I[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimesikia kuna wanafunzi wamegoma kufanya mitihani, kisa wamekuta lile swali la fill in the blanks "wanaogopa kujaza, eti watajazwa"[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kanye sas
Hivi huyu jamaa vp ameshakwenda au bado?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
[emoji13] [emoji13]
BABA: mwanangu mbona skuizi wapenda niita DAD badala ya BABA
BINTI : kuita baba kunamaliza lipstick.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa,,,Wewe Ni Mwanafunzi.. HUNA HELA Ila Umeamua Kudate Na Mwanafunzi Mwenzako HANA HELA Halafu Unamtemegea AKUTUNZE kwa Kutumia Nini Sasa?
[emoji16][emoji16][emoji16]
Labda Kwa PHOTOSYNTHESIS PROCESS???
Hahahaha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji1] [emoji1] [emoji9]Kuna jamaa alikuwa akisisitizwa sana kuoa [emoji132] baba yake alimtafutia wake zaidi ya wa nne yeye anasema amamchumba wake tena kwa msisitizo
Masiku yakaenda kuna siku baba anakwenda chooni anamsikia mwanae akilalamika ohoooo baba ananotafutia wachumba kila siku mi siwataki nataka nikuoe wewe na sitakuacha hata waseme nini.
Baba si ndio akaona kweli mwanae yale aliyokuwa anasema ni ya kweli leo kaja na mwanamke wake ndani tena wako chooni wanaoga.
Baba akapigia simu masheikh waje haraka nyumbani kwake waje wapige ya mkeka
Kwa vile walikuwa majirani tu chap wakawa wamefika . Sindio wakavunja mlango wakamkuta ameshikilia sababuni.
Baba kwa hasira akawaambia masheikh muozesheni hiyo hiyo sabani. Masheikh wakafanya yao[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Niko njiani napelekwa mirembe nahisi ndiko honeymoon ya jamaa inapofanyia
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]*Nikiwa nimechoka najiamulia tu kupiga simu police:*
*Mimi:* Hello afande nipo hapa naona watu kibao wamekufa...
*Afande:* Kiongozi tuambie mahali ulipo tuje sasa hivi...
*Mimi:*Nipo hapa makaburini...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawaajiliwi siku hizi nduguhahahahaha ila sijaelewa mwalimu kozi ya sanaa wanakuaje
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haYule Mark Zukabeg alipata hasara kwenye project ya 1.9 Billion na "he is breathing fine"
Mimi leo sijui nimeweka wapi elf kumi yangu naskia kifua kinataka kupasuka.... asthma asthma ivi...... kichwa kinagonga sana naskia pia mchanganyiko wa typhoid na malaria.... naskia hadi kulia.....
kweli life is not fair
[emoji24]