Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Niko hom, nimemkuta mdogo wangu na rafiki yake, mdogo wangu kaja na yake eti "Braza naomba makenikia" mi nikakunjua jeans yangu chini na kumkusanyia mchanga ulioingia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dogo kakasirika, ndipo rafiki yake akaniambia kuwa dogo alikuwa anataka macoin nilobakisha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sipendi kufuata mkumbo mimi[emoji57] [emoji57]
 
Mkurya kapakia trei za mayai kama 25 kwenye baskeli anatoka Gongo la mboto kufika tazara Trafiki kamsimamisha na kuanza kumuuliza;
Polisi: Umebeba nini?
Mkurya: Mayai Mraaa
Polisi: Mayai ya nani?
Mkurya: Ya kuku Mraaa
Polisi: Yanatoka wapi?Mkurya: Mraaa, mkunduni kwake mraaa
[emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]Polisi kaishiwa pozi ikabidi tu amuachie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati mwingine bangi zinasidia![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
*MADEMU WENYE CHUCHU NDOGO WANAOGOPA KUANIKA SIDIRIA ZAO NJE ET! KISA WATU WATADHANI MIWANI*
[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa wewe, itakuwa ushakula jani, si kwa staili hii[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji38]
Mi nimeacha kwanza nipo kwenye mfungo.
 
Hahahaha hapa saum imenishona hadi sikumjua hata huyu mmasai nilipishana nae nikafkiri Albino kumbe ni Yero[emoji3]
 
Dah haya maisha ya kijijini noma kweli, nimetafuta kuni ili nipike bahati mbaya si nimekosa ikabidi nikate mbangi wangu, moshi wake sasa [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapa hata sijui napika nini, maana bora ningevuta kuliko huu unaoniingia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Repost hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…