Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]TANROAD Nawao hawakurudi Nyuma
GONGA UGONGWE[emoji3]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]*Mzee mmoja aliagizwa sidiria na mke wake, alipofika dukani akawa amesahau size gani. Mama muuzaji akamwambia: "Usijali, njoo unishike matiti yangu ulinganishe na hayo ya wife wako labda utakumbuka ukubwa wa sidiria ulioagizwa, "Mzee kuona hivyo akasema: "Niliagizwa na chupi!"*
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
We jamaa wewe, itakuwa ushakula jani, si kwa staili hii[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji38]*MADEMU WENYE CHUCHU NDOGO WANAOGOPA KUANIKA SIDIRIA ZAO NJE ET! KISA WATU WATADHANI MIWANI*
[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Naaaaaamu otherwise utawakosea wakwe heshima.Eti nasikia kuwa ukienda ukweni sio vizuri kula muwa.... mliiooa ni kweli hayo?
Hahahhha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23] daah!Huko nchini SOMALIA kuna mtu amechepuka Mara moja tu na kuhukumiwa kupigwa mawe hadharani hadi kufa.
Hii sheria ikiletwa Tanzania itabidi serikali iagize kwanza mawe nchi za nje maana yaliyopo hayatatosha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji87] [emoji87] [emoji87]ukiona mtu mwenye namba ya tigo anachati.... Ujue kasha jazwa
Repost hiiMkurya kapakia trei za mayai kama 25 kwenye baskeli anatoka Gongo la mboto kufika tazara Trafiki kamsimamisha na kuanza kumuuliza;
Polisi: Umebeba nini?
Mkurya: Mayai Mraaa
Polisi: Mayai ya nani?
Mkurya: Ya kuku Mraaa
Polisi: Yanatoka wapi?Mkurya: Mraaa, mkunduni kwake mraaa
[emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]Polisi kaishiwa pozi ikabidi tu amuachie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati mwingine bangi zinasidia![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]*Kuna mtaa nimeshindwa kupita mm maaana nimekuta bango limeandikwa PITA UPITIWE nimerud zangu natafuta njia ingine*[emoji19][emoji1321][emoji1321][emoji1321]