Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Kuna mpaka msichana wa kike!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu kwani kuna binti wa kiume?
Nawewe umeanza kutumia lijani...[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]Wadau nashukuru sana kwa maombi yenu na msaada wenu wa hali na mali
Nimefanikiwa kupata mchumba
Natarajia kuingia wiki hii ofcoz mchumba una madirisha makubwa na mlango mzuri shukran ziende kwa dalali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji40] [emoji14]*Juzi nlienda kumsalimia Dada angu kwake basi baada ya kukaa kidogo akaja mwanae akaanza kunambia anko KISIMI, hee nkashituka nkamwambia unasemaje ww akarudia tena KISIMI anko. Aisee nkashika bakora nikamchapa kweli ndo Dada anakuja anasema mtoto alimaanisha 'KISS ME'*
*Haya mambo ya kupeleka watoto shule za international ndo yanatuumbua ata sisi wenye vyeti feki kudadeki, pole anko mwaya*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hahahaha mvulana wa kiumeKuna mpaka msichana wa kike!!
tena hayitaji hata maji kuyameza[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ,,,majibu mubashara kabisaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bangi sio majani ya kunde ujue…?!!Wadau nashukuru sana kwa maombi yenu na msaada wenu wa hali na mali
Nimefanikiwa kupata mchumba
Natarajia kuingia wiki hii ofcoz mchumba una madirisha makubwa na mlango mzuri shukran ziende kwa dalali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu itakuwa na yeye ameshaanza kuitia nazi na kula kwa ugali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bangi sio majani ya kunde ujue…?!!
Kwan asaiv ni free?Yanayoendelea DAR kuna haja ya kuweka nauli hapo CHALINZE [emoji23]
On or in? English maniac!I need my boyfriend on my bed![emoji41]
Hahaa*MITOMINGI*; nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo
*MAMA_MAZOEA*; Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).
*MAZOEA*; Hodi! Hodi!
*NGOSWE*; Karibu
*MAZOEA*; (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.
*NGOSWE*; Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.
*MAZOEA*; Nimeambiwa nifanye haraka.
*NGOSWE*; Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?
*MAZOEA*; Bee?
*NGOSWE*; Salama?
*MAZOEA*; Salama tu.
*NGOSWE*; Sasa ndio umekataa kukaa?
*MAZOEA*; (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?
*NGOSWE*; Bado kidogo.
*MAZOEA*; Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)
*NGOSWE*; Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. (Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?
*MAZOEA*; Mie?
*NGOSWE*; Ndio wewe hapo kisura.
*MAZOEA*; (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!i
Story ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe! ! !
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]