Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakua wangu hao[emoji23]Stress ni nini
Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
Huyu dugu ni balaa yaan nime pishana nae ana rudi[emoji15]![]()
Hivi huyu jamaa vp ameshakwenda au bado?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Nime muona [emoji218] na msogezea kaa la moto na msubiri apasuke [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sipendagi hadithi zenye wadudu Mimi.Story hii ina funza......
Mtoto mmoja wa miaka iliyokadiriwa kufikia
kama miaka kumi hivi, alikuwa anakula embe
mara akakuta FUNZA....alichofanya aliacha
kulila akaenda kunawa
Nimekwambia story ina FUNZA....... nadhan umemuona.. Akili yang naijua mwenyew
Lazima upanic tu*Ushawahi fanya mtihani halafu msimamizi kasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza "jamani hakikisheni mnasoma vizuri maswali"*
Huu mwaka noma. Balaa zaidi ni pale benki watakapo anza promosheni kwenye ATM zao kwamba INGIZA UINGIZIWEWateja wa tanesco nao wamekuja na yao KATA UKATIWE
Uingizwe wapiHuu mwaka noma. Balaa zaidi ni pale benki watakapo anza promosheni kwenye ATM zao kwamba INGIZA UINGIZIWE
uingiziwe kwenye wallet yakoUingizwe wapi
Yako magari yanatumia mawese kweliuingiziwe kwenye wallet yako
HahahahahaNime muona [emoji218] na msogezea kaa la moto na msubiri apasuke [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sipendagi hadithi zenye wadudu Mimi.