara?!Sawa inaongozwa kitaasisi
kkkt wanamsaada gani kwa waumini wake zaidi ya kuwahimiza kutoa sadaka huku wakiushi kama peponi usiniambie hospitali sababu tukienda huko tunalipia hela
KabisaTunapenda dini zetu sana kuliko kumpenda MWENYEZI MUNGU. Tuna dini ila bado ni wachawi, wala rushwa, wazinzi, wafiraji, makahaba, majambazi. Dini haijawahi kumsaidia mtu.
Nenda ...Ili tusijadilian na mtu uliyekaririshwa Dini !Haya
Kwa heri
Ukitaka utibiwe bureSawa inaongozwa kitaasisi
kkkt wanamsaada gani kwa waumini wake zaidi ya kuwahimiza kutoa sadaka huku wakiushi kama peponi usiniambie hospitali sababu tukienda huko tunalipia hela
Uko sahihi kabisaMsaada unapatikana kwa wepesi msikitini.
Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.
Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.
Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.
Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu
Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
Kuna namna flani nakubaliana na wewe hata kama nawakosoa sana WaislamMsaada unapatikana kwa wepesi msikitini.
Mimi sio muislam na huwa naponda sana vitu vingi vya uislamu.
Ila kwenye mambo ya utu wa wa waumini wake hapa Tanzania uislamu unaongoza. Kwenye kukusikiliza shida yako na kukusaidia wapo vizuri sana.
Hata kama mgeni ana tatizo akienda msikitini rahisi kusikilizwa na kusaidiwa kuliko akienda kanisani.
Waislam ni wajamaa na wakristo ni mabepari.. hata huduma za kanisani wenye hela wanapata upendeleo kila sehemu
Kanisa halimsikilizi mtu lisiemjua.. hata kumzika tu mkristo mwenzao ishu wanatazama mahudhurio yake na utoaji wake wa sadaka
Hata mimi nakubali kuwa wapo waislam wengi wanaojali Utu na hata mimi nilishasaidiwa sana na Jamaa mmoja na sasa tunasaidiana bila kujali dini zetuTunaanglia wingi wa natendo mazuri,,,Bwana Joseph alinikamata Kwa kosa la kuendesha pkpk yangu bila kofia akapika makosa SI chini ya Tano huku akinitukana, alivyobipeleka kituoni nikamkuta afande Mudi akanitonya na kuninasihi nilipe Moja tu niondoke chap...
Hata ukienda jera askari magereza waislamu wapo fair kuliko hao Wala kitimoto