Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Nimesikia kuna wanafunzi wamegoma kufanya mitihani, kisa wamekuta lile swali la fill in the blanks "wanaogopa kujaza, eti watajazwa"[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
I[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
e0a7270b2d76d7276db390a890ca9328.jpg

Hivi huyu jamaa vp ameshakwenda au bado?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
kanye sas
 
Wewe Ni Mwanafunzi.. HUNA HELA Ila Umeamua Kudate Na Mwanafunzi Mwenzako HANA HELA Halafu Unamtemegea AKUTUNZE kwa Kutumia Nini Sasa?
[emoji16][emoji16][emoji16]
Labda Kwa PHOTOSYNTHESIS PROCESS???
Hahahaaaa,,,
 
Kuna jamaa alikuwa akisisitizwa sana kuoa [emoji132] baba yake alimtafutia wake zaidi ya wa nne yeye anasema amamchumba wake tena kwa msisitizo
Masiku yakaenda kuna siku baba anakwenda chooni anamsikia mwanae akilalamika ohoooo baba ananotafutia wachumba kila siku mi siwataki nataka nikuoe wewe na sitakuacha hata waseme nini.
Baba si ndio akaona kweli mwanae yale aliyokuwa anasema ni ya kweli leo kaja na mwanamke wake ndani tena wako chooni wanaoga.
Baba akapigia simu masheikh waje haraka nyumbani kwake waje wapige ya mkeka
Kwa vile walikuwa majirani tu chap wakawa wamefika . Sindio wakavunja mlango wakamkuta ameshikilia sababuni.
Baba kwa hasira akawaambia masheikh muozesheni hiyo hiyo sabani. Masheikh wakafanya yao[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Niko njiani napelekwa mirembe nahisi ndiko honeymoon ya jamaa inapofanyia
Hahahaha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji1] [emoji1] [emoji9]
 
*Nikiwa nimechoka najiamulia tu kupiga simu police:*
*Mimi:* Hello afande nipo hapa naona watu kibao wamekufa...

*Afande:* Kiongozi tuambie mahali ulipo tuje sasa hivi...
*Mimi:*Nipo hapa makaburini...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Padri m1 alipotea mjini akamuuliza kijana m1 ;naomba unifahamishe wapi ilipo posta kijana akamfahamisha mpaka akakujua posta,padri akamjibu asante kwa kunionyesha njia ya na WEWE njoo kanisani nikuonyeshe njia ya peponi .Kijana akaguna akamjibu imekushinda ya posta sembuse ya peponi?
 
Je wajua?

[emoji38] [emoji38] Sato ni maarufu sana nchini Japan.[emoji38] [emoji38]


Namaanisha Takuma Sato, yule dereva maarufu wa kwenye mashindano ya magari [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kama ulizani hawa wa ziwa Viktoria shauri yako[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
 
Serikali kupitia waziri wa nyumba na maendeleo ya jamii imewaagiza wamiliki wa nyumba za kupanga kuwa ifikapo tar.01-07-2017 bei ya chumba itapunguzwa hadi kufikia nusu ya bei ya awali. Yaani kama ulikuwa unalipa chumba.50,000 sasa utalipa 25,000. Ni huko Burkinafaso bongo bado we andaa kodi ya mwenye nyumba.
 
Yule Mark Zukabeg alipata hasara kwenye project ya 1.9 Billion na "he is breathing fine"

Mimi leo sijui nimeweka wapi elf kumi yangu naskia kifua kinataka kupasuka.... asthma asthma ivi...... kichwa kinagonga sana naskia pia mchanganyiko wa typhoid na malaria.... naskia hadi kulia.....

kweli life is not fair
[emoji24]
 
Yule Mark Zukabeg alipata hasara kwenye project ya 1.9 Billion na "he is breathing fine"

Mimi leo sijui nimeweka wapi elf kumi yangu naskia kifua kinataka kupasuka.... asthma asthma ivi...... kichwa kinagonga sana naskia pia mchanganyiko wa typhoid na malaria.... naskia hadi kulia.....

kweli life is not fair
[emoji24]
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Umenitia aibu hadharani ujue.
Khaaaaaa
 
Back
Top Bottom