Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Wewe una chuki zako binafsi...Aliyekushusha utu ni huyo uliyekutana nae na sio kanisaNote
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.
Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.
Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.
Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.
Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.
Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Karibu supu ya samaki wabichiNenda ...Ili tusijadilian na mtu uliyekaririshwa Dini !
Kanisa ni watu na sio majengoWewe una chuki zako binafsi...Aliyekushusha utu ni huyo uliyekutana nae na sio kanisa
Upendo wa kweli haupimwi kwa watu unaowaju bali kwa usiowajuaMatapeli + wauaji wengi hutumia maeneo ya kanisa kufanya nia zao ovu.
Ulisikia yule mtu alimuua padri huko Karatu miezi kadhaa nyuma?
Unataka watumishi/wachungaji wacheke na kila mtu anayekuja kanisani wakiuliwa/kuibiwa nani alaumiwe?
Huyo amevimbiwa na nyama za kafara kutoka Saudi Arabia zinazogawiwa bure misikitini.Mnaanza kufunguka akili.
Muda sio mrefu mtaweza kutenganisha maziwa na tui la nazi.
Sasa mlinz anaeza kuwa hata dhehebu lingne au dini nyingine,ww uctuchafulie kanisa letu,sema hiyo siku ilkua mbaya tu kwako,kuna cku unaamka inakuwa mbaya kuanzia asbuh mpaka kulala,ila watu wema sio lazima wawe makanisani ,unaweza kuwakuta watu wema bar au hata sehemu nyingne za dhambi na ushangazwe na utu wao.sasa ww ukakariri kanisan poleNdo maana europe makanisa hayana watu sitakaa nimsahau yule mlinzi hivi unamfokeaje mtu mwenye shida
Nilijiuliza utu uko wapi
Tokea siku hiyo nikasema sitakaa nikanyage kanisani mpaka sahivi sina dini tena
Umeeleza vizuri ila huku mwishoni ndo ulipoanza kuvurugaNote
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia
Upendo wa kweli unapimwa kwa watu usiowajua unawatreat vip usiowajua wanapohitaji msaada wako na sio unaowajua
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.
Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.
Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.
Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.
Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.
Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Yani kwa akili zako uende Msimbazi center utapewa hostel ulale bure na ule bure canteen kisa wewe ni Mkristo au Mkatoliki?Ningesema nimeenda kutoa sadaka na maombi ningefanyiwa
Usiingie nyumba ya mtu bila kubisha hodi.Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia
Upendo wa kweli unapimwa kwa watu usiowajua unawatreat vip usiowajua wanapohitaji msaada wako na sio unaowajua
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.
Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.
Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.
Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.
Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.
Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Kwa utapeli uliojaa mjini, siwezi kuwalaumu, huwezi kutoa msaada wa pesa kwa kila MTU anayedai ana "shida"! Utathibitisha vipi? Kuwa mpole, toa maelekezo ya kutosha.Note
Unahaki ya kumnyima mtu msaada sio dhambi au kosa ila usidhalilishe utu wake kama hauna nia au hutaki kumsaidia
Upendo wa kweli unapimwa kwa watu usiowajua unawatreat vip usiowajua wanapohitaji msaada wako na sio unaowajua
Kuna mwaka nilipitia msoto mkali nilikua mitaa ya ITV nikasema ngoja niende kanisa la lutheran lililopo karibu na ITV linaitwa usharika wa Mwenge.
Nikaingia pale ila sikumuona mlinzi nikamuona mmama upande wa kushoto nikamfuata kumbe kule ndo kuna ofisi za mchungaji nikamfuata akaniambia mchungaji.
Tukaongea wewe baada ya mazungumzo to be honest nilikua sina hata mia mfukoni akampigia mlinzi kwa pembeni akaongea nae baada ya muda akaniambia nimfuate mlinzi yaani yule nilimuomba tu nauli nilikua nimebanwa ila hakunisaidia japokua anafanya kazi kwenye ofisi ya mchungaji to be honest ana roho ngumu sana.
Nilipomfuata mlinzi akaanza nifokea nikamuomba samahani kwa kuingia bila kumjulisha eeh bwana akaendelea kunifokea tena kwa sauti nikamwambia hata kama nina shida usidhalilishe utu wangu nikaondoka.
Nilichojifunza ni ngumu sana kupata msaada kwenye kanisa la KKKT kama hawakujui yaani makanisa yao sio nyumba ya Mungu anymore.
Baraka za Mungu zipo katika maeneo madogo madogo na usiyoyatarajia mfano anaweza akaja mtu smart akakuambia hana hela ya kula wewe utambeza na hutampa ila ndo umesakosa baraka za Mungu hivyo
Bro mbona unabadilisha madaYani kwa akili zako uende Msimbazi center utapewa hostel ulale bure na ule bure canteen kisa wewe ni Mkristo au Mkatoliki?
Taasisi Mara nyingi hazitowi msaada individual, huwa zinatowa msaada kwa magroup yenye uhitaji wa shida Fulani.
Kwa mfano kuna taasisi ya Waislamu inafadhili upasuwaji bure kwa watu wenye matatizo ya mtoto wa jicho, taasisi inacover gharama za upasuwaji ambazo si chini ya million 3, na hao siyo waislamu hawa wachezaji bao, pesa zinatoka overseas.
Agha Khan ni hospitali ya taasisi ya kiislamu, nenda na mandevu yako pale uwaambie huna uwezo unahitaji matibabu uone.
Yaani husaiidii watu kwa sababu ya utapeliKwa utapeli uliojaa mjini, siwezi kuwalaumu, huwezi kutoa msaada wa pesa kwa kila MTU anayedai ana "shida"! Utathibitisha vipi? Kuwa mpole, toa maelekezo ya kutosha.
Agha Khan ni taasisi ya kidini ya kiislamu, labda hujui hilo.Bro mbona unabadilisha mada
Unafananisha afgha khan na kanisa unavituko
Kanisan ni sehemu watu wanapeleka mizigo yao ni kazi ya kanisa kuwatua ndo maana ya kanisa
Tofautisha kwenda kuomba unafuu na mtu ana shida ya dharura
Sasa sio msikiti alafu usijione una akili kwa mambo ya kawaida sanaAgha Khan ni taasisi ya kidini ya kiislamu, labda hujui hilo.
Wanamagamba hao Mungu amekataza!Karibu supu ya samaki wabichi
Sabato mnakosa vinono aiseeWanamagamba hao Mungu amekataza!
makanisa si kwa ajili ya changamoto za kiimani tu.Bahati mbaya sana wapo watakaoamini maneno haya.
Nikuulize,ulipata changamoto gani ya kimaisha au kiimani kiasi ukawa unahitaji msaada kwenye hayo makanisa?
Sikuhukumu,lakini humo niliko-bold sijui kama unaijua imani yako kisawa sawa.makanisa si kwa ajili ya changamoto za kiimani tu.
Mwili ndio wenye changamoto, hatuishi kwa imani,hatuli imani,hatuvai imani,hatutembelei imani. Tafakari kisha Chukua Hatua.